Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni advantage kwetu ila Nyumbu wana dharau.

City hata ikifungwa haina mashabiki wa kuwacheka
Nyumbus uduwanzi wao ndo huo, wakishinda wanakuja kututambia sisi, kama sisi ndo tumecheza nao, ila Leo nawaombea sare TU inatosha
 
Fofana wanamfananisha na Yaya Toure kwasababu yuko powerful sana, na ngumu sana kumnyang'anya mpira. Kama hujaangalia Ile game ya Emirates cup, kaangalie video zake YouTube utaona uchezaji wake
FOFANA mtu Sana ilikuwa 2nd option yetu ,yupo kwenye list za wachezaji wanaohitajika Arsenal eneo la DM
 
Tuna ile game dhidi ya Soton msimu uliopita.

Tunasuluhu nao 3 kwa 3

Ukiniuliza mimi nitasema magoli mawili ya Soton ni kazi ya Ramsdale.

At some point nahisi Arteta anakumbuka matukio kama hayo
Ramsdale hawez kurudi no.1

Ndio maana nacheka Sana wale wenye mihemko wakiona Raya kakosea kidogo wanaanza kelele

Makosa yale kawaida kwa makipa wengi tu, ila in General,Raya Ni GK wakiwango Cha juu ,

,vs city vs Chelsea vs sevilla kote huko kacheza vizur tu na anatupa advantage ya 3rd man kwenye build up


Kwasasa Hakuna rotation ya GK, no.1 Ni Raya
 
FOFANA mtu Sana ilikuwa 2nd option yetu ,yupo kwenye list za wachezaji wanaohitajika Arsenal eneo la DM
Mwengine huyu dogo Andre, ananifurahidha sana uchezaji wake, ni kama Bruno Guimarez. Yuko sharp, anakaba, chenga, hatari sana
 
Wanangu nime-change gia angani tuiombee nyumbu washinde

Nyumbu win

Kipala original inabidi aanze kupunguzwa moto huku huku mwanzoni
 
Mwengine huyu dogo Andre, ananifurahidha sana uchezaji wake, ni kama Bruno Guimarez. Yuko sharp, anakaba, chenga, hatari sana
Tupate DM anayecheza LCM , Zubimendi anafaa halafu tupate na typical DM ,maana Partey , Jorginho na Elneny wanatuaga soon
 
Advantage ya nyumbu kushinda leo

Watasahau matatizo yao kwa muda
7 hag ataongezwa kandarasi
Kikubwa zaidi Rashford, Bruno, martial, hojlund, Omama wataongezwa mikataba

Viva nyumbu viva
 
Ramsdale hawez kurudi no.1

Ndio maana nacheka Sana wale wenye mihemko wakiona Raya kakosea kidogo wanaanza kelele

Makosa yale kawaida kwa makipa wengi tu, ila in General,Raya Ni GK wakiwango Cha juu ,

,vs city vs Chelsea vs sevilla kote huko kacheza vizur tu na anatupa advantage ya 3rd man kwenye build up


Kwasasa Hakuna rotation ya GK, no.1 Ni Raya
Nafikiri Mkorea alileta quote ya Henry juu ya kipa. Ramsdale kazi anayo.

Hata hivyo Arteta asimfungie vioo jamaa. Akifanya vyema mazoezini agewe nafasi
 
Nafikiri Mkorea alileta quote ya Henry juu ya kipa. Ramsdale kazi anayo.

Hata hivyo Arteta asimfungie vioo jamaa. Akifanya vyema mazoezini agewe nafasi
Rambo kurudi namba 1 itakua ishu, nadhani sababu hua anakosa utulivu akiwa golini tofauti na Raya anaefanya hata mabeki wawe na confidence wakiwa na mpira
 
Martinelli alihitaji 1 v 1 mbili ili kupata goli moja.

Hojlund kashamess up moja
 
Naangalia City anavyofanya JDP kwa kujiachia na jinsi sisi tulivyombana akashindwa na bado kuna chura atakuja kukuambia Erik Kichwa Ngumu ni kocha
 
Back
Top Bottom