Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Niliandika kabla ya Mechi kumwambia huyu Mhuni HAMIS kwamba ajifunze kumheshimu Mpinzani,aache kudanganya watu humu na VITAKWIMU vyake vya KISENGE,haya dakika 45 hatuna hata on target mojani mazuzu tu ambao huwa wanamuamini na nyuzi zake za KIPUUZI humu jukwaani
Mkuu naomba tena kwa mara nyngne record zioneshe ulisema.
 
Hapa tupambane angalau tupate hata Draw,tuache kuamini matumaini ya kisenge anayotupaga huyu Mhuni HAMIS,kila siku huwa nampinga humu,lakini akianzaga kuwajaza upepo humu utadhani wachezaji wa Arsenal wana miguu mitano na wapinzani miwili,halafu anajiita mchambuzi nguli kumbe mchambuzi NYUMBU tu
Nasema record zitatambue kiongoz hapa alisema
 
Back
Top Bottom