Huna hiyo timu ,hata Brighton tu humuweziMimi kumaliza top 4 ni muhimu kuna watu wamenishikia nafasi yangu hapo top 4![]()
Kai alipoingia alifanya Hilo kwenye Aerial duelsNaamini Toney/ Osimhen + Diamonde km cover ya Saliba inatufanya tuwe the invincibles again.
kuwa na Toney / Osimhen/ Ferguson basi game ya jn tungeshinda, kuwa na CF mrefu anayeweza kuwin duels kunakupa dynamic tofauti za kuplay out na kupunguza mzigo kwa his teammates, sisi hatuna proper CF, CF wetu hawawezi kudominate aerial balls na kipengele kingine ni kufumania nyavu, Victor Osimhen ni mnyama kila angle.
Shabiki mwenzio huyu alikuwa anamuamini 7hag ,kwasasa amechokaMimi kumaliza top 4 ni muhimu kuna watu wamenishikia nafasi yangu hapo top 4![]()
vs. Chelsea
vs. Lens
️ vs. Bournemouth
️
vs. PSV
️ vs. Spurs
vs. Everton
vs. Man Utd
️ vs. Fulham
vs. Crystal Palace
️ vs. Notts Forest
vs. Man City
Kwa hii comment sasa tuweke rasmi kwmba Man U na Man City ni timu ndogo sio maana wte hao tumewafumua😀😀...yaani huwa sijui mnachambua mpira kishabiki au kwa kuangalia form ya timu....tunasubiri hao kina Nyukesto sijui kina West ham tucheze nao halafu mje hmu....kama tulishikwa jana na wale wakimbiaji wenye mipango na bdo tukalazimisha draw sioni wa kutusumbua zaidi ya Liver na Brighton...nyny wengine bado watoto wadogo sana.....ukitaka kujua nnachokisema nenda kwny msimamo wa ligi halafu angalia pale juu wapo kina nani😀😀😀....subirini j4 mje kutupigia kelele tena humuHumu false hopes nyingi ila ukiangalia kwa ukaribu utakuja gundua katika timu za top 4 Asenane ndiye aliyecheza game nyepesi wakati wengine wanapitia njia ngumu.
👉Asenyani bado hajacheza big match na Liverpool, Brighton, Newcastle, West Ham nk.
👉Game kubwa alizocheza ametoa draw na Tottenham, Chelsea, na pia Fulham.
Maana yake kama Arse8 anadondosha point kizembe hivi kwenye big match tutegemee kuona akidondosha point nyingi zaidi hapo mbeleni akikutana na wakubwa wengine
Na ndio maana nikasema Kai acheze km CF, kucheza na Jesus / Nketiah CF kwanza wanalimit mazingira flani ya mchezo wetu tactically lkn pia sio killers infront of the goal, sasa ni bora tucheze na kai anayetupa unpredictable dynamics upfront hata km hafungi.Kai alipoingia alifanya Hilo kwenye Aerial duels
Same vs City ,Silva na Colwill warefu Sana kuliko Jesus ndio maana alihangaika
Wana stats nzuri sana...mpo nafasi ya ngapi mkuu....leo Aston villa anawarudisha nafasi yenu huko chini...mkqendelee kugombana na kina Manunu😀😀😀Kuna mtu humu ndani aliuliza swali la muhimu sana.
Jamaa aliuliza “ hili jukwaa la Arsenal limeanzishwa toka mwaka 2006 je arsenal ana kombe gani la maana toka jukwaa hili lianzishwe ?” Watu mpaka sasa hajajibiwa 😂😂.
kutokana na sifa zilizozidi humu ndani za hiki kikosi cha Arsenal nina 100000 ya chapu hapa kama kuna mchezaji yeyote yule wa arsenal atakuwa amemzidi mchezaji wa NEWCASTLE hivi vitu
1. Saves na clean sheet ( Nick Pope)
2. Assists ( Trippier)
3. Goals ( isak or wilson )
Kuna 100000 ya chapu hapa mchezaji yeyote yule wa false hopers.
Timu maneno mengi ya kufikirika kuliko uhalisia wa stats😆😆.
Read between the lines Ukiangalia kishabiki huwezi kuielewa hii commentKwa hii comment sasa tuweke rasmi kwmba Man U na Man City ni timu ndogo sio maana wte hao tumewafumua😀😀...yaani huwa sijui mnachambua mpira kishabiki au kwa kuangalia form ya timu....tunasubiri hao kina Nyukesto sijui kina West ham tucheze nao halafu mje hmu....kama tulishikwa jana na wale wakimbiaji wenye mipango na bdo tukalazimisha draw sioni wa kutusumbua zaidi ya Liver na Brighton...nyny wengine bado watoto wadogo sana.....ukitaka kujua nnachokisema nenda kwny msimamo wa ligi halafu angalia pale juu wapo kina nani😀😀😀....subirini j4 mje kutupigia kelele tena humu
Yanafurahia sare yametuwekea standard kushinda tuWe are fvcking massive.
Mamluki yamejaa humu
Cha ajabu manyumbu na kenge wanaopiga kelele humu siwaoni hata top 6 hawapo.Sikuwahi kuwaza kuwa kwenye mechi zetu tisa (9) za kwanza za ligi msimu huu katika ratiba yetu ngumu tungeweza kuwa unbeaten huku tukiwa kileleni (joint)
View attachment 2788949
Mjitahidi mechi ya marudiano muwe full halafu mje tucheze mkuu😀😀😀....timu mna miaka sijui 4 sijui mingapi hamjawahi kutufunga halafu mnakuja na ngonjera za kijinga hmu....hyo miaka mingine tuliyokuwa tunawatungua mlikuwa na kikosi D kabisa sioChelsea B vs Arsenal A: 2-2
Tungecheza na Full team A mngelamba vumbi hadi mvimbiwe
Jesus acheze CF but kwa mech za kawaida, ukiangalia Silva na Colwill ni warefu Sana ,Na ndio maana nikasema Kai acheze km CF, kucheza na Jesus / Nketiah CF kwanza wanalimit mazingira flani ya mchezo wetu tactically lkn pia sio killers infront of the goal, sasa ni bora tucheze na kai anayetupa unpredictable dynamics upfront hata km hafungi.
Jesus inabidi awe backup ya Saka from now on.
Inaonesha Kai anafit zaidi CF kuliko LCM, hata Kocha kaanza kumtoa hapoIla kai harvertz ana balaa, jamaa anaruka juu afu anadondosha pasi ya kichwa kwenye box, sasa mipira km ile inakutana na mtu kma Jude au Bruno G ndo ile utasikia 'watalokota wenyewe kunyamvu' ndo maana naona tunahitaji a new LCM, mtu flani anayeweza kuattack the box kwa haraka, technical, physical na ball striking kwa sana.