toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
A single matchHamna timu ya ubingwa. Tafuteni kocha wa kueleweka.
A single matchHamna timu ya ubingwa. Tafuteni kocha wa kueleweka.
Kwl hawako tyr mkuu.They are not ready for thisView attachment 2787887
Na Gwajiboi yupo zake Japenga na timu ya Rede.
Ngj tusogee kdg kdg msibani tunaamin marehemu kashakufa huyu lbd itokee miujiza ya Gwajima kumfufua![]()


Naomba record zikutambue uliongea hayaLeo tutawakata hicho kidomo domo Chenu , mmekuwa viburi sana sikuhizi , tutawanyoa leo

Ama kwl mnafanya mazoez hata mm naona.Leo tupo katika training ground yetu
Mnachotakiwa kufanya, msikubali tupishane. Mtakufa nyingi
Arteta Kama ame-bet hiviKwl hawako tyr mkuu.
Kwa Arsenal hii hakuna kama hii Gunners
Mkuu Arteta ni master class huwezi mpangia.Arteta Kama ame-bet hivi
Shida ya partey ni nini?
Bado hamjasema ,mtasema tu ....Huyu muddy vipi tena?



Wanaangalia futi wekiDuh huyu RAYA mhhhhh
Mkuu Habari ya jioniNimependa tu jinsi Chelkenge wamepata confidence ya kuongea pumba zao humu
