Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi Uefa ndo michuano miepesi kidogo eeh hadi tubadili best 11 kiasi hiki?
hapana mkuu ila lile kundi letu la kiboya Sana

Wewe siutaona tusipotoka na points 15-18 Basi itakuwa maajabu

Nimelipenda maana litatupungumzia mzigo ,kifupi UCL itaanza mwezi wa 2 round 16 ,hapo tumeshasajili January

Lile kundi Ni la Europa kabisa
 
#Arsenal tulimaliza mechi na 55% possession, but mashabiki wa manjesta wanadai walicheza vizuri

Arsenal tulizalisha xG ya 2.53 dhidi ya 0.98 man united ,Two big chances Kai & Saka

Tulipiga 209 passes katika final third ya manjesta wakati wao walipiga pass 74 tu kwenye final third ya Arsenal,kwa dakika 100

Ni 16% tu ya pass zote za man united ndio walipiga kwenye final third ya Arsenal ,nyingine zote walipiga kwenye backline Yao na chache eneo la kiungo , compared to Arsenal walipiga 40 % ya pass zote kwenye final third ya man u

Key area domination.
20230903_215555.jpg
 
Aiseee kwanza ninge kuwa Mimi ninge achia mkoma baada ya kukaribia goli.
👉Nika shangaa mtu ana zidi kwenda tu, ile style ana pendaga Messi😂🤣
Hawa ni watu ambao wanajua kipi kinafata kabla ya muda, ni viumbe wachache kwenye soka, messi anajua tu mie hapa nitafanya hivi na hivi na nikifanikiwa nafunga pale
 
Rice anakupa athleticism

Anafanya recovery za kutosha

Partey anakupa turning za kufa mtu

JoJo anatuliza mechi mkiwa na presha
Partey anajua boli, yupo kifaza, kipaji cha kuzaliwa, fundi saana hupati dhambi kumuita maestro.. kwenye game zetu za mchangani watu kama partey huwa tunaitwa fundi.

Rice mpambanaji, boli la kufundishwa, ana njaa na mafanikio, ana bidii kujifunza, anapohitajika kufika atafika.. ni wale wachezaji wa machozi, jasho na damu. Epl unahitaji watu wa aina yake pia.
 
Partey anajua boli, yupo kifaza, kipaji cha kuzaliwa, fundi saana hupati dhambi kumuita maestro.. kwenye game zetu za mchangani watu kama partey huwa tunaitwa fundi.

Rice mpambanaji, boli la kufundishwa, ana njaa na mafanikio, ana bidii kujifunza, anapohitajika kufika atafika.. ni wale wachezaji wa machozi, jasho na damu. Epl unahitaji watu wa aina yake pia.
Rice kawanyamazisha wale wale walikua wanasema tumepigwa kwa bei ile yan Nyumbu ndo msaraba umewakuta tena msumari kapigilia Rice uyo uyo dadekiii
 
hapana mkuu ila lile kundi letu la kiboya Sana

Wewe siutaona tusipotoka na points 15-18 Basi itakuwa maajabu

Nimelipenda maana litatupungumzia mzigo ,kifupi UCL itaanza mwezi wa 2 round 16 ,hapo tumeshasajili January

Lile kundi Ni la Europa kabisa
Hahaah nikajua ni kama carabao mzeee
 
Mechi ya pili mfululizo Rice anacheza kwa kiwango cha juu haswa kwenye attacking.

Akimaster vision na ball distribution, Partey pengo lake litakua limezibwa
Lakini mkuu kwa kumbukumbu zangu wewe uliongoza kumponda Rice kipindi kile inasemekana tunahusishwa naye
 
Huyo Zubimendi akiacha wenge la kutamani kwenda Barca ni Partey mweupe na mdogo.

Huyu Rice akija Arsenal atahitaji robo msimu au nusu msimu kutoa anachotoa Partey. Mchezaji mwingine ambaye watu naona wanamuimba ila hamna kitu ni Rafael Leao
999 chatta
 
Niliwahi sema Rice atakua na kazi ya kuadopt na ndiyo kinachotokea hapa.

Huwezi muachia dimba ili usiwe mtupu kwenye kiungo so inabidi acheze na Partey.

Yeye acheze LCM, of coz timu itaperform. Je ilitoka 100M kwaajili ya mtu kuja kukaa LCM? Yule Zubimendi angetua hapo mngefurahi.
999 chatta
 
Back
Top Bottom