zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,884
- 36,763
Huyu mzigo sielewi waliona nini hadi kumwaga Euro 70 Million..... Bora tungemsajili Madison au Raphinha kwa hiyo pesa
Ujuaji mwingi huyu kocha, msimu uliopita umempa kiburi na kujiona kawa Pep tayari bila kujua Pep ana depth kubwa mnoo iliyojaa qualities kuliko sisi ambao first 11 na sub ni mbingu na ardhi.Bado nawaza Arteta alifikiria nini kumtoa Jesus akamuacha Nketiah..
Jamaa sijui anajiona Frankenstein!
Umepata kwa kupumua Sasa
Ila manjesta Msimu huu nasema hivi mtakonda Sana
Yaan kumbahatisha Burney ,tayari mshaanza midomo
Tuliwahi sema humu Saka angepumzishwa au sub zifanyike kwa wakati. Imagine Saka akiumia? ndio msimu utaishia hapo!msimu huu utakuwa mrefu sna.. ni bora arteta aikache carabao na FA ;timu ibaki na UCL na EPL tu.
kikosi bado kina ishu ya fitness kwa wachezaji wengi tu na wengine naona watachezeshwa games nyingi sna kupita uwezo.. ni kuuwa viwango namna iyo.
Zitto junior huaga una uoni wa mbali sana ndugu yangu, mambo mengi hua unasema mapema kabisa halafu yanakuja kutokea vilevile, hawa wanaokubezaga humu ndani sijui huo ujasiri huwa wanautolea wapi.Tuliwahi sema humu Saka angepumzishwa au sub zifanyike kwa wakati. Imagine Saka akiumia? ndio msimu utaishia hapo!
Sikuona essence ya Saka kucheza zaidi ya dakika 60+ mechi ya PSV. Tukiendelea hivi tutapoteza wachezaji muhimu kwa majeraha.
Hi kauli nai tunaza, Kama hatuja kunyoa nywele kwa chupa🤣😀
Hopeless Fc yaani Arsenyani mkibahatisha hata top4 msimu huu mimi nitawaonyesha paka mwenye vichwa vitatu, mafanikio yenu makubwa msimu huu ni kubeba ngao ya jamii
#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
#Jorginho Ballon d'Or
Vipi kwenye game ya jana Rice alijaa vizuri?ZittoJr ,kuna kipindi ulisema Rice bado hajai. Master ile DM inamshinda na mimi nilikubaliana na wewe, ila kwa nilichokiona toka game na Wale Seleman (Nyumbu) had game ya leo PSV nimekubalo kua Rice ni Dm Pure kabisa na kaiweza kui master vzr kwa aslimia zote
Vipi kwa upande wako Rice bado haiwezi ile DM?
Tulimsubiri Pepe kwa misimu yote 4 kwamba ipo siku ataonyesha uwezo wake.
Kai huko alipotokea hakua na impact yoyote na wao walisubiri misimu 4 afanye la maana ila wapi. Cha ajabu sisi tunampa huo muda kwenye mechi muhimu, kwanini asianzie benchi ajifunze taratibu? Atakuja kutucost kwenye mechi ya muhimu kisa hizi experiments.
😅😅😅
Hopeless Fc yaani Arsenyani mkibahatisha hata top4 msimu huu mimi nitawaonyesha paka mwenye vichwa vitatu, mafanikio yenu makubwa msimu huu ni kubeba ngao ya jamii
#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
#Jorginho Ballon d'Or
Kacheza kamari huyoheee yamekua hayo tena?
Bro mechi ya jana ilikuwa rahisi kwenye face zote,rahisi kuliko hata mechi ya everton,maana tot walikuwa wanafanya mistake nyingi sana wakati wanafanya build up,ile mechi mechi ilikuwa inaisha kipindi cha kwanza kabisa,point zote nne tulipoteza msimu huu sio kwasababu wapinzani walikuwa bora ila kwa sababu tumefanya makosa mengi,na jana kubwa lilikuwa la kiufundi,nketiah mechi nzima hakuwa kwenye form since filimbi ya kwanza,lakin kacheza dakika zote unawaza jana arteta alikwa amelewa ? au dabi imemfanya akaoverthinking,au Jesus alikosa goli kweli lakin alikuwa na mechi nzuri sana jana,unashangaa why alitolewa au aliomba kutoka,why usimtoe nketia mapema ukimpleaka kai kama force 9,then rowe akacheza number 8.asuimbui kudrop point ila point unadrop kwa nani,arafu siku hizi kila mechi kuna muda unafika tunaswitch off then tunaadhibiwaHahaa very funny.
Kwa arsenal iliyopita miaka kadhaa nyuma anakosa key players kama
partey
Timber
Trossard
Martinell
Na bado kwenye Derby kama hii unapata draw.Its not ready but we see the light. Spurs walikuja wana uhakika kwamba hii game wanashinda.
They outplayed us yes but tumepata point moja
Second half baada ya Rice kutoka kiungo chote kikapoteana au ulikua unaangalia mpira SofaScore kaka.Vipi kwenye game ya jana Rice alijaa vizuri?
Sometimes mnatakiwa mkubali zitto junior hua ana jicho la mwewe, jamaa hua ana maono ya mbali ni vile tu kuna watu humu wamejigeuza ni mitume na manabii, wao wakisema ndio sahihi halafu wenzao wakiongea wanaambiwa hawajui mpira.
Zitto junior japokua hua napenda kumzingua ila huyu jamaa ni miongoni mwa mashabiki wa Arsenal wanaojua mpira.
Huyu jamaa ajiangalie kwani arteta hana rafiki wa kudumu kabisaLadies n gentlemen, we have a new Mr 007 in town
View attachment 2761935
Masingeli anasema kazi ya Kai sio kufunga wala kutoa assist, anadai kazi ya Kai aliyopangiwa na Arteta ni kunyumbulika.Ladies n gentlemen, we have a new Mr 007 in town
View attachment 2761935
Huyu kumuuza itakua ngumu kama Ozil au Pepe!! Itabidi kuvunja mkataba na kumlipa. Ishakua hasara na tulisema mapema ila wengi walitukejeli kuwa hatujui lolote kuzidi Arteta!Ladies n gentlemen, we have a new Mr 007 in town
View attachment 2761935
Alafu cha ajabu haumwi wala kuumia.... Yaani fitness ni 100%. Ilihali watu muhimu kama Martinelli ndio wanaumia.Huyu jamaa ajiangalie kwani arteta hana rafiki wa kudumu kabisa
Mech moja imekumaliza?.Kwa maoni yangu nadhani bado hatuna timu ya kushindania makombe makubwa, labda top four ubingwa tumuachie city ata tukiushinda itakuwa ni bahati tuu.