Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Kwl hawako tyr mkuu.They are not ready for thisView attachment 2787887
Kwa Arsenal hii hakuna kama hii Gunners
Kwl hawako tyr mkuu.They are not ready for thisView attachment 2787887
Na Gwajiboi yupo zake Japenga na timu ya Rede[emoji16][emoji16][emoji23].
Ngj tusogee kdg kdg msibani tunaamin marehemu kashakufa huyu lbd itokee miujiza ya Gwajima kumfufua[emoji23]
Naomba record zikutambue uliongea haya [emoji419]Leo tutawakata hicho kidomo domo Chenu , mmekuwa viburi sana sikuhizi , tutawanyoa leo
Ama kwl mnafanya mazoez hata mm naona.Leo tupo katika training ground yetu
Mnachotakiwa kufanya, msikubali tupishane. Mtakufa nyingi
Arteta Kama ame-bet hiviKwl hawako tyr mkuu.
Kwa Arsenal hii hakuna kama hii Gunners
Mkuu Arteta ni master class huwezi mpangia.Arteta Kama ame-bet hivi
Shida ya partey ni nini?
Bado hamjasema ,mtasema tu ....Huyu muddy vipi tena?
Wanaangalia futi wekiDuh huyu RAYA mhhhhh
Mkuu Habari ya jioni[emoji1474]Nimependa tu jinsi Chelkenge wamepata confidence ya kuongea pumba zao humu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Leo Marastafali kazi yenu ni moja tu ya kuwavutisha Arsenyani bange.Nimesema mpaka kuombea poo leo , hatucheki na kima leo
Mtalala na viatu , mmeyakanyaga leo
Arsenal acheni utani nmewapa OV 0.5 hahahaha!Ligi ikichukuliwa na Timu hii ya kibwege itakuwa imenajisiwa , na sisi hatuwezi kulikubali hilo litokee. Chelsea piga haoooooo.