Uzembe ni yale yaliyowakuta Kuku, sisi kilichotutokea jana siyo uzembe bali ni jitihada za makusudi kabisa za officials kutudhulumu.Sio kwamba kwasababu tumeshinda ndo tumevungia madudu ya officials, hapana. Walifanya hovyo jana Kovacic kubaki uwanjani.
Anyway kama tulivosema hiki kikombe ni cha wote, hujui ni siku gani timu yako itakumbana na uzembe wa officials.
Ila, je, anastahili kucheza nasi kwa kiwango alichoonyesha so far? Kweli hatustahili mchezaji bora zaidi yake? Na walia bora zaidi yake siyo wengi tu?Kai atakuwa anacheza CF au LCM pale panapohitajika
Timu ikiwa fit ,Kai atasubiri bench kupokezana na Jesus
Well saidUzembe ni yale yaliyowakuta Kuku, sisi kilichotutokea jana siyo uzembe bali ni jitihada za makusudi kabisa za officials kutudhulumu.
🤣🤣🤣🤣....labda alitaka bwana mdogo Odegaard angevunjika kabisa ndo ingeonekana ile ilikuwa rafu mbaya sana...Well said
allypipi nyumbu anakuambia mechi ingekosa mvuto Kama covasic angepata red
Nikajisemea kimoyo moyo "Once a nyumbu always a nyumbu"
Ila nyumbu ni nyumbu tuKwanza kabisa Gunners hongereni kwa kumfunga City maana alizoea kuwanyanyasa muda mrefu sana. Nashindwa kujua furaha yenu imejengwa na kumfunga City au kukaa juu ya City kwenye msimamo wa ligi?
Katika hoja zote 2 hapo juu ni kwamba mnaizidi City point 2 pekee wakati ndio kwanza mechi ya 8 ya msimu. Kama experience ni mwalimu mzuri,msingefiria ubingwa katika kipindi hiki kwa ubabe wenu wa point 2 dhidi ya City.
Ijumaa niliongea humu kuhusu udhaifu wa sasa wa City kwa sasa ya ukos3fu wa wachezaji wake muhimu watu wakasema City sio mchezaji bali ni mfumo uliotengenezwa na plan na mbinu za Pep,ni kweli lakini mwisho wa siku ili hilo dude lifanye kazi linahitaji watu sahihi wa kuliendesha,hapo ndipo unakutana na brain za De Bruyne,silva pamoja na Rodri. Jana Silva kacheza lakini hakuwa kwenye kiwango chake sababu nadhani za majeruhi au kutu ya kutokuwepo uwanjani kitambo kidogo au alikosa muunganiko aliouzoea toka kwa machine De Bruyne na Rodri.
Nafasi ya Rodri alicheza Kovacic angalia utumbo aliokuwa anaufanya uwanja ila Pep alikosa mbadala tu,nusura aigjatimishe timu kwa Red card. Rico William ndio alicheza nafasi ya De bruyne,hakuna mfanano wa hata 60% kiubora kwenye eneo hilo ndio maana Haaland alionekana kama Benteke tu. Hakuna huduma ya maana ilikuja kwake kutokana na uchezaji wake. Hata hizo 4 shots off target niliona zimechezwa na wchezaji wengine tu.
Kwahiyo Gunners wakati mnafurahia kumfunga City jana,kumbukeni wachezaji wake 2 hawakuwepo na mmoja ndio kwanza katoka majeruhi muda si mrefu.
Kila mtu anajua mwendo bado mrefu lakini haituzuii kushangilia kila tunaposhinda wewe unataka tunune au vipi? Matumaini lazima tujipe kuisupport team ipambane zaidi of which hakuna ubaya katika hilo..Kwa ligi ilipo sasa hata huyu man utd mnaemdharau aki turn around akashinda mechi 5 mfululizo bado anaweza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa na mta staajabu.
Ngoja tuwape benefit of doubt kwa sasa ila Chelsea nadhani atawashangaza akicheza kwa kujiamini tarehe 21 after int'l break.
Punguzeni matumaini kwa sasa mwendo bado mrefu.
Manjesta haiwezi kushinda mechi 5 mfululizo ,hizo Ni tabia za title contendersKwa ligi ilipo sasa hata huyu man utd mnaemdharau aki turn around akashinda mechi 5 mfululizo bado anaweza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa na mta staajabu.
Ngoja tuwape benefit of doubt kwa sasa ila Chelsea nadhani atawashangaza akicheza kwa kujiamini tarehe 21 after int'l break.
Punguzeni matumaini kwa sasa mwendo bado mrefu.
Sisi tumemkosa Bukayo saka , Martinelli, Partey ,Ila nyumbu ni nyumbu tu
Arsenal kila inapokutana na city inakua na injury za wachezaji muhimu ila kitachojadiliwa ni ubora wa city sio Arsenal kukosa wachezaji wake muhimu
Jana city kapigwa hoja zinazokuja ni KDB kukosekana na Rodri kuwa na red card sio ubora wa Arsenal na Mbinu za Arteta
Ushindi wa jana una boost confidence ya timu katika mbio za ubingwa
Tunamuhitaji mtu Kama Toney au Osimhen pale mbeleIla, je, anastahili kucheza nasi kwa kiwango alichoonyesha so far? Kweli hatustahili mchezaji bora zaidi yake? Na walia bora zaidi yake siyo wengi tu?
Hivi najiuliza hivi saka,martinelli na jesus wakiwa fit sasa toney atacheza wapi au jesus atapewa majukumu mengine? Naomba kueleweshwa hapa.Tunamuhitaji mtu Kama Toney au Osimhen pale mbele
Jesus atacheza either wings kulia au kushoto...itasaidia Martinelli na Saka kupata mapumziko yanayostahili....wakati mwingine anacheza CF anabadilishana na Toney yaani ni vyvyte mwalimu atakavyoamua kumtumia kutokana na aina ya mechi...Trossard anaweza kucheza kama LCM na nadhani hapo ndo anapaweza zaidi...kumchezesha winger ni kumtwika mzigo ambao atasumbuka nao kutokana na set up ya timu yetu....tunahitaji winger wanaokimbia sana ingawa Saka sio mkimbiaji sana ila ni mzuri 1v1 kwa sababu ana nguvuHivi najiuliza hivi saka,martinelli na jesus wakiwa fit sasa toney atacheza wapi au jesus atapewa majukumu mengine? Naomba kueleweshwa hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeuliza swali Kama hao watu ni marobotiHivi najiuliza hivi saka,martinelli na jesus wakiwa fit sasa toney atacheza wapi au jesus atapewa majukumu mengine? Naomba kueleweshwa hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itabidi kucheza 4 2 4Hivi najiuliza hivi saka,martinelli na jesus wakiwa fit sasa toney atacheza wapi au jesus atapewa majukumu mengine? Naomba kueleweshwa hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saka yupo top 3 nadhani ya wenye pace kubwa pale arsenal anacheza vile unavyoona hakimbii sababu ya tactics za mwalimu tuJesus atacheza either wings kulia au kushoto...itasaidia Martinelli na Saka kupata mapumziko yanayostahili....wakati mwingine anacheza CF anabadilishana na Toney yaani ni vyvyte mwalimu atakavyoamua kumtumia kutokana na aina ya mechi...Trossard anaweza kucheza kama LCM na nadhani hapo ndo anapaweza zaidi...kumchezesha winger ni kumtwika mzigo ambao atasumbuka nao kutokana na set up ya timu yetu....tunahitaji winger wanaokimbia sana ingawa Saka sio mkimbiaji sana ila ni mzuri 1v1 kwa sababu ana nguvu