Huyo jamaa hayuko sawa wala usishangae tushamzoea huku na maujinga ujinga yake.Jifunze kumheshimu Mpinzani,acha kuaminisha watu ujinga humu,hao wote ni wanaume 22 wenye miguu miwili kila mmoja,hata wale LENS uliaminisha watu ujinga mwisho wa siku tukagongwa,jifunze kumheshimu Mpinzani wako
Kesho basi, tutafanya hivyoWe have to take our chances and start shooting
Ndo uwezo wenu hukStill sloppy sloppy sloppy
ni mazuzu tu ambao huwa wanamuamini na nyuzi zake za KIPUUZI humu jukwaani
Kama nyie mlivyokamia game ya City sio. Kubalini Poch kawazidi mbinu.Sub ya partey isichelewe, Kenge wamekamia hii game
Muuwe piga kabisa kichwaniNiliandika kabla ya Mechi kumwambia huyu Mhuni HAMIS kwamba ajifunze kumheshimu Mpinzani,aache kudanganya watu humu na VITAKWIMU vyake vya KISENGE,haya dakika 45 hatuna hata on target mojani mazuzu tu ambao huwa wanamuamini na nyuzi zake za KIPUUZI humu jukwaani
Ni sahihi lakini Mketiah hapanaArteta acheze vizuri kwenye sub
Partey
Trossad
Kai
Nketiah
From my point of view, partey anatosha kuleta dynamic nzuri pale Kati,
Defensively joginho sio mzuri hii inasababisha saka, martinel, odegard, jesus wasiwe huru Sana Kule mbele
Bring in octopus tumalize game![]()
UjuajiYou rest key players only when you have justifiable reasons; I am not sure if arteta has a reason for leaving Partey out