Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu fukua sana
Niko nao hawa kenge leo

Nitafukua kaburi moja baada ya jingine hadi international break iishe
20231008_204759.jpg
 
Ikitokea timu ya top 6 isiifunge city yenye mguu mmoja wa bernado silva,basi ijipige ban ya title.
Hii city hata United tunapiga kirahisi sana sema kwenu mnaona maajabu sana.

Erling amegeuka benteke tu
 
Ikitokea timu ya top 6 isiifunge city yenye mguu mmoja wa bernado silva,basi ijipige ban ya title.
Hii city hata United tunapiga kirahisi sana sema kwenu mnaona maajabu sana.

Erling amegeuka benteke tu
Wewe hata Burney anaku outplay ndio utaweza kumfunga city ?

Kwasasa hawaruhusu magoli ya ujanjaujanja

Unaweza kwenda toe to toe na city Kama Arsenal ?

Wewe safari hii utapigwa na top 6 wote
 
Zile debate zao za kijinga jinga kuhusu Declan Rice na other £100M signings kwenye premier league zimeanza kukosa nguvu, taratibu maji yameanza kujitenga na mafuta. A top baller.
 
Hivi ndivyo City anafungwa kwa sasa.

Mzuie asitembee, vumilia show off. Mtambie kidogo.

Shots outta box and voila
Kuna mtu tushawahi kusumbuana sana juu ya namna ya kucheza na City....nilijaribu sana kumfafanulia siku hyo namna ya kucheza na Hawa Mabraza lakini akajifanya haelewi...kwnda toe to toe na Hawa jamaa kiukweli kabisa bdo kidogo...ila tumia vzuri nafasi utakazopata basi unawamaliza....angalia kikosi kilichomaliza hii gemu ndo almost kama kile kikosi kilichocheza nao siku ile....Halaand alikuwa anazurura tu...wekwa mfukoni
 
Back
Top Bottom