Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sio kwamba kwasababu tumeshinda ndo tumevungia madudu ya officials, hapana. Walifanya hovyo jana Kovacic kubaki uwanjani.

Anyway kama tulivosema hiki kikombe ni cha wote, hujui ni siku gani timu yako itakumbana na uzembe wa officials.
Uzembe ni yale yaliyowakuta Kuku, sisi kilichotutokea jana siyo uzembe bali ni jitihada za makusudi kabisa za officials kutudhulumu.
 
Kwanza kabisa Gunners hongereni kwa kumfunga City maana alizoea kuwanyanyasa muda mrefu sana. Nashindwa kujua furaha yenu imejengwa na kumfunga City au kukaa juu ya City kwenye msimamo wa ligi?

Katika hoja zote 2 hapo juu ni kwamba mnaizidi City point 2 pekee wakati ndio kwanza mechi ya 8 ya msimu. Kama experience ni mwalimu mzuri,msingefiria ubingwa katika kipindi hiki kwa ubabe wenu wa point 2 dhidi ya City.

Ijumaa niliongea humu kuhusu udhaifu wa sasa wa City kwa sasa ya ukos3fu wa wachezaji wake muhimu watu wakasema City sio mchezaji bali ni mfumo uliotengenezwa na plan na mbinu za Pep,ni kweli lakini mwisho wa siku ili hilo dude lifanye kazi linahitaji watu sahihi wa kuliendesha,hapo ndipo unakutana na brain za De Bruyne,silva pamoja na Rodri. Jana Silva kacheza lakini hakuwa kwenye kiwango chake sababu nadhani za majeruhi au kutu ya kutokuwepo uwanjani kitambo kidogo au alikosa muunganiko aliouzoea toka kwa machine De Bruyne na Rodri.

Nafasi ya Rodri alicheza Kovacic angalia utumbo aliokuwa anaufanya uwanja ila Pep alikosa mbadala tu,nusura aigjatimishe timu kwa Red card. Rico William ndio alicheza nafasi ya De bruyne,hakuna mfanano wa hata 60% kiubora kwenye eneo hilo ndio maana Haaland alionekana kama Benteke tu. Hakuna huduma ya maana ilikuja kwake kutokana na uchezaji wake. Hata hizo 4 shots off target niliona zimechezwa na wchezaji wengine tu.

Kwahiyo Gunners wakati mnafurahia kumfunga City jana,kumbukeni wachezaji wake 2 hawakuwepo na mmoja ndio kwanza katoka majeruhi muda si mrefu.
 
Kwa ligi ilipo sasa hata huyu man utd mnaemdharau aki turn around akashinda mechi 5 mfululizo bado anaweza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa na mta staajabu.

Ngoja tuwape benefit of doubt kwa sasa ila Chelsea nadhani atawashangaza akicheza kwa kujiamini tarehe 21 after int'l break.

Punguzeni matumaini kwa sasa mwendo bado mrefu.
 
RICE and PARTEY
Ila jamani nimepitia uzi mzma baada ya ushindi sion kabisa mkizungumzia partey effect kwenye game,jamaa kaingia akaset tempo ya game,man city wote wakapotea kabisa,baada ya hapo hata tungecheza dakika 20 nyingine man city asifanya chochote,Partey anajua mpira anacomposure,anafanya vitu vigumu viwe vya kawaida,anapenyeza pasi inamfikia mtu comfortable.anakaa na mpira na anachagua pasi sahihi bila papara.hata ile pasi ndefu iliyokwenda kuzaa goli unaweza kuiona ni rahisi ila wachache sana wanaweza kupiga.kingine cha kuzingatia odeagard kwenye mechi kubwa asipokuwepo partey na yeye anapotea kabisa,angalia alivyoingia partey na yeye ndio akaanza kuonekana.Kuna vitu partey anavyo rodri hana

Rice
Huyu mtu hatari sana,anakaba kama mwizi arafu hachezi faulo wachache sana wanaweza kufanya hivi,alikuwa anafanya kazi chafu kwa usahihi sanaa.Kati ya vitu vya kuombea ni huyu awe fit na partey na odergaard itakuwa ngumu sana arsenal kuporteza mechi kubwa.Najua partey anaumia sana,ila tuombe arteta asimuuze kama kweli tunataka may tuwe pale wimbley kama ambavyo anasema chambuzi la FIFA(hamis77).

Mwisho
Wale mashabiki wanaoojita wa arsenal timu ikishinda ndio wanakuwa kama wagonjwa hatuoni hisia zao na kushangilia basi na hata ikitokea timu imepoteza bahati mbaya wakae kimya waache kuisema vibaya timu
 
Kwanza kabisa Gunners hongereni kwa kumfunga City maana alizoea kuwanyanyasa muda mrefu sana. Nashindwa kujua furaha yenu imejengwa na kumfunga City au kukaa juu ya City kwenye msimamo wa ligi?

Katika hoja zote 2 hapo juu ni kwamba mnaizidi City point 2 pekee wakati ndio kwanza mechi ya 8 ya msimu. Kama experience ni mwalimu mzuri,msingefiria ubingwa katika kipindi hiki kwa ubabe wenu wa point 2 dhidi ya City.

Ijumaa niliongea humu kuhusu udhaifu wa sasa wa City kwa sasa ya ukos3fu wa wachezaji wake muhimu watu wakasema City sio mchezaji bali ni mfumo uliotengenezwa na plan na mbinu za Pep,ni kweli lakini mwisho wa siku ili hilo dude lifanye kazi linahitaji watu sahihi wa kuliendesha,hapo ndipo unakutana na brain za De Bruyne,silva pamoja na Rodri. Jana Silva kacheza lakini hakuwa kwenye kiwango chake sababu nadhani za majeruhi au kutu ya kutokuwepo uwanjani kitambo kidogo au alikosa muunganiko aliouzoea toka kwa machine De Bruyne na Rodri.

Nafasi ya Rodri alicheza Kovacic angalia utumbo aliokuwa anaufanya uwanja ila Pep alikosa mbadala tu,nusura aigjatimishe timu kwa Red card. Rico William ndio alicheza nafasi ya De bruyne,hakuna mfanano wa hata 60% kiubora kwenye eneo hilo ndio maana Haaland alionekana kama Benteke tu. Hakuna huduma ya maana ilikuja kwake kutokana na uchezaji wake. Hata hizo 4 shots off target niliona zimechezwa na wchezaji wengine tu.

Kwahiyo Gunners wakati mnafurahia kumfunga City jana,kumbukeni wachezaji wake 2 hawakuwepo na mmoja ndio kwanza katoka majeruhi muda si mrefu.
Ila nyumbu ni nyumbu tu

Arsenal kila inapokutana na city inakua na injury za wachezaji muhimu ila kitachojadiliwa ni ubora wa city sio Arsenal kukosa wachezaji wake muhimu

Jana city kapigwa hoja zinazokuja ni KDB kukosekana na Rodri kuwa na red card sio ubora wa Arsenal na Mbinu za Arteta

Ushindi wa jana una boost confidence ya timu katika mbio za ubingwa
 
Kwa ligi ilipo sasa hata huyu man utd mnaemdharau aki turn around akashinda mechi 5 mfululizo bado anaweza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa na mta staajabu.

Ngoja tuwape benefit of doubt kwa sasa ila Chelsea nadhani atawashangaza akicheza kwa kujiamini tarehe 21 after int'l break.

Punguzeni matumaini kwa sasa mwendo bado mrefu.
Kila mtu anajua mwendo bado mrefu lakini haituzuii kushangilia kila tunaposhinda wewe unataka tunune au vipi? Matumaini lazima tujipe kuisupport team ipambane zaidi of which hakuna ubaya katika hilo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ligi ilipo sasa hata huyu man utd mnaemdharau aki turn around akashinda mechi 5 mfululizo bado anaweza kuingia kwenye kinyang'anyiro cha ubingwa na mta staajabu.

Ngoja tuwape benefit of doubt kwa sasa ila Chelsea nadhani atawashangaza akicheza kwa kujiamini tarehe 21 after int'l break.

Punguzeni matumaini kwa sasa mwendo bado mrefu.
Manjesta haiwezi kushinda mechi 5 mfululizo ,hizo Ni tabia za title contenders

Halafu msituzuie kushangilia kuhusu timu yetu, yaan mnataka tunune kama nyie kila siku pira makande
 
Ila nyumbu ni nyumbu tu

Arsenal kila inapokutana na city inakua na injury za wachezaji muhimu ila kitachojadiliwa ni ubora wa city sio Arsenal kukosa wachezaji wake muhimu

Jana city kapigwa hoja zinazokuja ni KDB kukosekana na Rodri kuwa na red card sio ubora wa Arsenal na Mbinu za Arteta

Ushindi wa jana una boost confidence ya timu katika mbio za ubingwa
Sisi tumemkosa Bukayo saka , Martinelli, Partey ,
 
Hivi najiuliza hivi saka,martinelli na jesus wakiwa fit sasa toney atacheza wapi au jesus atapewa majukumu mengine? Naomba kueleweshwa hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jesus atacheza either wings kulia au kushoto...itasaidia Martinelli na Saka kupata mapumziko yanayostahili....wakati mwingine anacheza CF anabadilishana na Toney yaani ni vyvyte mwalimu atakavyoamua kumtumia kutokana na aina ya mechi...Trossard anaweza kucheza kama LCM na nadhani hapo ndo anapaweza zaidi...kumchezesha winger ni kumtwika mzigo ambao atasumbuka nao kutokana na set up ya timu yetu....tunahitaji winger wanaokimbia sana ingawa Saka sio mkimbiaji sana ila ni mzuri 1v1 kwa sababu ana nguvu
 
Jesus atacheza either wings kulia au kushoto...itasaidia Martinelli na Saka kupata mapumziko yanayostahili....wakati mwingine anacheza CF anabadilishana na Toney yaani ni vyvyte mwalimu atakavyoamua kumtumia kutokana na aina ya mechi...Trossard anaweza kucheza kama LCM na nadhani hapo ndo anapaweza zaidi...kumchezesha winger ni kumtwika mzigo ambao atasumbuka nao kutokana na set up ya timu yetu....tunahitaji winger wanaokimbia sana ingawa Saka sio mkimbiaji sana ila ni mzuri 1v1 kwa sababu ana nguvu
Saka yupo top 3 nadhani ya wenye pace kubwa pale arsenal anacheza vile unavyoona hakimbii sababu ya tactics za mwalimu tu
 
Back
Top Bottom