hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,287
- 26,693
Computer arsenal
Wewe unatokea mechi unazoona tunafungwa uitukane timu na kumnanga kocha
Unakumbuka ulihamia PSG kwa mbwembwe na vigeregere , hutupi Tena maendeleo huko PSG ,umebaki kuvizia timu ikidroo au kufungwa utukane kocha na wachezaji .
Mech vs manjesta pre season tulipofungwa ,uliiona timu hafai , manjesta ndio wanafaa ,
Mechi ya community shield ulijimaliza ,kumbukumbu zipo
Wewe unatokea mechi unazoona tunafungwa uitukane timu na kumnanga kocha
Unakumbuka ulihamia PSG kwa mbwembwe na vigeregere , hutupi Tena maendeleo huko PSG ,umebaki kuvizia timu ikidroo au kufungwa utukane kocha na wachezaji .
Mech vs manjesta pre season tulipofungwa ,uliiona timu hafai , manjesta ndio wanafaa ,
Mechi ya community shield ulijimaliza ,kumbukumbu zipo




