arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Unafananisha mechi ya ligi kuu na Carabao kwli???🤠🤠🤠....baada ya wachezaji wa kawaida wanaocheza Kila siku kuingia hao West Ham walicheza mpira gani tena🤠🤠🤠....halafu hatujacheza nao kwny ligi tutarudi kwny ule uwanja wao tuone watachezaje....nyny jana mmecheza na maiti ilojifia kabisa mnaona mna watu....uzuri Jumamosi hapo tunakutana tuone Guimaraes atakavyochezaVipi lakini draw na westham ulipiga kelele sanakiko wapi ?
Taarifa ndogo tu nikupe jana game yetu ya jana kulikua na madogo janja zaidii ya 9 uwanjani na ball limepigwa lakutosha bado hapo majeruhi tulikua nao kama 6 hivi kina isak, murphy, barnes, tonali & botman


