Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

BIG 6 inaundwa na klabu za Manchester United & City, Arsenal, Liverpool, Tottenham Hotspur na Chelsea

Arsenal kashacheza na tim nne za BIG 6 na hajapoteza mchezo dhid yao. Mechi ya BIG 6 imebaki ni Liverpool pekee ambaye ni mkombozi wenu wa pekee kuja kujaribu kumfunga Arsenal ambaye hajapoteza mchezo. Ikumbukwe, Arsenal ndio wababe pekee wanaoweza kucheza msimu mzima bila kufungwa na yoyote hapo Uingereza/ England UNABISHA? NAJUA UTADAKIA UEFA KANA KWAMBA EPL NI UEFA

Arsenal ndio 'mbishi' anayeweza kutoa 'visago' msimu wote na sehemu ya LOOSE ikabaki 0. Kama kuna 'kenge' anabisha aweke picha ya kombe la dhahabu likinyanyuliwa na klabu yake
Narejea, Arsenal ndio mwenye pumzi ya kukaza hivihivi bila kupoteza msimu mzima kwasababu yeye pekeake ndie kashafanya hii rekodi

Kingine, Man City hajacheza na Tottenham, Liverpool, Chelsea, Man Utd
Halafu Liverpool hajacheza na Arsenal, Man Utd, Man City, Chelsea
Pia Chelsea bado kuingiza marasta kukamia dhidi ya Man Utd, Man City, Tottenham, Liverpool
Manchester United nae hajacheza na Liverpool, Man City, Chelsea
Kwahiyo hamjacheza nyie kwa nyie hapo mtajuana wenyewe mkipenda mdroo/ mtoke sare au mmojawenu awe mteja

MTAJUA HAMJUI, WOTE MJE MHAMIE KWA MKOMBOZI WENU LIVERPOOL AWAFUTIE MACHUNGU KWA KUTOMFUNGA ARSENAL
Chelsea vs Liverpool ilikuwa first game ya msimu wa EPL
 
Naona tumehusishwa tena na Zubimendi, tushushe hiki chuma hata January

Kisha kuna Take Kubo, kwa mnaofatilia anaweza kuwa back up ya Saka?
 
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal losing Gabriel Jesus and Thomas Partey again for “few weeks”

“For Gabriel Jesus, the scans show there’s muscle injury and we might lose him for a few weeks again — can’t predict how long as he can always surprise us”.

“Thomas Partey has got a muscle injury on Tuesday and we expect him to be out for a few weeks”.
 
Zubimendi nimemuandika humu msimu wa usajili uliopita naona Twitter wamecharuka kumjadili kwamba tunamhitaji smh
 
Set to miss Jesus and Partey for couple of weeks
Jesus anapumzishwa kwa week moja kupunguza risk coz tunamhitaji zaidi huko mbeleni.

So atakosa mechi ya kesho vs Sheffield (H) ambayo sio serious na ile ya Carabao vs West Ham (A) ambayo hata angekua fit angepumzishwa/angecheza dakika chache coz ile ni michuano ya watu kama Nketiah/Havertz kuboresha uwezo wao.

Matarajio atarejea next week vs Newcastle (A) kwa sababu ya ile quote ya Arteta kusema 'Jesus hakawii kutushangaza'.
 
Itabidi Arteta aingie sokoni atafute mbadala wa Partey.Huyu jamaa atupishe tu kwa kweli sababu pancha Zinamuandama Sana.
DCMs wanaocheza kama Partey ni wachache sana lakini replacement yake haikosekani sokoni.

Douglas Luiz, Zubimendi, Yossouf Forfana, Joao Palhinha, Cheick Doucore, n.k.

Huyo Zubimendi ni upgrade kabisa ya Partey kwa soka la sasa
 
Naona spurs wanatembea tu ila muda wao utafika. Bado siamini km Spurs wana timu ya kukaa nasi meza moja, sometime lucky inachukua nafasi kwenye mpira
 
Naona spurs wanatembea tu ila muda wao utafika. Bado siamini km Spurs wana timu ya kukaa nasi meza moja, sometime lucky inachukua nafasi kwenye mpira
👉Hizi sasa ni comedy. Meza ipi hiyo unaiongelea au meza ya kukaa mechi ishirini bila EPL, meza ya kukaa miaka 7 bila kumaliza top 4, meza ya kuwa na 0 European trophy.


👉Tofauti ya Arsenal na Spurs ni jezi tu . Unasema huwaamini spurs ila unaiamini Asenane?
IMG_20230711_192222.jpg
 
Zubimendi nimemuandika humu msimu wa usajili uliopita naona Twitter wamecharuka kumjadili kwamba tunamhitaji smh
Hahahaha, yule dogo NNT anajikuta anajua boli kuliko yeyote wakati ni famba mmoja tu

Take Kubo unamuonaje?
 
Naona spurs wanatembea tu ila muda wao utafika. Bado siamini km Spurs wana timu ya kukaa nasi meza moja, sometime lucky inachukua nafasi kwenye mpira
Kama vile bahati ilivyotukuta sisi last season tukamaliza nafasi ya pili?
Ni kweli S-ppu***sy hawana timu ya ku-compete ubingwa this season?
 
Back
Top Bottom