Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

This family
20231028_222256.jpg
 
Astonvilla niliwatabiria makubwa Sana msimu huu


Kenge fc ana mech 8 dume, had kufikia mechi ya 18-19 akiwa ndani ya top 10 Basi wao wanaume

Kufikia mech ya 18-19 ,Kenge FC watakuwa 13-17

Nyumbu fc hawa mwaka huu top 7 hawagusi maana hawana uwezo wa kuwachomoa Arsenal city Spurs Liverpool, Brighton Astonivilla na Newcastle

Kifupi nyumbu hizi wiki 2 alikuwa honeymoon, now anarudi kwenye vipigo vitakatifu Hadi nafasi za 8-12
Ila kesho Manunu naomba washinde🤠🤠...itakuwa ni nafuu kubwa sana kwetu
 
Yule jamaa wa Nyukesto haonekani humu sasahv...aje kuanza kuleta shombo maana wiki ijayo tunacheza nao tuone watakavyocheza bolu...leo wametolewa kamasi na Wolves halafu na yy anajiona anagombea ubingwa

Wewe week ijayo pale st james unakufa utake usitake , sasa kama wolves unaona ni watoto subiri ukutane nao.
Huo ubingwa wewe kwani unagombania .

Wewe endelea kujiita title contender ndo taji lako hilo msimu huu.
 
Vzuri umeanza kukaza nzi mapema🤠🤠🤠...jumamosi tutaona hzo vurugu zenu mtafanyia wapi....Wolves ni watoto wadogo sana kama nyny...angalia kwny msimamo ndo utaelewa nnachokisema....kesho Aston Villa na Brighton wanawalamba gepu na Manunu nao wakikaa vzuri wanawashusha chini huko mkagombane na kina Fulham...maana hao ndo level zenu🤠🤠🤠
Wewe week ijayo pale st james unakufa utake usitake , sasa kama wolves unaona ni watoto subiri ukutane nao.
Huo ubingwa wewe kwani unagombania .

Wewe endelea kujiita title contender ndo taji lako hilo msimu huu.
 
Msemaji wao anasema walianza na ratiba ngumu sana....akatuaminisha Sasa ndo wataanza kushinda rasmi...watu wazima tukimuambia wao bdo watoto wadogo anajibishana na sisi hmu....UEFA ndo anaenda kutoka na ligi kuu ndo anazidi kudondosha points...wa kuwaangalia kwa jicho la tatu safari hii ni Aston Villa...vijana wanaubonda kwlikwli tofauti na Hawa wafukuza upepo Nyukesto

Piga kelele lakini jua arsenal ni chura tu lazima tembo watakunywa maji.

Yaani Arsenal na wewe unajiita mtu mzima kama unadhani Newcastle anatoka UEFA makundi utaendelea kuomba sana lakini majibu yatakua empty.

Hao aston villa walishachezea mkono ila wewe ndo utaenda kufa maana last time ulibahatisha sasa Unai analipa kisasi .
Hizi game wewe hutoki Newcastle, Liverpool, Astonvilla, Brighton hizi zote umeshika points za watu tu.

Sawa bingwa Arsenal sisi wafukuza upepo hizi 5 ulizoshinda leo zinakupa kiburi ungejua huyo anaekupa kiburi sisi alikula chuma 8 kama zile mlizokula kipindi kile man utd yuko fiti.
Tusubiri hio jumamosi tuone nan ni mkimbiza upepo.
 
Piga kelele lakini jua arsenal ni chura tu lazima tembo watakunywa maji.

Yaani Arsenal na wewe unajiita mtu mzima kama unadhani Newcastle anatoka UEFA makundi utaendelea kuomba sana lakini majibu yatakua empty.

Hao aston villa walishachezea mkono ila wewe ndo utaenda kufa maana last time ulibahatisha sasa Unai analipa kisasi .
Hizi game wewe hutoki Newcastle, Liverpool, Astonvilla, Brighton hizi zote umeshika points za watu tu.

Sawa bingwa Arsenal sisi wafukuza upepo hizi 5 ulizoshinda leo zinakupa kiburi ungejua huyo anaekupa kiburi sisi alikula chuma 8 kama zile mlizokula kipindi kile man utd yuko fiti.
Tusubiri hio jumamosi tuone nan ni mkimbiza upepo.
Narudia tena...nyny ni watoto wadogo sana....mnachojua ni kukimbiakimbia tu....leo mnatupwa huko nafasi ya nane mkagombane na kina Fulham huko😀😀😀...nilikuambia UEFA points 9 hufikishi na hazifiki kwli....Dortmund ataenda kukutafuna kwake na PSG atajipigia....mechi yenu na Milan Draw...unabisha ngoja uone....mchezaji Longstaff akuvukishe hatua ya makundi UEFA kwli????...yatakuwa ni maajabu kwlikwli
 
Two assists in two games now for Declan Rice, to add to his goal against Chelsea last weekend.
 
Kuongezea tu Spurs alishinda goli mbili dk za nyongeza...mpk dk ya 90 walikuwa wanaongozwa goli 1 na Hawahawa watoto...
Ishu sio kashinda magoli mangapi, suala ni quality ya timu husika, Shelfield sio timu yenye ubora wa EPL kama timu zingine, naweza kushinda goli moja ila nimetengeneza clear chances 20, ni vile my striking line ime-underperform infront ot the goal. Ukiwa mjanja unaangalia parameters mbili tu kujudge mechi hata kama hukuangalia game, XG & possession vinatosha kukuonesha timu bora ni ipi.
 
Ishu sio kashinda magoli mangapi, suala ni quality ya timu husika, Shelfield sio timu yenye ubora wa EPL kama timu zingine, naweza kushinda goli moja ila nimetengeneza clear chances 20, ni vile my striking line ime-underperform infront ot the goal. Ukiwa mjanja unaangalia parameters mbili tu kujudge mechi hata kama hukuangalia game, XG & possession vinatosha kukuonesha timu bora ni ipi.
Uliangalia hiyo mechi husika nnayoizungumzia kwanza....au tutaanza kujadili theory hmu
 
Why unaona Spurs ni suala la muda?kama unamaanisha hivi it means mwenye uhakika wa kuwa juu ni Manchester City pekee maana hata Arsenal last season alikaa top kwa 284 days akaja kuanguka mpira sio suala la kukariri
Tungeshinda mechi zote mbili dhidi ya City tungekuwa mabingwa, tumeanza kulifanyia kazi hilo msimu huu.
 
Mchezaji haangaliwi YouTube coz kuna mengi huonyeshwi kama kakosea au kafanya vizuri.

Kosa hilo hilo ndio wanafanya matajiri wa Chelsea, wanaangalia mchezaji YouTube kisha ndo wanaenda kumsajili.

Mimi wakati tunahusishwa na Declan Rice, niliingia YouTube kuangalia clip zake, kisha nikaangalia na clip za Moises Caicedo.. Mwisho nikajiuliza hii scout ya Arsenal ina akili kweli kutaka kutoa £100 mil kwa kiungo wa kiingereza ambae havutii hata YouTube? 🤔

The rest unajua..
Me Declan Rice nilianza kumkubali baada ya kumuangalia sana YouTube. Video za YouTube zinakuonyesha best moments za mchezaji, maana yake kama mchezaji akiwa fit kile ndiyo mnachotarajia kukiona. zubimendi siyo mbaya ila Youssef fofana kwa maoni yangu ni option nzuri
 
Back
Top Bottom