Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Best Trio Midfield in the world

Ukibisha ukapimwe akili

20231007_084425.jpg
 
Mkuu hili ni jukwaa la Comedy, ukiwa na stress zako we ingia tu humu utacheka mpaka stress zote zinaisha.
Humu wamejazana kina Joti, Bambo, Mpoki, Mtanga, Masanja, Masingeli na chawa wake.


#Arsenyo Ndoo
#Kai Balon D'or
 
Arsenal ya maziwa,asali na Zabibu

Fully fit Arsenal team (bar Timber) for big Man City clash. 🤌
20231008_125823.jpg
 
Yani pep akubali kufungwa 2 games streak
Akubali kubaki na 18 points ilihali akijua kuna wenzie
Wakipata 3 points leo yeye atajikuta wa 3 au 4 kwenye
Ligi kuelekea international break
 
Yani pep akubali kufungwa 2 games streak
Akubali kubaki na 18 points ilihali akijua kuna wenzie
Wakipata 3 points leo yeye atajikuta wa 3 au 4 kwenye
Ligi kuelekea international break
Hayo Mambo sio ya kukubali kwa amri yako, Ila unajikuta una amrishwa
 
Ikitokea city anafungwa leo na Liverpool anashinda
Leo msimamo unakuwa wa
1.Arsenal 20pts
2.Spurs 20pts
3.liverpool 19pts
4.City 18pts


Arsenal fans mtamsamehe bure city leo hata yeye
anakibarua kazi na legacy ya kutetea na sio kuwa
Baba huruma

A draw is goin to be a fair results honestly ila
mkijikuta wakahidi basi lolote litawakuta
Y'all be physical and mental prepared for anything
Coming from tactical master magician the Goat
Pep Guardiola


Master v/s Student
Tactics v/s Tactics
 
Back
Top Bottom