hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,337
- 26,816
Huyo dogo ni Fundi Sana,anaelekea Bayern huyo ,Musiala amegoma kusaini anataka aende MadridNimewacheki Leverkusen kipindi kimoja, wapo vizuri, kimbinu anaonekana yupo vizuri, japo simpi 100%sababu mpinzani wake ana madhaifu mengi.
Ila kale katoto florian writz ndio daima yupo vile au leo tu kaamka vizuri, kamechangamka, kanazunguka uwanja mzima, mguu ana ball, kasumbufu.
Florian anajua Sana alipata ACL akakaa miezi 8 nje ndio amerudi
Halafu Alonso anafundisha modern football,anaenda Madrid ,Don Carlo akienda Brazil NT
Arsenal wanataka kumsajili beki wa kati wa Crystal Palace Marc Guehi, kwa mujibu wa @TheSunFootball.
