Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Baada ya ushindi dhidi ya Manchester United, Pep Guardiola alikiri kwamba kushindwa dhidi ya Arsenal kulitokana na yeye kutafsiri vibaya nia ya Mikel Arteta:


“Kuhusu Arsenal, walishinda kwa sababu ni timu yenye uchezaji mzuri. Lazima niseme kwamba mpango wangu wa kimbinu kwenye mechi hiyo haukuwa na tija.

"Tulitumia mbinu tofauti [dhidi ya Arsenal] kwa sababu nilifikiri nafasi ingefunguka katika nafasi nyingine na lazima nikubali kwamba mpango wangu haukuwa mzuri [katika mechi hiyo]."

Labda haya ndiyo maoni ambayo yanaonyesha kwa usahihi mtindo wa uchezaji ambao Mikel Arteta anajaribu kujenga Arsenal msimu huu.

Mikel Arteta anataka kufanya mtindo wa uchezaji wa Arsenal kutotabirika na hatua kwa hatua anafikia lengo hili
20231023_155302.jpg
 
Kuanzia January Hadi may tutatafutana uchawi wenyewe kwa wenyewe

Hadi dakika hii tunamtegemea Rice, na itatokea game zingine atazidiwa
Partey na Jorginho hawawez kutufikisha summer ?

Dirisha la January Ni gumu Sana , Mancity wanamtegemea rodri pekee hawana mbadala .

Kwa dirisha la January kupata DM wa uhakika ,CB na RW unahitaji £150m

Sio kweli kwamba Partey atakuwa injury kila siku ,atatusaidia mech kadhaa then Summer tuachane nae

Nimeona sehemu akitokea mteja wanamuuza January,Labda hapo ndio tunaweza kusajili backup yake

Sidhan Kama Kuna timu EPL ina DM wenye Kariba ya Partey Rice na Jorginho , na Elneny


Ndio maana naona January tukomae na RW na CB,
 
According to reports, Arsenal are now willing to sell Thomas Partey for £30million in January.
 
Madders bonge la mchezaji, kabla hajaenda Spurs sikuwahi kumuelewa, but anytime soon i will take madders for odegaard.
Hata kabla hajaja spurs jamaa alikuwa mzuri sana,ila ni vile inatokea kwenye mpira mchezaji mzuri sana anaishia timu za size ya kati,nakuambia hata man u wangemchukua maddison angewabadirisha sana sijajua kwa nini timu kubwa wanamuona wakawaida,ni mzungu anayejua mpira
 
Partey na Jorginho hawawez kutufikisha summer ?

Dirisha la January Ni gumu Sana , Mancity wanamtegemea rodri pekee hawana mbadala .

Kwa dirisha la January kupata DM wa uhakika ,CB na RW unahitaji £150m

Sio kweli kwamba Partey atakuwa injury kila siku ,atatusaidia mech kadhaa then Summer tuachane nae

Nimeona sehemu akitokea mteja wanamuuza January,Labda hapo ndio tunaweza kusajili backup yake

Sidhan Kama Kuna timu EPL ina DM wenye Kariba ya Partey Rice na Jorginho , na Elneny


Ndio maana naona January tukomae na RW na CB,
Watatufikisha summer kwa tabu Sana

Joginho pale mido creativity inakua sio kile anacho offer partey
 
Tungeshinda mechi zote mbili dhidi ya City tungekuwa mabingwa, tumeanza kulifanyia kazi hilo msimu huu.
Sio kweli hatukupoteza ubingwa kwa kufungwa na city,tulipoteza ubingwa kwa timu ndogo kabisa ambazo tungeweza kuzimanage,ubingwa ulipotea kwa SOUTON,WEST HAM NA BRIGTHON,na kilochosababisha wala sio kuumia kwa saliba tu,ila ukweli ni kwamba kuchoka kwa saka na partey kulicost timu mwishoni,saka hakuwa na refresher upande wake,kwahiyo alikuwa anacheza hana energy hivi ndio vitu vilisababbisha tukashindwa kuimanage game pale Anfield

Kwa kiasi fulani Arteta amejaribu kuboresha baadhi ya sehemu mfano sasa hivi mechi kubwa mbili kati ya man u na man city analeta wachezaji wa nne wanatokea benchi kuja kubadili hali ya mchezo na tunapata matokeo.

Kwahyo kama tunataka kuchukua ubingwa mwaka huu inabid tumfunge kila anayestahili kufungwa point tulizopteza kwa fulham na totehnam kwa uzembe kidogo tuombe MUNGU zisije tucost mbele ya safari
 
Hata kabla hajaja spurs jamaa alikuwa mzuri sana,ila ni vile inatokea kwenye mpira mchezaji mzuri sana anaishia timu za size ya kati,nakuambia hata man u wangemchukua maddison angewabadirisha sana sijajua kwa nini timu kubwa wanamuona wakawaida,ni mzungu anayejua mpira
Record yake ya injury inatisha
 
Arsenal are prepared to sell 24-year-old England goalkeeper Aaron Ramsdale next summer.

(Source: Football Insider)
 
Unamkosea heshima ole gunar

Ten hag alifeli interview pale Spurs

Kilaza Darren Fletcher wa manjesta ndiye akampitisha pale manjesta

For the first time nilimkataa ETH Last season vs Arsenal pale OT wanatufunga 3-1 , kwa mpira wa ujanjaujanja halafu akasema Arsenal haistahili kuongoza Ligi ila manjesta,na ndio mechi niligundua Anthony wamepigwa japo alifunga


Msimu mzima alitembea na form ya Rashford ,ile ilikuwa kama Jambazi kutembea na hirizi siku ikipotea anadakwa ,ndicho kimetokea Rashford kurudi default settings,na ETH kaumbuka kumbe hakuwa na mbinu .


View attachment 2797578
 
Will Jr na Castr

Stop it brothers, we are all the gunners,
uzuri ni kwamba huwa tunafatilia vyote mnavyoandika. Na mnaongeaga vitu sensitive Sana vya soka na kutupa updates za players ambao wapo vizuri

Yes mmeleteana challenge, tuseme it's over.
respect us
respect the arsenal

#COYG
 
TAARIFA YA MAJERUHI!

Gabriel Jesus (Hamstring - Bado hakuna tarehe ya kurudi/inakadiriwa wiki 2-4) -

Mshambulizi huyo wa The Gunners yuko tena kwenye hatua ya kupona; safari hii akiwa na jeraha la msuli alilolipata dhidi ya Sevilla katikati ya wiki. - Bado hakuna tarehe ya kurudi, lakini inatarajiwa atakuwa nje kwa wiki chache tu huku Mikel Arteta akithibitisha jeraha la misuli. -
Jesus mwenyewe alithibitisha baada ya mechi kuwa hatarajii jeraha kuwa baya sana.

Martin Odegaard (Nyonga - wiki 1)

Nahodha wa Arsenal Martin Odegaard alijikuta kwenye benchi wikendi hii huku mkufunzi wa Gunners Arteta akithibitisha kuwa alikuwa na maumivu ya nyonga kidogo. - Inatarajiwa tu ni kwa wiki moja,

Arteta alisema amekuwa akicheza mechi za karibuni na maumivu ya nyonga hivo anahitaji mapumziko zaidi wakati mwingine ili kumsaidia kuwa safi.

Thomas Partey (Paja - Bado hakuna tarehe ya kurudi)

Kiungo huyo wa kati wa Ghana kwa bahati mbaya alipata jeraha la paja wakati wa mazoezi huku Arteta akithibitisha kuwa ilitokea kwa mkwaju wa mwisho wa mchezo.

Ripoti ambazo hazijathibitishwa zimeeleza kuwa jeraha hilo si baya kama inavyoaminika huku

Partey alirejea hivi majuzi kutoka kwa jeraha na sasa anatarajiwa kurejea baada ya wiki chache.

Jurrien Timber (Goti - Jan/Feb 2024)

- Baada ya mwanzo mzuri wa maisha Arsenal, Jurrien Timber aliuguza jeraha la goti (ACL) siku ya ufunguzi wa msimu na amekuwa nje ya uwanja tangu wakati huo. - Aliletwa kwa takriban pauni milioni 35 kutoka Ajax, Timber alikusudiwa kuwa mlinzi katika safu ya nyuma. - Inatarajiwa kurudi hasa mwezi February mwaka ujao.
 
Huyu Eddie kapata hat trick PL kabla ya Rashford na kila msimu nyumbu wanakuambia msimu huu Rashford potential yake inakua unlocked
 
Will Jr na Castr

Stop it brothers, we are all the gunners,
uzuri ni kwamba huwa tunafatilia vyote mnavyoandika. Na mnaongeaga vitu sensitive Sana vya soka na kutupa updates za players ambao wapo vizuri

Yes mmeleteana challenge, tuseme it's over.
respect us
respect the arsenal

#COYG
Humu mimi silipwi naamini pia hakuna anayelipwa tunatumia MB zetu na muda wetu, tunatumia pesa zetu kuangalia mechi na kuja kuandika humu. Kwangu mimi humu ni sehemu nakuja kujua zaidi juu ya wachezaji na timu.

Nikiingia humu lengo langu haliwi kumfuatilia mtu na halijawahi kua. Mtu akifocus kunifuatilia ili aone nilipokosea its fine sina tatizo ila matusi hapo ni nina tatizo. Ukiniquote sehemu yoyote na ukaniambia nilikosea nitaelezea au nitakubali nimekosea, hakuna namna nitaona kila kitu kwa accuracy ya 100% hakuna.

Watu wenye tabia ya kukimbilia matusi au public sympathy wakishindwa hoja ni wenye uwezo mdogo wa kufikiri, hawana logic na kwangu mimi huyu member anaangukia humo. Its fine akileta utoto ila matusi ni step ya juu kwangu.
 
| Ballon d'Or rankings, as per @goal:

1. Messi
2. Haaland
3. Mbappé
4. Vinicius Jr.
5: De Bruyne
6: Rodri
7: Gündogan
8: Osimhen
9: Julian Alvarez
10: Lewandowski
11: Bellingham
12: Bernardo Silva
13: Benzema
14: Kvaratskhelia
15: Lautaro
16: Saka
17: Emi Martinez
18: Ødegaard
19: Salah
20: Musiala
 
| Ballon d'Or rankings, as per @goal:

1. Messi
2. Haaland
3. Mbappé
4. Vinicius Jr.
5: De Bruyne
6: Rodri
7: Gündogan
8: Osimhen
9: Julian Alvarez
10: Lewandowski
11: Bellingham
12: Bernardo Silva
13: Benzema
14: Kvaratskhelia
15: Lautaro
16: Saka
17: Emi Martinez
18: Ødegaard
19: Salah
20: Musiala
Tuzo zimepoteza sana mvuto I am sure hata leo hii viewers watakuwa wachache sana tofauti na miaka ya nyuma
 
ben white ;isingekuwa ni walker anavokiwasha namna ile pale city pamja na uzoefu alionao basi white.. southgate hatakiwi kumuacha nje ya kikosi.

ben white haimbwi arsenal ila namuona ni mchezaji mwenye uelewa mzuri wa namna timu inavocheza.
 
Back
Top Bottom