Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Hivi Uefa ndo michuano miepesi kidogo eeh hadi tubadili best 11 kiasi hiki?Smith Rowe, Trossard,Raya Vieira ,JoJo, Hawa waanze kupata nafasi mechi za UCL league Sasa
Hivi Uefa ndo michuano miepesi kidogo eeh hadi tubadili best 11 kiasi hiki?Smith Rowe, Trossard,Raya Vieira ,JoJo, Hawa waanze kupata nafasi mechi za UCL league Sasa
Hivi Uefa ndo michuano miepesi kidogo eeh hadi tubadili best 11 kiasi hiki?


hapana mkuu ila lile kundi letu la kiboya Sana
Arsenal tulizalisha xG ya 2.53 dhidi ya 0.98 man united ,Two big chances Kai & Saka
Tulipiga 209 passes katika final third ya manjesta wakati wao walipiga pass 74 tu kwenye final third ya Arsenal,kwa dakika 100
Ni 16% tu ya pass zote za man united ndio walipiga kwenye final third ya Arsenal ,nyingine zote walipiga kwenye backline Yao na chache eneo la kiungo , compared to Arsenal walipiga 40 % ya pass zote kwenye final third ya man uIla apunguze kufinya finya anafinya sana.Hivi Uefa ndo michuano miepesi kidogo eeh hadi tubadili best 11 kiasi hiki?
Hawa ni watu ambao wanajua kipi kinafata kabla ya muda, ni viumbe wachache kwenye soka, messi anajua tu mie hapa nitafanya hivi na hivi na nikifanikiwa nafunga paleAiseee kwanza ninge kuwa Mimi ninge achia mkoma baada ya kukaribia goli.
👉Nika shangaa mtu ana zidi kwenda tu, ile style ana pendaga Messi😂🤣
Partey anajua boli, yupo kifaza, kipaji cha kuzaliwa, fundi saana hupati dhambi kumuita maestro.. kwenye game zetu za mchangani watu kama partey huwa tunaitwa fundi.Rice anakupa athleticism
Anafanya recovery za kutosha
Partey anakupa turning za kufa mtu
JoJo anatuliza mechi mkiwa na presha
Rice kawanyamazisha wale wale walikua wanasema tumepigwa kwa bei ile yan Nyumbu ndo msaraba umewakuta tena msumari kapigilia Rice uyo uyo dadekiiiPartey anajua boli, yupo kifaza, kipaji cha kuzaliwa, fundi saana hupati dhambi kumuita maestro.. kwenye game zetu za mchangani watu kama partey huwa tunaitwa fundi.
Rice mpambanaji, boli la kufundishwa, ana njaa na mafanikio, ana bidii kujifunza, anapohitajika kufika atafika.. ni wale wachezaji wa machozi, jasho na damu. Epl unahitaji watu wa aina yake pia.
Hahaah nikajua ni kama carabao mzeeehapana mkuu ila lile kundi letu la kiboya Sana
Wewe siutaona tusipotoka na points 15-18 Basi itakuwa maajabu
Nimelipenda maana litatupungumzia mzigo ,kifupi UCL itaanza mwezi wa 2 round 16 ,hapo tumeshasajili January
Lile kundi Ni la Europa kabisa
Lakini mkuu kwa kumbukumbu zangu wewe uliongoza kumponda Rice kipindi kile inasemekana tunahusishwa nayeMechi ya pili mfululizo Rice anacheza kwa kiwango cha juu haswa kwenye attacking.
Akimaster vision na ball distribution, Partey pengo lake litakua limezibwa
999 chattaUnaona huku mwisho uliposema 'Under Arteta' hichi sasa ndiyo ninachomaanisha mimi kwamba akifika anatakiwa awe adjusted kwanza. Hatotoa matokeo instant, ila Zubimendi akifika anaanzia alipoishia
999 chattaHuyo Zubimendi akiacha wenge la kutamani kwenda Barca ni Partey mweupe na mdogo.
Huyu Rice akija Arsenal atahitaji robo msimu au nusu msimu kutoa anachotoa Partey. Mchezaji mwingine ambaye watu naona wanamuimba ila hamna kitu ni Rafael Leao
999 chattaNiliwahi sema Rice atakua na kazi ya kuadopt na ndiyo kinachotokea hapa.
Huwezi muachia dimba ili usiwe mtupu kwenye kiungo so inabidi acheze na Partey.
Yeye acheze LCM, of coz timu itaperform. Je ilitoka 100M kwaajili ya mtu kuja kukaa LCM? Yule Zubimendi angetua hapo mngefurahi.
Kusema mchezaji atahitaji kuadopt ni kama watu wanavyosema Kai anahitaji kuadopt.Lakini mkuu kwa kumbukumbu zangu wewe uliongoza kumponda Rice kipindi kile inasemekana tunahusishwa naye
Nakubali
Nakubali, Kaka 💪Hawa ni watu ambao wanajua kipi kinafata kabla ya muda, ni viumbe wachache kwenye soka, messi anajua tu mie hapa nitafanya hivi na hivi na nikifanikiwa nafunga pale
Big noNawasihi musiache kumpokea Ollachuga kama Mshabiki mpya wa Arsenal