hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,322
- 26,761
Unaona Sasa unamuita mwenzio chawa kisa hakubaliani na mawazo yenuwewe ni mbishi haswaaa ila ubishi wako ni ule wa uchawa uliopitiliza kwa masingeli pamoja na utani wa jadi.
Kwenye majibizano ya wenyewe kwa wenyewe yale ya kutoleana maneno machafu na kuvunjiana heshima hua unajiweka mbali.
Mpira ni burudani(furaha) sasa pale unapoona burudani inageuka kua tafrani na karaha kwa matusi na dharau ni bora kukaa pembeni.
Mimi Ni Paroko ,ukiona natukana umeeenda mbali Sana
Sasa huyo mkohoti huwa anasema Ben White aliondoka NT sababu Ni firauni ,sio Mara moja,mtu Kama huyo inabidi ajibiwe kiulaloulalo .
Mimi nashinda jukwaa la manjesta Sana ,huwez kuta natukana hata jukwaa Lao la Chelsea ,kwani nan asiyejua James wa Chelsea Ni shoga.


Ingawa hakucheza dhidi ya Sheffield United, nahodha Martin Ødegaard bado alizunguka Uwanja wa Emirates kuwashukuru mashabiki wa Arsenal kwa sapoti yao kwa timu nzima baada ya mchezo. Martin Ødegaard hajawahi kuwa nahodha mwenye mihemko
Ballon d'Or:
football.london/arsenal-fc/fix…
