hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,314
- 26,723
Last season alikuwa miongon mwa DM wenye goals nyingiDM wetu Rice ana magoli 2 na Assists 2 tangu January.
Ndio maana anafit hata kumtumia LCM ,atakupa magoli atakupa ukabaji
Last season alikuwa miongon mwa DM wenye goals nyingiDM wetu Rice ana magoli 2 na Assists 2 tangu January.
Unakuja kujipitisha humuShida Kondoo mnapenda kudanganywa kama mc anavyowadanganya Kai hamjapgwa, wakat mpira kila mtu anauona.
Jamaa anaongea Facts ushabiki anaweka pembeni.
Vipi kuhusu Partey ana goli ngapi? Miongoni mwa tacticos mliotuaminisha Arsenal haiwezi bila ParteyDM wetu Rice ana magoli 2 na Assists 2 tangu January.


Washinde...mm leo nawasapoti....unajua tu Manunu akishinda leo mechi ijayo anarudi default setting...tofauti na Guardiola yy akishinda ni kama kauwasha motoDraw sawa ila sio ashinde wana mdomo hawa jamaa nakuapia wakishinda hii page itageuka kuwa ya nyumbu wiki nzima
But msimu huu Spurs counter siyo mchezo mzima ni sehemu ya mchezo unlike msimu uliopita ndiyo maana walivyoshtukiwa hali ikawa mbaya.Spurs bado hawajakutana na mechi dume
Bado hawana sifa za title contender
Mwaka Jana had January walikuwa nafasi za juu
Baada ya round ya kwanza Spurs atakuwa anagombea top 4
Ukimtoa Maddson timu inapwaya
Lakin Ni moja ya timu inaruhusu Sana kushambuliwa pamoja na wao kuwa wanapata magoli
Top 4 nawaona kabisa wakiingia
Kama uko hapa kupinga uwezo wa Partey kaa kwenye foleni.Vipi kuhusu Partey ana goli ngapi? Miongoni mwa tacticos mliotuaminisha Arsenal haiwezi bila Partey![]()
Kwa kifupi wewe hutaki nyumbu wapate matokeo yoyote 😂🙌Draw itakuwapo poa Sana au nyumbu washinde kabisa japo Ni sawa na maji kupanda mlima
Fofana wanamfananisha na Yaya Toure kwasababu yuko powerful sana, na ngumu sana kumnyang'anya mpira. Kama hujaangalia Ile game ya Emirates cup, kaangalie video zake YouTube utaona uchezaji wakeNimekumbuka kauli ya Vincent Kompanykwamba Sambi Lukonga ni new Yaya Toure
Kama uko hapa kupinga uwezo wa Partey kaa kwenye foleni.
Ushindi wetu dhidi ya City umeanzia kwa nani mjomba?


Nacheka kwa dharau, endeleza uchambuzi nzala kwamba Declan hivi na vile bla bla bla, huyu sio partey iliyomchukua miaka miwili kujifunza namna ya kucheza holding midfield, its just the beginning ndo hata miezi sita hana.Una umri gani nigga unaandika unacheka kwa dharau 😆Nacheka kwa dharau, endeleza uchambuzi nzala kwamba Declan hivi na vile bla bla bla, huyu sio partey iliyomchukua miaka miwili kujifunza namna ya kucheza holding midfield, its just the beginning ndo hata miezi sita hana.
Wakati wewe ulimuona Zubi kama DM cover watu wanamuona kama Lcm now, yani huo ndio utofauti wa kuujua mpira ni kuelewa namna ya ku profile mchezaji, kuandika tu haitoshi, hata chid benz anaandika akitaka kurap.Zubimendi nimemuandika humu msimu wa usajili uliopita naona Twitter wamecharuka kumjadili kwamba tunamhitaji smh
Kocha anaagiza daktari wa timu asafiri na Partey. Zubimendi ni Busquet kama Busquet amewahi kucheza LCM basi na yeye atacheza.Wakati wewe ulimuona Zubi kama DM cover watu wanamuona kama Lcm now, yani huo ndio utofauti wa kuujua mpira ni kuelewa namna ya ku profile mchezaji, kuandika tu haitoshi, hata chid benz anaandika akitaka kurap.
We si mbishi na nilikwambia takukumbusha, au nifukue utopolo ulokua unaandika humu, nikakwambia sipotezi muda na nguvu, muda utakufunza, jifunze now ili usilopoke siku nyingine mbele ya publuc.Una umri gani nigga unaandika unacheka kwa dharau
Observations zitazidiana no matter what.
Publuc ni nini boss?We si mbishi na nilikwambia takukumbusha, au nifukue utopolo ulokua unaandika humu, nikakwambia sipotezi muda na nguvu, muda utakufunza, jifunze now ili usilopoke siku nyingine mbele ya publuc.