Ila hawa jamaa bado hawana team ya ubingwa. Kikosi ni kauke nikuvae bila Saka na Martinelli team inakua toothless. Jana wamebadili kikosi kidogo tu wamechezea fimbo 3

Zincheko msimu uliopita alikua akisifiwa kuoverload ila msimu huu wanamponda

Mchezaji wao yule mbao aliyeumia wanamuhesabu kama key player. Huyo mbao(Timber) amecheza mechi 2 tu lakini anavyotajwa unaweza ukashangaa

Narudia kauli yangu, katika timu zote za top 4 Arsenane ndiyo kacheza mechi rahisi na ambazo baadhi kubwa amecheza amedondosha point kizembe. Maana yake tunategemea akicheza na team kubwa ataendelea kudondosha point nyingi zaidi kwa trend hii