Kweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2007
- 1,152
- 304
Mpira haujaisha , magoli tumefungwa sababu ya uzembe na uzoefu mdogo wa mabeki, ndio tunalia Wenger asajili mabeki wazoefu, pamoja na yote we have nothing to loose now, nahisi tunaweza kupata japo mabao mawili ila na sisi huku nyuma sidhani kama hesabu ndio imekwisha.