AiseeLeo man city tunamkanda za kutosha
Usije ukakimbia baadaeLeo VAR iwe makini hatutaki malalamiko
Sasa kama kwenye community shield Palmer aliwagonga Goli moja Kali ,Tena tukaja kujisawazisha wenyewe dakika ya 90 sembuse Lewis [emoji23] maana Hakuna mchezaji WA Arsenal aliyefunga ile game ...Rico Lewis starts for Manchester City.
Nitake radhi mkuu ,mm sio tapeli
Mimi Ni mchambuzi nguli mwenye leseni ya FIFA daraja A niliyoipata Zurich Uswis mwaka 2019
Community shield mlijazana kumshabikia bwana wenu mama cita
Alipopigwa mkakimbia
Hayo Mambo sio ya kukubali kwa amri yako, Ila unajikuta una amrishwaYani pep akubali kufungwa 2 games streak
Akubali kubaki na 18 points ilihali akijua kuna wenzie
Wakipata 3 points leo yeye atajikuta wa 3 au 4 kwenye
Ligi kuelekea international break
Hao jamaa wawili wasiookuwepo huwa tunastrugle sana
Nilienda kwenye page yake but sikuikutaKapost kuisapoti Israel Instagram
Wamemjia juu ,ila amefuta
Angepost kuisapoti Palestine ungeshangaa anasapotiwa