Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Same script au?

RDT_20231004_1317123603581971197401062.png
 

Hizi ndo false hopes tunazozisema kila siku. Ac milan alifungwa na lens akachukua UEFA , arsenal nae kafungwa na lens atachukua UEFA .

UEFA haichukuliwi kwa kufungwa na lens. Waulizeni chelsea, man utd na liverpool ni jinsi gani wanachukua kombe na si hivyo vi false hope vya kufungwa na lens ndo uchukue kombe.
 
Hizi ndo false hopes tunazozisema kila siku. Ac milan alifungwa na lens akachukua UEFA , arsenal nae kafungwa na lens atachukua UEFA .

UEFA haichukuliwi kwa kufungwa na lens. Waulizeni chelsea, man utd na liverpool ni jinsi gani wanachukua kombe na si hivyo vi false hope vya kufungwa na lens ndo uchukue kombe.
Unashabikia timu gani?
 
Kwahiyo unataka kusema Arsenal kafungwa na kikundi cha wakulima so arsenal ni kikundi cha ngoma kimefungwa na kikundi cha wakulima.

Njoo ucheki game zinakutana TEAMS na si vikundi kama jana leo saa 4 …. NEWCASTLE VS PSG.
Huku mwisho umetaja timu au vikundi vya walevi?
 
Nyi jamaa ndo maana huwa mnajinyongaga.

Yaani ni false hope kibao kwa fans wa arsenal, fikiri mtu kama huyu alivyojaa matumaini bandia yaani yeye kashaamini kufungwa na lens tayari ni kiashiria cha kuwa bingwa wa UEFA.

Kuna muda unashangaa hawa majamaa wanakuaje na false hopes za namna hii , ubaya wa false hope ndo kisababishi cha kujinyonga pale mambo yanavyoenda sio.
Angalia ni mashabiki gani wanaongoza kwa kujinyonga kama si Arsenal hii yote si sababu ya kufungwa, maana kila team inafungwa sababu kuu ni kupewa false hopes.

Kuna mtuu alikuambia arsenal lazima iongoze kundi kwa point15-18, saivi kashusha ni point 12- 15 yaani mpaka tufike november itakuwa ni sio mbaya hata tukibeba kombe la EUROPA
 
Yaani ni false hope kibao kwa fans wa arsenal, fikiri mtu kama huyu alivyojaa matumaini bandia yaani yeye kashaamini kufungwa na lens tayari ni kiashiria cha kuwa bingwa wa UEFA.

Kuna muda unashangaa hawa majamaa wanakuaje na false hopes za namna hii , ubaya wa false hope ndo kisababishi cha kujinyonga pale mambo yanavyoenda sio.
Angalia ni mashabiki gani wanaongoza kwa kujinyonga kama si Arsenal hii yote si sababu ya kufungwa, maana kila team inafungwa sababu kuu ni kupewa false hopes.

Kuna mtuu alikuambia arsenal lazima iongoze kundi kwa point15-18, saivi kashusha ni point 12- 15 yaani mpaka tufike november itakuwa ni sio mbaya hata tukibeba kombe la EUROPA
Kwhyo mkuu timu haziruhusiwi kufungwa au🤠🤠🤠....naanza kuhisi ww unashabikia Nyukesto kijanjajanja ila ni the gunners bdo tena inawezekana ndo una uchungu na timu kuliko wte sisi hmu ndani🤠🤠🤠...kile kipigo cha jana kimekuuma sana mkuu🤠🤠...ila usijali tutarekebisha makosa mkuu....
 
Kwhyo mkuu timu haziruhusiwi kufungwa au....naanza kuhisi ww unashabikia Nyukesto kijanjajanja ila ni the gunners bdo tena inawezekana ndo una uchungu na timu kuliko wte sisi hmu ndani...kile kipigo cha jana kimekuuma sana mkuu...ila usijali tutarekebisha makosa mkuu....

Kama unafikiri mimi bado ni false hoper utaendelea kujidanganya , mimi nimeondoka mazima na vipigo kama hivi mnavyovipata ndo furaha kubwa sana kwangu yaani na enjoy kinomanoma.
Nyinyi mpaka kufika may mtakuwa kama last season tu false hopes kibao then hakuna kikombe chochote mtakachochukua .

Jana game before lens mliweka line up mkajua mtawapiga nyingi sasa game imeisha mmepigwa viwili vya halali mnaanza kutafuta hope nyingine kwamba lens alimpiga ac milan akachukua UEFA yaani mnataka kujifananisha na big club kama Ac milan mnajua ina UEFA ngapi? Na nyinyi mnazo ngapi.
 
Kama unafikiri mimi bado ni false hoper utaendelea kujidanganya , mimi nimeondoka mazima na vipigo kama hivi mnavyovipata ndo furaha kubwa sana kwangu yaani na enjoy kinomanoma.
Nyinyi mpaka kufika may mtakuwa kama last season tu false hopes kibao then hakuna kikombe chochote mtakachochukua .

Jana game before lens mliweka line up mkajua mtawapiga nyingi sasa game imeisha mmepigwa viwili vya halali mnaanza kutafuta hope nyingine kwamba lens alimpiga ac milan akachukua UEFA yaani mnataka kujifananisha na big club kama Ac milan mnajua ina UEFA ngapi? Na nyinyi mnazo ngapi.
Kipindi sisi hatuchukui kitu nyny wenzetu Nyukesto mtakuwa mmechukua nini labda🤠🤠🤠
 
Kipindi sisi hatuchukui kitu nyny wenzetu Nyukesto mtakuwa mmechukua nini labda

Sisi ndo kwanza tunatengeneza team within 20 years tutakuwa na makombe yakutosha tu epl kibao mpaka uefa.

Wewe within 20 years nitajie kombe ulilochukua na katika miaka 20 hii una epl ngapi na uefa ngapi?
 
Kumbe mnatengeneza timu...miaka yte mlikuwa wapi kutengeneza mkuu au mlikuwa championship huko🤠🤠🤠....kama ni hivyo na sisi Sasa ndo tunatengeneza timu Sasa...ndani ya miaka 20 na sisi tutakuwa na makombe kibao kuliko nyny 🤠🤠🤠
Sisi ndo kwanza tunatengeneza team within 20 years tutakuwa na makombe yakutosha tu epl kibao mpaka uefa.

Wewe within 20 years nitajie kombe ulilochukua na katika miaka 20 hii una epl ngapi na uefa ngapi?
 
Kama unafikiri mimi bado ni false hoper utaendelea kujidanganya , mimi nimeondoka mazima na vipigo kama hivi mnavyovipata ndo furaha kubwa sana kwangu yaani na enjoy kinomanoma.
Nyinyi mpaka kufika may mtakuwa kama last season tu false hopes kibao then hakuna kikombe chochote mtakachochukua .

Jana game before lens mliweka line up mkajua mtawapiga nyingi sasa game imeisha mmepigwa viwili vya halali mnaanza kutafuta hope nyingine kwamba lens alimpiga ac milan akachukua UEFA yaani mnataka kujifananisha na big club kama Ac milan mnajua ina UEFA ngapi? Na nyinyi mnazo ngapi.
Hizi Kima zinafikiri Uefa ni kama ngao ya jamiii au kombe la mwanaFA.
 
Kulose vs Lens imeharibu mipango mingi sana niliwahi kusema Group B sio easy kama baadhi ya Fans walivyokuwa wanajipa matumaini next game vs Sevilla away haitakuwa easy game at all na Arsenal lazima apate point hapo la sivyo vilio vya mbwa vitasikika kwenye JF
 
Back
Top Bottom