Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpaka Sasa Defence ngumu kuzifungua Ni Arsenal na Mancity anafata Chelsea ,shida hawa Chelsea tatizo Lao hawafungi magoli


Shots Faced:

City - 61
Arsenal - 76
Chelsea - 91
———————
Spurs - 115
Liverpool - 124
United - 145


Utaona hapo Spurs Ni moja ya timu inayoruhusu kushambuliwa Sana ,sawa na Liverpool,utofauti wao ni Liverpool ana safu Bora ya ushambuliaji

Manjesta hawa Ni timu inayoongoza kupelekewa Moto hata na watoto wadogo Kama kina Sheffield Burney hata Luton

Ili uingie kwenye mbio za ubingwa unatakiwa uwe vzr kwenye attacking na Defence


Mwaka Jana had kufikia mech ya 28 au 29 ,Arsenal tulikuwa Ni timu ya 2 kwa kuruhusu magoli machache ,kuumia kwa Saliba kuliharibu kila kitu


Spurs kufikia January had February atakuwa ametupa taulo

Nilisema hili wakati manjesta wanajiita title contender ,ilipofika February walitupa taulo
Kwa mwaka huu Nyumbu walitupa taulo kipindi Cha pre season

Kenge hawana ata hiko kitaulo Cha kutupa ulingoni

1. Arsenal NDOO
2. City
3. Spurs
4. ?

Newcastle, Liverpool, Brighton, Aston Villa, Fulham or westaham?
 
Mpaka Sasa Defence ngumu kuzifungua Ni Arsenal na Mancity anafata Chelsea ,shida hawa Chelsea tatizo Lao hawafungi magoli


Shots Faced:

City - 61
Arsenal - 76
Chelsea - 91
———————
Spurs - 115
Liverpool - 124
United - 145


Utaona hapo Spurs Ni moja ya timu inayoruhusu kushambuliwa Sana ,sawa na Liverpool,utofauti wao ni Liverpool ana safu Bora ya ushambuliaji

Manjesta hawa Ni timu inayoongoza kupelekewa Moto hata na watoto wadogo Kama kina Sheffield Burney hata Luton

Ili uingie kwenye mbio za ubingwa unatakiwa uwe vzr kwenye attacking na Defence


Mwaka Jana had kufikia mech ya 28 au 29 ,Arsenal tulikuwa Ni timu ya 2 kwa kuruhusu magoli machache ,kuumia kwa Saliba kuliharibu kila kitu


Spurs kufikia January had February atakuwa ametupa taulo

Nilisema hili wakati manjesta wanajiita title contender ,ilipofika February walitupa taulo
Mkuu unawapelekea moto sana wapinzani.. watakoma ubishi!😂

Ndo mana sishangai wakijazana humu tukisuluhu.
 
Jamaa ana miaka 24....ukimchukua una uhakika wa huduma yake kwa miaka si chini ya 6....ukimpata hyu na Toney unakuwa na kikosi cha uhakika kabisa....mda wte ni kuvamia majukwaa ya watu na kuwasemea mbovu...maana unajua hata goli la offside wapinzani hawapati🤠🤠🤠
We jamaa Flano na pipi akikusikia...... hahahaha 🤣🤣🤣🤣.
 
EPL imekuwa ngumu Sana bila ku rise standard hata top 7 huingii

Astonivilla , Brighton , Newcastle wanazitaka nafasi za Europa league na Europa conference


Chelsea na Manjesta wasipokaza Top 7 itakuwa ngumu Sana kuiona


Kwa Ratiba ya Chelsea , ,after Game week 18-19 anaweza kuwa nafasi za 14-17

Manjesta Hawa wanacheza kwa Miujiza ,wanacheza wakiamini lolote linaweza kutokea
 
Why unaona Spurs ni suala la muda?kama unamaanisha hivi it means mwenye uhakika wa kuwa juu ni Manchester City pekee maana hata Arsenal last season alikaa top kwa 284 days akaja kuanguka mpira sio suala la kukariri
Hivi we jamaa ni arsenal fan kweli wewe?
 
Back
Top Bottom