Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Good analysis
 
Mkorea kwenye moja na mbili
 
Sijaona sababu yoyote yakumchukia dogo nketia Bila sababu kwani nketia hachezi peke ake

Ni vyema ukakosoa kila mvhezaji na siyo kumuandama nketia pekee ake siyo sawa nashukuru kocha Ana imani nae kuliko wewe ulioko busa kwa mparange
 
Sijaona sababu yoyote yakumchukia dogo nketia Bila sababu kwani nketia hachezi peke ake

Ni vyema ukakosoa kila mvhezaji na siyo kumuandama nketia pekee ake siyo sawa nashukuru kocha Ana imani nae kuliko wewe ulioko busa kwa mparange
Dah Mimi sichukiagi mchezaji labda Kama hujui

Nketiah is not enough kwa Arsenal ndio maana Arsenal wanarudi sokon kusaka CF mwingine

Labda hukunielewa tu ,
 
Dhidi ya Man utd 3 points
Dhidi ya Spurs 1 point
Dhidi ya Man City 3 points

Hii ndiyo maana ya timu kubwa.

Ukitaka kushinda Epl lazima uchukue pints kwa Big 6

We are gunners 💪💪
Game na spurs kama partey angekuwepo, zile nafasi kina jesus wangeweka basi tungekuwa tunazungumza mengine.
Kibabu jorginho kiliharibu mambo.

Lakini si mbaya, ndio football.
 
Halafu mtu ukimwambia hizi timu zimebaki majina huko UCL sio za kuziogopa anaona tunadhihaki


| GOAL: Granada double their lead against Barca.

Granada 2-0 FC Barcelona

Zaman unakutana na wahuni Kama 10 hivi Wana world class players kila eneo

Leo Madrid GK kepa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…