Ni advantage kwetu ila Nyumbu wana dharau.Leo hatuna namna inabidi tuwe manyumbu kwa muda
City hata ikifungwa haina mashabiki wa kuwacheka
Ni advantage kwetu ila Nyumbu wana dharau.Leo hatuna namna inabidi tuwe manyumbu kwa muda
Nyumbus uduwanzi wao ndo huo, wakishinda wanakuja kututambia sisi, kama sisi ndo tumecheza nao, ila Leo nawaombea sare TU inatoshaNi advantage kwetu ila Nyumbu wana dharau.
City hata ikifungwa haina mashabiki wa kuwacheka
FOFANA mtu Sana ilikuwa 2nd option yetu ,yupo kwenye list za wachezaji wanaohitajika Arsenal eneo la DMFofana wanamfananisha na Yaya Toure kwasababu yuko powerful sana, na ngumu sana kumnyang'anya mpira. Kama hujaangalia Ile game ya Emirates cup, kaangalie video zake YouTube utaona uchezaji wake
Ramsdale hawez kurudi no.1Tuna ile game dhidi ya Soton msimu uliopita.
Tunasuluhu nao 3 kwa 3
Ukiniuliza mimi nitasema magoli mawili ya Soton ni kazi ya Ramsdale.
At some point nahisi Arteta anakumbuka matukio kama hayo
Mwengine huyu dogo Andre, ananifurahidha sana uchezaji wake, ni kama Bruno Guimarez. Yuko sharp, anakaba, chenga, hatari sanaFOFANA mtu Sana ilikuwa 2nd option yetu ,yupo kwenye list za wachezaji wanaohitajika Arsenal eneo la DM
Tupate DM anayecheza LCM , Zubimendi anafaa halafu tupate na typical DM ,maana Partey , Jorginho na Elneny wanatuaga soonMwengine huyu dogo Andre, ananifurahidha sana uchezaji wake, ni kama Bruno Guimarez. Yuko sharp, anakaba, chenga, hatari sana
GGMWanangu nime-change gia angani tuiombee nyumbu washinde
Nyumbu win
Kipala original inabidi aanze kupunguzwa moto huku huku mwanzoni


Nafikiri Mkorea alileta quote ya Henry juu ya kipa. Ramsdale kazi anayo.Ramsdale hawez kurudi no.1
Ndio maana nacheka Sana wale wenye mihemko wakiona Raya kakosea kidogo wanaanza kelele
Makosa yale kawaida kwa makipa wengi tu, ila in General,Raya Ni GK wakiwango Cha juu ,
,vs city vs Chelsea vs sevilla kote huko kacheza vizur tu na anatupa advantage ya 3rd man kwenye build up
Kwasasa Hakuna rotation ya GK, no.1 Ni Raya
Uchizi wao wakuja kutupigia kelele utadumu ndani ya siku tatu tu
Hapa hakuna cha kumsapoti nyumbu wala kenge yoyote yule
City tunamalizana nae wenyewe nyumbu acha zife tu kenge zile

Rambo kurudi namba 1 itakua ishu, nadhani sababu hua anakosa utulivu akiwa golini tofauti na Raya anaefanya hata mabeki wawe na confidence wakiwa na mpiraNafikiri Mkorea alileta quote ya Henry juu ya kipa. Ramsdale kazi anayo.
Hata hivyo Arteta asimfungie vioo jamaa. Akifanya vyema mazoezini agewe nafasi