Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

wewe ni mbishi haswaaa ila ubishi wako ni ule wa uchawa uliopitiliza kwa masingeli pamoja na utani wa jadi.
Kwenye majibizano ya wenyewe kwa wenyewe yale ya kutoleana maneno machafu na kuvunjiana heshima hua unajiweka mbali.
Mpira ni burudani(furaha) sasa pale unapoona burudani inageuka kua tafrani na karaha kwa matusi na dharau ni bora kukaa pembeni.
Unaona Sasa unamuita mwenzio chawa kisa hakubaliani na mawazo yenu

Mimi Ni Paroko ,ukiona natukana umeeenda mbali Sana


Sasa huyo mkohoti huwa anasema Ben White aliondoka NT sababu Ni firauni ,sio Mara moja,mtu Kama huyo inabidi ajibiwe kiulaloulalo .

Mimi nashinda jukwaa la manjesta Sana ,huwez kuta natukana hata jukwaa Lao la Chelsea ,kwani nan asiyejua James wa Chelsea Ni shoga.
 
Haina haja ya kumuuliza ,sio Mara ya kwanza ,wapo watatu ,mwingine yupo hapo juu kashajitokeza

Ndio maana nimeenda direct kumuuliza Kama alifanyiwa huo ufirauni ,

Halafu wote Ni Chelsea fans ndio huwa wanasema hivo

So inabidi kwenda nao hivo hivo kiulalo ulalo huku tunasubiri washushwe daraja
Masingeli kuna comments nyingine mtu ukiziona unakausha tu na ikiwezekana una like kabisa, kuna watu humu huwa wananitukana halafu mimi nawagongea like kisha nawakaushia tu, mwisho wa siku yeye mwenyewe anajiona mjinga, ila nikitaka kubishana nae jua ndio natanua wigo wa yeye kuendelea kutukana.
Kuna mambo mengine unatumia busara tu ya kuachana nayo ili yasiendelee kupata promo.
 
Unaona Sasa unamuita mwenzio chawa kisa hakubaliani na mawazo yenu

Mimi Ni Paroko ,ukiona natukana umeeenda mbali Sana


Sasa huyo mkohoti huwa anasema Ben White aliondoka NT sababu Ni firauni ,sio Mara moja,mtu Kama huyo inabidi ajibiwe kiulaloulalo .

Mimi nashinda jukwaa la manjesta Sana ,huwez kuta natukana hata jukwaa Lao la Chelsea ,kwani nan asiyejua James wa Chelsea Ni shoga.
Masingeli chawa sio tusi, chawa ni yule supporter kindakindaki wa mtu fulani.
Hakuna anaebisha kua wewe ni Paroko wa parokia ya Arsenyani ila pia mtu akikujia kihunihuni unaweza kwenda nae hivyohivyo kihunihuni, ila ndugu yangu Castr yuko very humble mnapomuingiza kwenye mabishano ya matusi ni kama kumuonea tu huyu mtu wa Mungu.
 
Kiongozi kwani hujui kama kikosi chenu hapo players zaidi ya watatu they are a little of to the side? I mean they are foofy, up to the knucke. Yaani they are backwards mechanic, they like to play in the dirty!!!!
Una ushahidi wa hizi allegations?
 
MARTIN ØDEGAARD THE SKIPPER

Ingawa hakucheza dhidi ya Sheffield United, nahodha Martin Ødegaard bado alizunguka Uwanja wa Emirates kuwashukuru mashabiki wa Arsenal kwa sapoti yao kwa timu nzima baada ya mchezo. Martin Ødegaard hajawahi kuwa nahodha mwenye mihemko

Akiwa uwanjani, Martin Ødegaard sio tu mfano wa kioo wa Mikel Arteta katika masuala ya mbinu, pia anachukua jukumu la kutia moyo wakati wowote wenzake wanapofanya makosa kuomba sapoti kutoka kwa mashabiki au kutosahau kuwashukuru mashabiki baada ya kila mchezo.

Martin Ødegaard daima anaonyesha tabia ya kuigwa mfano kupitia kila hatua kuanzia uwanja wa mazoezi hadi mechi za Arsenal na hata shughuli zake zote nje ya uwanja.

Mchezaji ambaye daima anaweka maslahi na taswira ya timu kwanza. Majeraha yamemfanya a struggle karibuni baada ya kurejea kutoka timu ya taifa, lakini nahodha wa Arsenal Sasa atarejea kwa nguvu zaidi.

20231031_123243.jpg
 
Here at London Colney for Mikel Arteta's press conference ahead of Arsenal's game against West Ham United in the Carabao Cup.

Updates from the manager to follow below:
football.london/arsenal-fc/fix…
20231031_124539.jpg
 
Mwandishi:Je, Rice atacheza?

Mikel:"Ana uwezekano. Anaweza kuhusika, itakuwa mara yake ya kwanza katika klabu yake ya zamani."
 
Mwandishi:Je utampumzisha Eddie au utaruhusu kuendeleza kucheza apate hamasa zaidi?

Mikel: "Vyote viwili, tunapaswa kufahamu. Hajaanza mechi nyingi kwenye Ligi Kuu. "Wachezaji wanapokuwa hivi, lazima watumiwe."
 
Mwandishi:Taarifa kuhusu kutokuwepo kwa Partey:

Mikel:"Nadhani atakuwa nje kwa wiki kadhaa. Sijui ni muda gani, ana miadi nyingine leo na madaktari."
 
Mwandishi:Vipi kuhusu Mawazo kuhusu Kombe la Carabao na mjadala unaohusu umuhimu wake.

Mikel "Ndio, ni muhimu sawa na Ligi Kuu. Nina hisia sawa akilini mwangu Kama ligi kuu
 
Mikel Arteta juu ya Gabriel Jesus atarejea lini.

...... kusema kweli sitaweka lolote kwa sababu nilifanya hivyo mara moja na nikakosea kabisa.

Tunahitaji kuwa waangalifu. Tayari anapambana . Anataka kurejea haraka iwezekanavyo.”
 
Back
Top Bottom