hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
#Arsenal tulimaliza mechi na 55% possession, but mashabiki wa manjesta wanadai walicheza vizuri
Arsenal tulizalisha xG ya 2.53 dhidi ya 0.98 man united ,Two big chances Kai & Saka
Tulipiga 209 passes katika final third ya manjesta wakati wao walipiga pass 74 tu kwenye final third ya Arsenal,kwa dakika 100
Ni 16% tu ya pass zote za man united ndio walipiga kwenye final third ya Arsenal ,nyingine zote walipiga kwenye backline Yao na chache eneo la kiungo , compared to Arsenal walipiga 40 % ya pass zote kwenye final third ya man u
Key area domination.
Arsenal tulizalisha xG ya 2.53 dhidi ya 0.98 man united ,Two big chances Kai & Saka
Tulipiga 209 passes katika final third ya manjesta wakati wao walipiga pass 74 tu kwenye final third ya Arsenal,kwa dakika 100
Ni 16% tu ya pass zote za man united ndio walipiga kwenye final third ya Arsenal ,nyingine zote walipiga kwenye backline Yao na chache eneo la kiungo , compared to Arsenal walipiga 40 % ya pass zote kwenye final third ya man uKey area domination.
