computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Newcastle 3 -0 PSG 0 sometimes tukubali kupokea criticism toka kwa rivals tusipende kujitutumua but in reality team yetu ipo ipo tuKumbe mnatengeneza timu...miaka yte mlikuwa wapi kutengeneza mkuu au mlikuwa championship huko....kama ni hivyo na sisi Sasa ndo tunatengeneza timu Sasa...ndani ya miaka 20 na sisi tutakuwa na makombe kibao kuliko nyny
![]()


