hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,286
- 26,689
Mara ya mwisho ametuma ngao# Asenyo Ndoo
#Kai Balon D'or
Naona Mancity leo anaenda kuendelezea palepale alipoishia msimu ulioisha. View attachment 2775282
Leo tunakanda dada enu mama sita
Mara ya mwisho ametuma ngao# Asenyo Ndoo
#Kai Balon D'or
Naona Mancity leo anaenda kuendelezea palepale alipoishia msimu ulioisha. View attachment 2775282
Almost mechi 12 za EPL tumepigwa mfululizo kisha Manchester City fans waiogope Arsenal?Acha kutudanganya hamis77 ,sisi Arsenal fans we are not sure na matokeo ya leo na last season tulikuwa wa moto but ubingwa tulipotezea kwa jamaa baada ya kupigwa home and away na kubeba 6 points za kwetu
Nakubaliana na wewe kuwa football ina matokeo 3 and anything can happen ila kusema Manchester City fans wanaiogopa Arsenal ni uongo mkubwa hata Pep anapenda kucheza na sisi sababu mbinu zote za Arteta anazijua hamtishi wala hamuogopi ,kwenye cameralazima atasema anaiogopa Arsenal ila ni kwa unafiki na kumuheshimu mpinzani



sasa hivi utaitwa mamluki, ili ukubalike humu kama shabiki wa Asenyo unatakiwa uifunge akili yako kwenye sanduku halafu funguo ya hilo sanduku umkabidhi Masingeli au chawa wake. Huyo jamaa alihamia PSG ,Ni wewe ndiye unamrudisha Arsenal kinguvusasa hivi utaitwa mamluki, ili ukubalike humu kama shabiki wa Asenyo unatakiwa uifunge akili yako kwenye sanduku halafu funguo ya hilo sanduku umkabidhi Masingeli au chawa wake.
Humu shabiki wa Asenyau haruhusiwi kureason chochote against timu, kocha, Masingeli pamoja na chawa wake.
#Arsenyo Ndoo
#Kai Balon D'or
Hapa nakazia, nadhani atakuwa ameelewa. Japo historia sio ya kuipuuza moja kwa moja, nayo ina asilimia fulani sometimesRank hazichezi , ndio maana last season Mancity aliwabonda kwa aibu Sana hao Madrid na baryen
Mancity nae simlikuwa mnasema hivo hivo Hana statistic zozote kwa Madrid na Bayern
Mpira Ni current ,historia haichezi
Arsenal 2 malast born 0Leo man city tunamkanda za kutosha
Kuna kauli wanatoa mashabiki wa Manchester united, unaona huu ni utani tuu na mbwembwe za mashabiki. Mfano zile kauli za "Leo ndo tunaanza ligi" wakati ni matchweek 10+.
Ila hawa jamaa humu, mambo wanayosema sio kwa utani, bali ni wanaamini kabisa kama yanawezekana. Mfano Cha-mbuzi Hamisi anadai timu tishio UCL ni Man City tuu. Hii sio kauli tuu, bali ndo imani anayoiamini plus chawa zake.
Wanaamini UCL wao wanaanza round of 16, katika makundi wanamaliza na points 15 mpaka 18.
Na hilo ndo linalifanya hili jukwaa lionekane ni la vichekesho. Ndo maana wengine majukwaa mengine hukuti timu pinzani zikishinda mule. Ila humu, everyone anaona ni jukwaa la utani la Arsenal


Mkuu hili ni jukwaa la Comedy, ukiwa na stress zako we ingia tu humu utacheka mpaka stress zote zinaisha. Flano na Genge lako
Ua Liverkuku
Ua Man City
Ua Makolo
Ua PSG
Ua Atletico Madrid
Weka hata nyumba ya kijijini kwenu



Chambuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi, tunakuomba tu baada ya mpira kuisha usilikimbie jukwaa na kuwatelekeza chawa wako humu wakichezea spana toka kona mbalimbali za ulimwengu. Mzee baba mm lini uliona nakimbia Kama nyie kule kwenu jukwaa mmelitelekezaChambuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi, tunakuomba tu baada ya mpira kuisha usilikimbie jukwaa na kuwatelekeza chawa wako humu wakichezea spana toka kona mbalimbali za ulimwengu.
Leo mkingongwa chukulia tu ni sawa na kunguru kumnyea binadamu anajifuta kisha safari inaendelea.
#Asenyo Kondoo
#Kai Balon D'or
Dah wewe Pro 7HAG hata mechi ya 10 hamjafika mmeshakata tamaa mmehamia mancitaLolote liwakute zuri au baya hatuna undungu
Mimi nawaelewa sana manjestaMkuu hili ni jukwaa la Comedy, ukiwa na stress zako we ingia tu humu utacheka mpaka stress zote zinaisha.
Humu wamejazana kina Joti, Bambo, Mpoki, Mtanga, Masanja, Masingeli na chawa wake.
#Arsenyo Ndoo
#Kai Balon D'or
Tukikaa pale juu with this Midfield Sion Tena wakutufungaMan shitty Leo tunamkung'uta za kutosha, tunapanda pale juu Hadi msimu unaisha hiyo
Mkuu ukipata muda uwa mention chawa wa masingeli tuwajue kwa majinasasa hivi utaitwa mamluki, ili ukubalike humu kama shabiki wa Asenyo unatakiwa uifunge akili yako kwenye sanduku halafu funguo ya hilo sanduku umkabidhi Masingeli au chawa wake.
Humu shabiki wa Asenyau haruhusiwi kureason chochote against timu, kocha, Masingeli pamoja na chawa wake.
#Arsenyo Ndoo
#Kai Balon D'or


