Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Invincible after playing Chelsea, Manchester United, Tottenham and Manchester City in the first 9 games.

Level on points with City at top- I will take that
20231022_111303.jpg
 
Naamini Toney/ Osimhen + Diamonde km cover ya Saliba inatufanya tuwe the invincibles again.

kuwa na Toney / Osimhen/ Ferguson basi game ya jn tungeshinda, kuwa na CF mrefu anayeweza kuwin duels kunakupa dynamic tofauti za kuplay out na kupunguza mzigo kwa his teammates, sisi hatuna proper CF, CF wetu hawawezi kudominate aerial balls na kipengele kingine ni kufumania nyavu, Victor Osimhen ni mnyama kila angle.
Kai alipoingia alifanya Hilo kwenye Aerial duels

Same vs City ,Silva na Colwill warefu Sana kuliko Jesus ndio maana alihangaika
 
Mchezaji wenu ODEGAARD nataka mnikumbushe nyie Mashabiki wa Arsenal ni lini Odegaard alikuwa Stepped up na Dropped A top class performance kwenye Big Game.

Odegaard kuna muda Arsenal huwa ina muhitaji ,He goes missing far too often.
 
Sikuwahi kuwaza kuwa kwenye mechi zetu tisa (9) za kwanza za ligi msimu huu katika ratiba yetu ngumu tungeweza kuwa unbeaten huku tukiwa kileleni (joint)

20231022_111753.jpg
 
vs. Chelsea
vs. Lens
️ vs. Bournemouth
vs. PSV
️ vs. Spurs
vs. Everton
vs. Man Utd
️ vs. Fulham
vs. Crystal Palace
️ vs. Notts Forest
vs. Man City

Bukayo Saka has RETURNED a direct goal contribution in all but one game he’s featured in this season.
 
Humu false hopes nyingi ila ukiangalia kwa ukaribu utakuja gundua katika timu za top 4 Asenane ndiye aliyecheza game nyepesi wakati wengine wanapitia njia ngumu.

👉Asenyani bado hajacheza big match na Liverpool, Brighton, Newcastle, West Ham nk.

👉Game kubwa alizocheza ametoa draw na Tottenham, Chelsea, na pia Fulham.

Maana yake kama Arse8 anadondosha point kizembe hivi kwenye big match tutegemee kuona akidondosha point nyingi zaidi hapo mbeleni akikutana na wakubwa wengine
Kwa hii comment sasa tuweke rasmi kwmba Man U na Man City ni timu ndogo sio maana wte hao tumewafumua😀😀...yaani huwa sijui mnachambua mpira kishabiki au kwa kuangalia form ya timu....tunasubiri hao kina Nyukesto sijui kina West ham tucheze nao halafu mje hmu....kama tulishikwa jana na wale wakimbiaji wenye mipango na bdo tukalazimisha draw sioni wa kutusumbua zaidi ya Liver na Brighton...nyny wengine bado watoto wadogo sana.....ukitaka kujua nnachokisema nenda kwny msimamo wa ligi halafu angalia pale juu wapo kina nani😀😀😀....subirini j4 mje kutupigia kelele tena humu
 
Kai alipoingia alifanya Hilo kwenye Aerial duels

Same vs City ,Silva na Colwill warefu Sana kuliko Jesus ndio maana alihangaika
Na ndio maana nikasema Kai acheze km CF, kucheza na Jesus / Nketiah CF kwanza wanalimit mazingira flani ya mchezo wetu tactically lkn pia sio killers infront of the goal, sasa ni bora tucheze na kai anayetupa unpredictable dynamics upfront hata km hafungi.

Jesus inabidi awe backup ya Saka from now on.
 
Wakati wenzetu wanasheherekea draw na wapo Regelation zone


️ | Arsenal star winger Bukayo Saka on IG following last night’s 2-2 draw with Chelsea.

“Good team spirit to fight back, but we always want more.
 
Kuna mtu humu ndani aliuliza swali la muhimu sana.
Jamaa aliuliza “ hili jukwaa la Arsenal limeanzishwa toka mwaka 2006 je arsenal ana kombe gani la maana toka jukwaa hili lianzishwe ?” Watu mpaka sasa hajajibiwa 😂😂.

kutokana na sifa zilizozidi humu ndani za hiki kikosi cha Arsenal nina 100000 ya chapu hapa kama kuna mchezaji yeyote yule wa arsenal atakuwa amemzidi mchezaji wa NEWCASTLE hivi vitu
1. Saves na clean sheet ( Nick Pope)
2. Assists ( Trippier)
3. Goals ( isak or wilson )
Kuna 100000 ya chapu hapa mchezaji yeyote yule wa false hopers.
Timu maneno mengi ya kufikirika kuliko uhalisia wa stats😆😆.
Wana stats nzuri sana...mpo nafasi ya ngapi mkuu....leo Aston villa anawarudisha nafasi yenu huko chini...mkqendelee kugombana na kina Manunu😀😀😀
 
Kwa hii comment sasa tuweke rasmi kwmba Man U na Man City ni timu ndogo sio maana wte hao tumewafumua😀😀...yaani huwa sijui mnachambua mpira kishabiki au kwa kuangalia form ya timu....tunasubiri hao kina Nyukesto sijui kina West ham tucheze nao halafu mje hmu....kama tulishikwa jana na wale wakimbiaji wenye mipango na bdo tukalazimisha draw sioni wa kutusumbua zaidi ya Liver na Brighton...nyny wengine bado watoto wadogo sana.....ukitaka kujua nnachokisema nenda kwny msimamo wa ligi halafu angalia pale juu wapo kina nani😀😀😀....subirini j4 mje kutupigia kelele tena humu
Read between the lines Ukiangalia kishabiki huwezi kuielewa hii comment
 
Chelsea B vs Arsenal A: 2-2
Tungecheza na Full team A mngelamba vumbi hadi mvimbiwe
Mjitahidi mechi ya marudiano muwe full halafu mje tucheze mkuu😀😀😀....timu mna miaka sijui 4 sijui mingapi hamjawahi kutufunga halafu mnakuja na ngonjera za kijinga hmu....hyo miaka mingine tuliyokuwa tunawatungua mlikuwa na kikosi D kabisa sio
 
Na ndio maana nikasema Kai acheze km CF, kucheza na Jesus / Nketiah CF kwanza wanalimit mazingira flani ya mchezo wetu tactically lkn pia sio killers infront of the goal, sasa ni bora tucheze na kai anayetupa unpredictable dynamics upfront hata km hafungi.

Jesus inabidi awe backup ya Saka from now on.
Jesus acheze CF but kwa mech za kawaida, ukiangalia Silva na Colwill ni warefu Sana ,

Tungeanza na Kai CF Wala wasingemsumbua ,Kai alipoingia akiwa dominate Silva na Colwill, tukaanza kupata nafasi
 
Ila kai harvertz ana balaa, jamaa anaruka juu afu anadondosha pasi ya kichwa kwenye box, sasa mipira km ile inakutana na mtu kma Jude au Bruno G ndo ile utasikia 'watalokota wenyewe kunyamvu' ndo maana naona tunahitaji a new LCM, mtu flani anayeweza kuattack the box kwa haraka, technical, physical na ball striking kwa sana.
 
“I think the first half is probably the worst we’ve played all season.”

- Declan Rice
 
Ila kai harvertz ana balaa, jamaa anaruka juu afu anadondosha pasi ya kichwa kwenye box, sasa mipira km ile inakutana na mtu kma Jude au Bruno G ndo ile utasikia 'watalokota wenyewe kunyamvu' ndo maana naona tunahitaji a new LCM, mtu flani anayeweza kuattack the box kwa haraka, technical, physical na ball striking kwa sana.
Inaonesha Kai anafit zaidi CF kuliko LCM, hata Kocha kaanza kumtoa hapo
 
Back
Top Bottom