



Nilikua najiuliza mwanangu
Will Jr siku hizi ameokoka mbona hili jukwaa kama limeanza kustaarabika.
Ila Will kwa
Castr unamkosea sana, katika mashabiki wa Arsenal ninaowakubali
Castr ni mmoja wao jamaa yuko very matured, hua tunataniana kimpira lakini sijawahi kumuona anaongea lugha za hovyohovyo humu ni mtu ambae anajiheshimu hata sisi mashabiki wa timu nyingine tunamheshimu sana.
Will Jr siku ukijisikia kuchachuka mtafute Masingeli



ndio uende nae toe to toe maana na yeye uhuni anaujua, ila watu watakatifu wenye kaliba ya
Castr ni kujitafutia laana tu na madhambi mbele za bwana.
#Arsenyo Kondoo
#Nketiah kiatu
#Kai Balon D'or