Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani mtu anafungwa na lens lakini bado anamuona bayern ni wa kawaida kisa tu ushindi wake against man utd uliruhusu kufungwa goli nyingi na united.

United ni mbovu ila katika timu ambayo haitabiriki linapokuja suala la big games, maana inaweza kumfunga team yoyote ile sio city sio madrid sio Liverpool.

Man city kamfunga bayern na real madrid si kwamba ni team mbovu bali ni ubora wa city ni wa viwango vingine ,Arsenal hana ubora kulinganisha na city mpaka ajiweke kwenye upande wa kushinda game against hizi team 2.

Linapokuja suala la knockout stage approach ya hizi team ni tofauti kabisa na Group stage.
Halafu ndugu yangu Labyrinth 84 wewe una madini ya kutosha kuhusu mpira, hakika wewe unastahili haswa kua mchambuzi nguli.
Tunakuomba uwe unakuja kwenye jukwaa letu la Man Utd unatupa mawili matatu tufaidike na mawazo yako chanya kuliko kumuachia Masingeli kila siku yeye ni kuchafua tu hali ya hewa.
Man Utd na Newcastle United sisi sote ni dugu moja, wote sisi ni watoto wa baba mmoja mzee United.
Mkuu Labyrinth 84 tunakukaribisha sana kwenye jukwaa la United tufaidike na busara zako.
 
"we stand behind Isael" means zincheko anasuuport islael ,

Mim namsupport zincheko ,vile vile namsupport Palestine,endelea kuchanganyikiwa
Huwezi kua km gagulo kwamba juu wazi na chini wazi. Chagua moja
 
Klopp analalamika anatamani mechi yake na spurs irudiwe kisha kuna mtu anaona Arsenal tulikua hovyo kupata sare akidai Sar na Bissouma ni vibonde.

Waulize nyumbu na liva
 
Full Arsenal XI: Crazy Team

David Raya (GK), William Saliba, Ben White, Gabriel Magalhães, Oleksandr Zinchenko, Martin Odegaard (C), Jorginho, Declan Rice, Gabriel Jesus, Eddie Nketiah, Leandro Trossard.
 
Full Arsenal XI: Crazy Team

David Raya (GK), William Saliba, Ben White, Gabriel Magalhães, Oleksandr Zinchenko, Martin Odegaard (C), Jorginho, Declan Rice, Gabriel Jesus, Eddie Nketiah, Leandro Trossard.
Walificha picha za nini sasa za Training?
 
Full Arsenal XI: Crazy Team

David Raya (GK), William Saliba, Ben White, Gabriel Magalhães, Oleksandr Zinchenko, Martin Odegaard (C), Jorginho, Declan Rice, Gabriel Jesus, Eddie Nketiah, Leandro Trossard.
Nketia kaanza...?z.. tushakufa hii game.
 
.
20230719_154821.jpg
 
Leo na huyu Jorginho wenu sijui Nketiah mtajua hamjui.

Yan sisi tuko na watu nje lkn hamtufungi hii game tunawapasua.
 
Back
Top Bottom