Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal this summer:

Ins:
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Declan Rice - £105M
Kai Havertz - £65M
Jurrien Timber - £38M
David Raya - Loan

Out:
Folarin Balogun - £40M
Granit Xhaka - £21.5M
Matt Turner - £7M
Auston Trusty - £4.9M
Pablo Mari - £3.7M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Rob Holding - £4M
Albert Sambi Lokonga - Loan
󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 Kieran Tierney - Loan
Nuno Tavares - Loan
Marquinhos - Loan
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Ainsley Maitland-Niles - Released

Rate their transfer window out of 10?
 
Arsenal this summer:

Ins:
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Declan Rice - £105M
Kai Havertz - £65M
Jurrien Timber - £38M
David Raya - Loan

Out:
Folarin Balogun - £40M
Granit Xhaka - £21.5M
Matt Turner - £7M
Auston Trusty - £4.9M
Pablo Mari - £3.7M
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Rob Holding - £4M
Albert Sambi Lokonga - Loan
󠁧󠁢󠁳󠁣󠁴󠁿 Kieran Tierney - Loan
Nuno Tavares - Loan
Marquinhos - Loan
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Ainsley Maitland-Niles - Released

Rate their transfer window out of 10?
7/10 kama kai akifanya vizuri itapanda mpaka 8.5/10
 
𝐍𝐈 𝐀𝐈𝐁𝐔

.....Natumaini Mmeiona Timu Hii Yenye Mang'amu Ng'amu Anatolewa Beki Aliesababisha Goli La Kwanza Kwa Arsenal Anaingia Aliesababisha Goli La 2 Kwa Arsenal Kuna Nyakati Nilisema Timu Inahitaji Beki Wa Kati Hii Kuna Waliosema Evans Anatufaa Sana.

Beki Maguire Ana Miaka 31 Anaefuata Varane 32 Harafu Kuna Evans 33 Kweli Timu Iko Siriazi Na Mashindano Hii Ukiachana Na Hayo Bissaka Kazuia Cross Za Martinel 8 Zote Kona Na Alipokosekana Tu Upande Wake Lindelof Hakuonekana Kuzuia Mpira Uliomfikia Ødegard .

Kabla Hamjampa Lawama Onana Mmeangalia Big Chance Zilizotengenezwa Na Timu Yenu ?
Arsenal Katengeneza 2 Manchester United 1 Saves 2 Kwa Onana Na 1 Kwa Ramsdale .

Timu Imepiga Mashuti 2 On Target 8 Off Target Huku Arsenal Akipiga 12 Off Target Na 5 On Target Kona Akiwa Nazo 13 Na Manchester United Akiwa Nazo 3 Tu..

Ten Hag Arudi Tena Uwanja Wa Mazoezi Huu Mfupa Anao Na Ligi Ndio Hiyo Inaanza Machday Ya 4 Hii Point 6 Ni Kama Msimu Uliopita Tu Kwenye Mechi 4 Za Kwanza Point 6 .

Kingine Nilicho Kiona Ni Team Nzima Ya Arsenal Wamecheza Kwenye Rate Ya 7.0 Kwenda Juu Ambao Walikua Chini Ya Kiwango Ni Havertz Na Ramsdale Wenye 6.8 Tu.

Take Note: Nje Kuna Maguire Na Evans Na Kocha Kashaona Martinez Ana Njano Ndie Beki Anae Mtegemea Ukiachana Na Varane Harafu Kaumia Utafanya Nini Kama Wewe Ndie Ten Hag ?

Mjumbe Nakwenda
 
Niliwaambieni huyu jamaa ni mafia Sana. Sijui mnakumbuka?
IMG-20230904-WA0023.jpg
 
Watu wanamcukulia poa Havertz. Sawa, alipiga pasi ya kizembe na kivivu ikawa intercepted tukapigwa counter tukafungwa. Lakini hapo hapo akarekebisha na kusaidia kupata goli la kusawazisha...kwa kujiondoa, kubaki nyuma na kutojihusisha na move iliyopelekea goli letu la kusawazisha.
 
Watu wanamcukulia poa Havertz. Sawa, alipiga pasi ya kizembe na kivivu ikawa intercepted tukapigwa counter tukafungwa. Lakini hapo hapo akarekebisha na kusaidia kupata goli la kusawazisha...kwa kujiondoa, kubaki nyuma na kutojihusisha na move iliyopelekea goli letu la kusawazisha.
Hana lolote yule,hana kiwango cha kuchezea Arsenal
 
Nipo naangalia DSTV SS3 program ni Generation xG wana analyse game ya Jana kwenye touches in opposition box tumewazidi mno Manchester United sikutegemea jambo kama hili Big up Mspanish Arteta
Sometimes mashabiki tungaalia mpira kwa jicho la kishabiki sana. Kuna mashabiki wa Arsenal waliisifia sana Man U eti wamepiga sana mpira.
 
Sometimes mashabiki tungaalia mpira kwa jicho la kishabiki sana. Kuna mashabiki wa Arsenal waliisifia sana Man U eti wamepiga sana mpira.
Kwa level ya mpira walocheza kwa wiki tatu nyuma wanastahili kupongezwa kwa kugusagusa kidogo siku ile
 
Yote yote ni sawa tu, kila goli n utamu wake pale.

Nadhani goal la Jesus tunaliona tamu zaidi kwa kuwa ni vitu tumemiss kuviona kwny team yetu tangu aondoke Alexis Sanchez, lakini pia goal la Oodegard imekuwa kama ‘tumelizoea’.

Ameifanya kuwa ‘trade mark’ yake, alipoturn nikainuka kushangilia kabla hajashoot, why? Simply sababu najua nini anafanya next.

With Ode we have class but with Jesus we have maturity, good combination of characters in the field.

Kai sijawahi mjadili humu ila niseme kidogo juu yake, Kai anahitaji kujengwa baadhi ya vitu na ninashawishika atajengeka chini ya Arteta.

Binafsi naona kama Arteta ndio anampa pressure zaidi kutaka kumjenga wakati team inatafuta matokeo, kwa sheria ya sasa ya muda wa nyongeza bado anaweza ingia dk za 70+ na akacheza 30+ huku tukiwa na matokeo na pressure ikawa ndogo kwake kuimplement kile anatakiwa kufanya.

Ni ngumu kiasi kwa mchezaji ambaye amepoteza form yake, character na confidence kwa 3 consecutive seasons huku akicheza chini ya makocha tofauti wenye mifumo tofauti na km mjuavyo Chelsea kila uchao inabadili kocha na players wapya.

Wengi wameomba humu apewe muda, hata me ningeomba hivo hivo. Labda kama kocha angetusikia asimuanzishe mechi ili ampe muda wa kusoma game from the bench kwa wale wanaoicheza vema role yake na kumuondolea unnecessary pressure but he is a good talent ataclick naamini.
 
Jesus ni mtu na nusu, ni top class player.
Napenda upambanaji wake, ana force kuingia kwenye box, boli limekaa mguuni, mnyumbulifu.. si finisher mzuri saaaana ila kwa hayo mengine kwa strikers waliobaki duniani pengine yeye ni bora zaidi.

Hamna mchezaji pale.

Juhudi bila akili (kipaji) ni mateso kwa mwili.

Jesus anavuja jasho sana uwanjani lakini output ni zero.

Goli la jana lisifanye tusahau ubovu wake .

Mchezaji mzuri (akili) ata jinsi anavyo piga pasi utaona tu huyu ni classic player.

Angalia movements na accuracy za saka, odegard, martineli , patey na zincheko Halafu angalia kwa Jesus na havertz ni tofauti sana.


Naheshimu maoni yako mkuu ila kwangu naona hivi.
 
Hamna mchezaji pale.

Juhudi bila akili (kipaji) ni mateso kwa mwili.

Jesus anavuja jasho sana uwanjani lakini output ni zero.

Goli la jana lisifanye tusahau ubovu wake .

Mchezaji mzuri (akili) ata sku piga pasi utaona tu huyu ni classic player.

Angalia movements na accuracy za saka, odegard, martineli , patey na zincheko Halafu angalia kwa Jesus na havertz ni tofauti sana.


Naheshimu maoni yako mkuu ila kwangu naona hivi.
Jesus unamuonea mkuu...kile ni kitu kingine kbisa...sio Clinical finisher lakini ni mtu ambaye akiwepo pale mbele anakupa kitu tofauti sana...hata Martinelli form yake ya mwaka jana ukiangalia ni kwa sababu ya uwepo wa yule Jesus.....tukirudi International break utaona nachokuelezea hapa
 
Back
Top Bottom