arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Si tumeangalia mpira wte jana mkuu....wamecheza bolu wameshinda ndugu zetu....kwa sasa tunasubiri mpk mechi za mwsho tuone kubwa jinga ni nani na dogo janja atakuwa nani...ila Manunu nyie mjiandae tu kwnda Ueropa kuzugazuga kule na kina Liverpool....focus yte kwa sasa ni j2 dhidi ya City....wale mabraza sijui tutawaambia nn siku hyo maana tuna kesi nao kubwa sanaMkuu arsenal2004 vipi ushamtafuta Labyrinth 84 aje ukuelezee imekuwajekuwaje matokeo ya mechi yao na PSG?


