verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,127
- 6,179
Haters mje ndo mda wenu huu
Baadae tunaanza kufukua makaburi
Baadae tunaanza kufukua makaburi
Naomba uniitie Pain Killer mkuu....alitoa ahadi humu tukiwafunga ataacha kutumia Jamii Forum mazima....atimize ahadi yake aisee...dharau zilizidi....tusimuone mazima jamii forumKing Kai with assist
Partey ni partey.. kuingia kwa partey ni kama akamtia ndimu declan, declan akachachuka.Nketiah ni takataka nyingie, nitakuwa wa mwisho kuamini anahitajika kwenye timu ya kuchallenge ubingwa, huyu ni mchezaji wa kina everton huko, namuona danny welbeck ndani yake.. bora BALOGUN.
Toa hiyo takataka tia hata saka, jesus arudi kati pale.
Kipi kimefanya matheo kova aendelee na game, diogo jota alikula kadi kwa namna hii hii.
Tunapata tabu ya kutoka pale chini, jorginho na declan wakekabwa saana anahitajika kiungo mnyumbulifu, kiungo fundi, tia partey huyo.
Katakua kameoa kwa arteta kaleMtema mate Nketiah katolewa![]()
Na yule Labyrinth 84 mpiga domo naye aje....asikae kimya tunamhitaji...maana ametunyea sana mchana hmu ndani...nilikuwa namcheki tuKing Kai with assist
Mkuu fukua sanaHaters mje ndo mda wenu huu
Baadae tunaanza kufukua makaburi
Wamelala mkuuHaya akina akina Flani na Ally vipipi mje tuyajenge
Tuna haki ya kupata hata wineleo Kipara ametunyanyasa sana huyu Fala ngoja nikanunue nienjoy na movies zangu leo
Mechi ilikuwa tight sana ni kama vile hakuna mtu aliyetaka kupoteza kwa muda mrefu mpaka nafikiri dakika 25 za mwisho ndio uliona Arsenal wanazitaka zaidi pointi 3 kuliko City na wamestahili kwa hilo
Kipindi cha kwanza kila mmoja alikuwa na mapungufu hasa wakivuka mstari wa kati
Kama ukiwa pressed katikati ya uwanja basi njia nzuri ni pembeni ya uwanja na hapo ndio kipindi cha kwanza walimiss sana huduma ya Saka na Martinelli kwenye 1v1 na fullbacks wa City , ndio maana walikuwa wanatupa sana mipira hasa wakikaribia katikati ya uwanja
Walikuwa wanaishinda pressing ya Arsenal lakini tatizo lao kubwa ilikuwa mbele wamebana uwanja ( Foden Alvarez na Lewis ) walikuwa karibu karibu sana katikati ya mstari wa ulinzi na kiungo wa Arsenal na matokeo yake pembeni ya uwanja waliwaachia Walker na Gvardiol ambao sio wazuri sana kama attacking fullbacks
Kipindi cha pili baada ya kuingia Martinelli lakini hasa hasa Partey ndio naamini mechi ilianza kuwa ya Arsenal zaidi , kwanini ? 
ndio maana City nao walimataka
anajua boli
Saliba roho mbaya sana 





Waje kujisafisha😂Haters mje ndo mda wenu huu
Baadae tunaanza kufukua makaburi
Watubu kabisaaaWaje kujisafisha![]()