hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,326
- 26,786
Tatizo ndio Hilo watakuja humu Kama nzigeHawa jamaa wakishinda watakuja kutusumbua mtaani na JF wana kelele sana
Yaani nipo njia panda kwakweli leo
Tatizo ndio Hilo watakuja humu Kama nzigeHawa jamaa wakishinda watakuja kutusumbua mtaani na JF wana kelele sana
Afe tu kudadadekiNyumbu acha afe tu

Ujue hatuna natural 9 na hata sokoni natural 9 wa kukupa 20 goals kwa msimu wanahesabika.Narudia statement yangu Nketiah ni MBAHATISHAJI ni kupwa kujaa anaweza akascore game 3 mfululizo then akaenda 5 to 10 games bila kuwa na assist wala goals so Nketiah kufunga leo sio ishu nikikuuliza Nketiah aliscore mwisho lini unaweza usikumbuke tunahitaji mtu wa kuoffer something kwenye team yetu kama walivyo wenzake
Leo mnadundwa...dalili zinaonesha kabisa...kuna makonzi ya koo yameandaliwaHuyu ndio MTU mwenye Akili Uzi mzima WA Arsenal![]()
Ila MkoreaKwa mwaka huu Nyumbu walitupa taulo kipindi Cha pre season
Kenge hawana ata hiko kitaulo Cha kutupa ulingoni
1. Arsenal NDOO
2. City
3. Spurs
4. ?
Newcastle, Liverpool, Brighton, Aston Villa, Fulham or westaham?




KAI mmepgwa ni Mc pekee amekua wa mwisho kuamini, Arteta mwenyewe ameshaanza kuelewa kuwa aliingia cha magufuli terminal.View attachment 2796827
I think ni red flag kama hata Reddit inaanza kudoubt
Leo inabidi tuwe kwa Nyumbu hakuna NamnaLeo tupo upande gani?kwa Manchester United or Manchester City?
Shida Kondoo mnapenda kudanganywa kama mc anavyowadanganya Kai hamjapgwa, wakat mpira kila mtu anauona.Hivi we jamaa ni arsenal fan kweli wewe?
This season Spurs is different.Why unaona Spurs ni suala la muda?kama unamaanisha hivi it means mwenye uhakika wa kuwa juu ni Manchester City pekee maana hata Arsenal last season alikaa top kwa 284 days akaja kuanguka mpira sio suala la kukariri
Zubimendi ni BusquetFOFANA ana energy kubwa Sana ,yule akija anakaa DM ,Rice LCM
ukuta wa Timber Magalhaes Saliba White
Hapo hupati goli hata la offside
Zubimendi nimemuangalia Sana na Arsenal walienda wiki iliyopita kumfatilia Tena
Zubimendi Ni Kiungo wa pass nyingi Sana ,pia press resistance, Zubimendi Hana tofauti Sana na Zinchenko
Na Kama tunampata Zubimendi Basi atacheza LCM ,Rice DM
Lakini mmemfatilia Charlie Patino ?dogo ameiva Sana na amesema anamtumia Saliba Kama mfano ,alipopelekwa mkopo alirudi na kuingia XI.
Patino kaiva Sana ,
Its fine.KAI mmepgwa ni Mc pekee amekua wa mwisho kuamini, Arteta mwenyewe ameshaanza kuelewa kuwa aliingia cha magufuli terminal.
Unakazania tumepigwa huchoki ?KAI mmepgwa ni Mc pekee amekua wa mwisho kuamini, Arteta mwenyewe ameshaanza kuelewa kuwa aliingia cha magufuli terminal.
Mimi sirembi rembi that's why unaona sieleweki nichukulie hivi hivi wenzio wananijua kama ni mgeni humu Jukwaani you are welcomeHivi we jamaa ni arsenal fan kweli wewe?
Spurs bado hawajakutana na mechi dumeThis season Spurs is different.
Misimu yote wanayomaliza juu yetu n.k hua wanabebwa na class ya wachezaji.
This season Spurs kama timu iko vizuri.
Draw sawa ila sio ashinde wana mdomo hawa jamaa nakuapia wakishinda hii page itageuka kuwa ya nyumbu wiki nzimaLeo tumsupport nyumbu apate hata draw hata Kama itakuwa vigumu