Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaan mchezaji mzuri kwako had asifiwe au wahuzunike alikotoka?

Wachezaji 90%+ waliopo Arsenal wamekuja viwango vyao kawaida na wengi uliwakataa , yaan Kama una mawazo mchezaji anapangwa anacheza tu bila kujua details ndogondogo Basi Kamwe hutaelewa kwann Kai anacheza na ataendelea kucheza ,

Kai angekuwa ovyo Kama unavyodai Basi tungekuwa mechi zote anazocheza tunazidiwa kiungo ,hivi unajua kucheza na Double 10 maana Kai na Øde Ni no.10 4-3-3,Ni timu 2 tu ndio zinacheza hivo DUNIANI kwasasa Arsenal na Mancity ,

Kama Kai ni mbovu kweli kiasi hicho mnachodai tungekuwa exposed Sana eneo la kiungo .

Mashabiki wengi hamtaki kuzingatia vitu Kama movement, distance covered ,positional play, Kuna small details nyingi Sana, mashabiki wanajua kufunga na kutoa assist tu ,

Ni mwaka Jana hapa ulikuwa unapinga Sana usajili wa Jesus, hata Rice Kama sijakosea ulipinga ,n.k

Sikumbuki mchezaji gan alisajiliwa Arsenal ulimkubali au kumpa sapoti ,


Kai kwanza kaanza vzr kuliko wachezaji wengi waliokuja Arsenal labda Kama una matatizo ya kusahau , Ødegaard alitumia miezi 6 alikuwa ovyo ndio maana hata Madrid waliamini Øde Ni flop ndio wakatuuzia kwa £30m , Partey huyu ndio alivurunda Sana ,Kuna mechi tulienda 10 tukashinda moja tu , ,n.k wengi walianza ovyo Sana hapo Arsenal , Kai mechi 4 tu unasema ni mzigo ,

Nikupe taarifa kwa anavyocheza Kai ataendelea Sana kupata nafasi hapo LCM, Nilikuwa naangalia uchambuzi Jana , inaonesha ataendelea kucheza Sana ,

| @PaulMerse Jana anasema kuhusu Kai Havertz:

“I feel for Kai Havertz. He’s playing in a position where it’s not easy. He hasn’t played very well. Mikel Arteta will stick with him. He’s low on confidence but Arsenal have won three and drawn one.”

“You’ve paid that money and put yourself out there to go and get him. The cream rises to the top. I’m a big fan but I did say when he got signed, he has got that look of Mesut Ozil about him.”

“That’s the problem. If it isn’t going well, he doesn’t look too interested. That’s not the case – it just comes across like that.”(sky via tbr)
 
Kila mchezaji anayesajiliwa atapinga Bei au atasema hafai ,alipinga Sana Jesus kusajiliwa
 
Kai Havertz:



“I think so far in my career I had phases here & there where things were a little bumpy & of course I know that you [media] after four matchdays will just point out the negatives & a lot of bad stuff will be written.”

“It’s not the first time I’ve come to a new club & so I know that it can take a bit longer & so I am relaxed about it. It’s only my second month there, so that’s why I’m relatively relaxed.” #afc
 
Nitajie nani sikuwahi kumkubali brother?usipende kukurupuka Mkuu ,player ambaye hadi kesho naona ni mbahatishaji ni NKETIAH pekee huyu sijawahi kumkubali anaenda na upepo kuna muda anakuwa juu kuna muda anakuwa chini haeleweki kama this season amekuja juu but kuna muda utashangaa anarudi chini na Defender wetu Gab amerekebisha makosa yake na kuna siku nilisema akiacha kusinzia aka focus kwenye game hata Brazil national team ataitwa na ameitwa na suala ni aanze benchi ausome mchezo akiingia ajue cha kufanya
 
Kaka Acha porojo na kudanganya members wenye akili humu JF wengine tuna akili na hatuwezi kusema mambo mengi KAI NI MZIGO fanya research ndogo au nikuulize kwa IQ yako timamu why ARTETA anatumia muda kwenye press kumtetea KAI kuliko player yoyote yule?kama una akili jibu utapata kama una akili maana Arsenal ina players wengi why KAI?TAFAKARI

Brother unachekesha sana Odegaard or Partey hawa hakuwahi kucheza EPL na true mchezaji anavyobadili mazingira YES kukutana na mambo mapya sometimes inawezekana akawa flop kwa muda akizoea anakuwa wa moto like Fabio kwa sasa ,mimi namuongelea KAI mwenye season 3 or 4 hapo EPL nipe maajabu yake (statistics)zake kisha tuendelee na mjadala mambo ya formation hayatusaidii sisi fans tunachotaka mchezaji awajibike uwanjani that's it mambo ya 4-3-3 or 3-4-3 hatuna haja nayo au niandike kwa capital letter narudia ODEGAARD OR PARTEY OR FABIO hawakuwahi kucheza EPL but kwa KAI ana season 3 or 4 EPL na ni MZIGO

Sababu ya EGO ya Arteta hatakubali kirahisi kuona kashindwa kwa KAI but naapa ingekuwa kuna kura za wazi zinapigwa kama KAI next game aanze first 11 au akae benchi ungejionea AIBU YAKO
 
Kuna update yoyote juu ya injury ya Gabriel magalhaes jana?
 

Hii ni safi sanaaaa…

Huyu ndo anastahiki alipwe zaidi kuliko mchezaji yeyote arsenal….

Odegard my number one favorite player..

Young captain mpambanaji asiyechoka mda wote.
 
Mbona unakimbilia nimedanganya ,kwann usitetee hoja zako bila kuwahusisha wengine, Kuna mtu au watu nimewashika mashati humu na kuwadanganya?

Sijawahi kuona kwanza hiyo press ambayo Mikel anatumia muda mwingi anamtetea Kai

Labda hujui Press za Arsenal huwa zinaendeshwaje ,

Waandishi ndio huuliza maswali mbalimbali na Kocha huyajibu ,kocha huja kuelezea mechi ijayo na taarifa za majeruhi Basi,

Unataka Kai acheze unavyotaka wewe sababu eti ametoka EPL ,Nan kakudanganya mchezaji akitoka EPL bas anaweza kuwika hapo hapo EPL, Mbona mifano ipo mingi ya wachezaji wanatoka EPL na wanafeli Ligi za wakulima na wapo wanatoka Ligi za wakulima na Wana click EPL faster tu,

Kai anacheza LCM ,majukumu ya LCM mpaka Sasa anayatekeleza vzr kabisa ,labda uje uniambie hapa technically Ni vitu gani hatekelezi ,sio kuleta porojo tu Kai Ni mzigo, how? Ulisema mvivu nitakupa takwimu ndiye mchezaji aliyekimbia kuliko wote hapo Arsenal ,

  • Running [emoji736]
  • Duel winning [emoji736]
  • Reliable passer (89% accuracy) [emoji736]
  • Goals and assists [emoji777]

No research no right to speak
 
Bukayo Saka now has the third highest transfer value in world football, according to @CIES_Football.

The Arsenal winger is only behind Vinicius Junior at Real Madrid and Erling Haaland of Manchester City.

Bukayo’s stocks continue to rise…[emoji409][emoji383]
 
Huo ubavu wa kumfunga Manchester ndio hamna, yaani utd hata iwe mbovu vipi lakini kufungwa na Arsenyani hua ni ngumu same to Liverpuli kwa Man Utd.
Livapunda hata iwe mbovu vipi lakini ikikutana na Utd lazima tuchezee.
[emoji1787]
 
Kwa ukubwa wa kikosi mechi kama hizi ni muhimu sana katika kumpa mwalimu mwanga wa team selection.tactically midfield ni eneo ambalo litampa changamoto kubwa kocha juu ya nani aanze na abaki
Wewe unajua wengi waeopokaji Sana humu jf
 
Moderator nawezaje kuacha kuona replies ambazo anapata mtu niliyemblock? Maana kitendo cha kufungua reply lazima uanze kuona ule utumbo usiotaka kuuona. Ntafurahi kama mkiliboresha hili, yaani ukimlima mtu block ata kile kinachojibiwa kwenye utumbo wake basi usikione. Replies za utumbo ziwe zinaonyesha "show spoiler" Please over Please work on this.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…