Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii arse8 mpaka sasa siyo timu ya kuleta challenge kwenye ligi, yani hata zimebaki mechi mbili mutangaze ubingwa bado mutapigwa tu. Hii timu kwa sasa ni kama Azam tu apa bongo au Spurs flani ivi yani siyo timu ya makombe hii.. kama munabisha tusubiri huu musimu uishe muone kaa mutabeba hata bakuli. Achilia ile shilingi mlobeba ile siyo kombe maana haina stage yeyote ile.
Hii clab kuja kubeba makombe labuda arsene wenger arudi. Hamna timu humu ni uozo ntupu, takataka kabisa🤣🤣🤣🤣🤣
 
I think na Zenchenko hana miaka miwili pale kwa Arteta

Msaada wake ni mdogo sana timu inaposhambuliwa hasa eneo lile,

Ni poor kwa Aslimia 80 kwenye 1v1 angalau angekua ni mzuri kwenye aslimia 50 ila hazifiki izo aslimia.

Timber akirudi game time ya Zinny inapungua zaid ya sasa hivi.
 
Chelsea imejichokea? Waulize liverpool wakuambie msako ulivyokuwa.

Chelsea msimu huu ana advantage kubwa sana ya kufanya zaidi na kumaliza kwenye nafasi za juu tofauti na msimu uliopita kwa sababu hayupo kwenye michuano mingi kama uefa.
Iyo siyo point mzee, apa suala ni kwamba arse8 bado ni timu haina uwezo wa kushiriki michuano mingi ndio maana unaona wanaanza kuishiwa pumzi mapema, hizi mambo tunaeza tu sisi chelsea
 
Iyo siyo point mzee, apa suala ni kwamba arse8 bado ni timu haina uwezo wa kushiriki michuano mingi ndio maana unaona wanaanza kuishiwa pumzi mapema, hizi mambo tunaeza tu sisi chelsea
Mnaweza mko na muchuano mingap msimu huu?
 
Hampingwi humu, invincible inaonekana ipo kabisa msimu huu.

Sisi "tupo nyuma yenu" tunawasapoti.
 
Achana na mambo ya Form bana, Jana Arsenal walikuwa Terrible vibaya mno lakini still waliweza ku managed to come back from 2 goals down .
Biggest rivals wako anachomoa goal 2 nyumbani kwako bado mnaona ni kitu cha kawaida.
Wewe livakuku ulipata point ngapi kwa hii CHelsea ya msimu huu?
 
wewe nae na ma mu,mu yako.......
 
Hiki ndicho kitu hamis hataki kukisikia,ana argue kama vile timu nyingine zinacheza golf tu.
 
Kucheza vibaya kwa arsenal imesababishwa na ubora wa kimbinu na ufundi wa mpinzani wako na sio vinginevyo. Ifikie mahala muwe mnakubali wapinzani wanaowapa changamoto ili kujifunza zaidi kwa ajili ya baadaye.
Ile performance yenu jana watu wanalaumu absence ya Partey lakini tangu msimu huu uanze hajaanzishwa mechi ngapi na matokeo yalikuwa upande wetu?
Kumbukeni hadi sasa mnamzidi manchester United mbovu point 5 tu!
 
Sio point tano mzee..6
 
Huyo Zubimendi akiacha wenge la kutamani kwenda Barca ni Partey mweupe na mdogo.

Huyu Rice akija Arsenal atahitaji robo msimu au nusu msimu kutoa anachotoa Partey. Mchezaji mwingine ambaye watu naona wanamuimba ila hamna kitu ni Rafael Leao
Wakati game ya AC MILAN na JUVENTUS inaendelea hapa, nimekumbuka moja ya comment ya super chambuzi humu ndani. Ikabidi nii search "leao" mpaka nimeipata.

Chambuzi liliona Rafael Leao ni hamna kitu kabisa, hiyo ni March mwaka huu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaaah kweli maumivu yalipungua.
Trosard ni mtu na nusu kaka sema tu arteta ajampa nafasi vya kutosha..

Hivyo habari ya muddy haina Mashiko ukiongeza na price yake zidi ya Trosard me naona ka tulilamba dume..
 
Wakati game ya AC MILAN na JUVENTUS inaendelea hapa, nimekumbuka moja ya comment ya super chambuzi humu ndani. Ikabidi nii search "leao" mpaka nimeipata.

Chambuzi liliona Rafael Leao ni hamna kitu kabisa, hiyo ni March mwaka huu.
Umeangalia game moja ili kupata hitimisho? 😂😂

And no mimi siyo mchambuzi au chambuzi.

Angalia tarehe ya hiyo comment. Kisha chukua stats zake kuanzia anaanza mpira mpaka siku hiyo.

Halafu chukua za siku hiyo mpaka leo.

Fananisha na hype.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…