hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,302
- 26,696
Naangalia mpira na kuchambua vitu vidogo vidogoWhy unaona Spurs ni suala la muda?kama unamaanisha hivi it means mwenye uhakika wa kuwa juu ni Manchester City pekee maana hata Arsenal last season alikaa top kwa 284 days akaja kuanguka mpira sio suala la kukariri
Spurs Ni moja ya timu inayoruhusu mashambulizi Sana
Hawana depth ya kikosi kipana
Kuna factors nyingi tu ninazo
Spurs walibaki na wachezaji 8 vs 11 na Liverpool na walikuwa wanashindwa kuwafungua
Sijui unanielewa?
Spurs bado hajamalizana na big 6 mancity,Chelsea ,asilimia kubwa kacheza na bottom 8 kwenda chini .
long balls zote ,anatoa assist kwa Martinelli tunaondoka na point 3 
Mikel Arteta says #Arsenal's Declan Rice is playing 'at the highest level':


