NEGAN
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 1,764
- 4,272
Kwamba mtabeba mojawapo 😂😂 si tulikubaliana tuna kikosi kipana cha kuwania makombe yote mmeanza kupunguza idadi😂😂kulibeba....yamebaki matatu tutabeba mojawapo🤠🤠🤠
Kwamba mtabeba mojawapo 😂😂 si tulikubaliana tuna kikosi kipana cha kuwania makombe yote mmeanza kupunguza idadi😂😂kulibeba....yamebaki matatu tutabeba mojawapo🤠🤠🤠
Muda utasema ukitolewa sijui utasemajeCommunity shield ni kombe, sasa kashatoka man utd, man city still unauliza kama tutamtoa chelsea
. Maneno mnayo nyinyi huku wazee wa position play and overlapping
Community shield is regarded as England Super Cup.Community shield ni kombe, sasa kashatoka man utd, man city still unauliza kama tutamtoa chelsea
. Maneno mnayo nyinyi huku wazee wa position play and overlapping


.Eboo kwamba CURTAIN RAISER😂😂 si bonanza hili halafu wanajisifia wamechukua kikombe. Mkuu hizi spana unazowapiga ni hatari😂😂Kuwa serious kidogo basi mkuuView attachment 2801804
Curtain raiser : a entertainment or event happening before a longer or more important one.
Jina lingine inaitwa “ glorified friendly” haya yote ni majina ya community shield hili si kombe ila kama arsenal mnachukulia ni kombe basi sawa hatuwezi kuwazuia .
Tuseme basi haya mwaka huu mmechukua kombe 1 community shield hongereni kwa kombe.
Kwamba mtabeba mojawaposi tulikubaliana tuna kikosi kipana cha kuwania makombe yote mmeanza kupunguza idadi
![]()

.
.Serving as England Super Cup umeona hii?Kuwa serious kidogo basi mkuuView attachment 2801804
Curtain raiser : a entertainment or event happening before a longer or more important one.
Jina lingine inaitwa “ glorified friendly” haya yote ni majina ya community shield hili si kombe ila kama arsenal mnachukulia ni kombe basi sawa hatuwezi kuwazuia .
Tuseme basi haya mwaka huu mmechukua kombe 1 community shield hongereni kwa kombe.
Mkuu hizi spana ni size gani 😂😂😂😂.Kwani jana hawakuovalodi kiungo na kuintachenji pozisheni?
Msimu huu hawa jamaa watamaliza mikono mitupu, halafu kuna jamaa ataanza kuwadanganya kua hii ni phase 4, makombe wataanza kubeba rasmi kwenye phase 5View attachment 2801335
Eboo kwamba CURTAIN RAISERsi bonanza hili halafu wanajisifia wamechukua kikombe. Mkuu hizi spana unazowapiga ni hatari
![]()

. Wanapita kama wanaaga maiti huku wanasonya😂😂.Sema hawa false hopers wanapita kimya kimya humu wananisagia meno hatariii na maombi kibao hio jumamosi wanifunge.
Yaani sipati picha wanavyonisagia meno kwa hasira wakisubiri muujiza wa jumamosi .
Mkuu hizi spana ni size gani.
Hii vawulensi ni another level mkuu.


acha tuwapige spana hawa false hopers maana huwa ni wasumbufu sana yaani wametulia kimya , tuwashukuru westham kwa kutunyamazishia hizi kenge bila kusahau walioshiriki ben white, kudus na bowen .Huyu jamaa Kawa kimya kwani kasafiri?Uzi wa tambo na vibweka vya hamis masingeliView attachment 2801812
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Yuko kwenye phase ya 5 na yeyeHuyu jamaa Kawa kimya kwani kasafiri?






Anapokuwa anashinda kutwa anahama majukwaa tu. Mara Chelsea mara Manchester United. Leo kimyaa
Kuona hzi kelele zinazopigwa zinaakisi ubora na form ya timu at the moment au ni ngonjera.....samahani kwani na nyny ni wangapi sasahv🤠🤠🤠...chondechonde j3 mjitahidi hata mtoe draw tu na Spurs maana kushinda hamuwezi na kile kikundi chenu cha wafukuza upepo.... tutakuwa tyri tupo juu ya msimamo wa ligi...hatutaki kutoka tenaNaomba kuuliza nafasi ya ngapi inasaidia nini kwa sasa?
Mi nashangaa mkuu....kwa h2h stats za miaka ya karibuni timu zitakazoweza kuja hmu na kusema timezibahatisha ni 2 tu Man City na Liverpool maana Hawa jamaa wametudunda sana kiukweli hivi karibuni....ila Nyukesto...sijui Chelkenge....sijui Manunu...inabidi wakae kimya....Hawa ni vijana wetu wadogo tunawatuma dukani mda wwteHii ni Head To Head ya Arsenal na Nyukesto ila wewe bwana shamba unaamini tukikufunga tutakua tumekubahatisha? 😂😂😂😂
View attachment 2801775