clinical pharmacology2
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,387
- 2,516
Arsenal kwa sasa hana mchezaji mzuri (talented) kumzidi ODEGARD.
Jesus unamuonea mkuu...kile ni kitu kingine kbisa...sio Clinical finisher lakini ni mtu ambaye akiwepo pale mbele anakupa kitu tofauti sana...hata Martinelli form yake ya mwaka jana ukiangalia ni kwa sababu ya uwepo wa yule Jesus.....tukirudi International break utaona nachokuelezea hapa
Nami nitaheshimu maoni yako,Hamna mchezaji pale.
Juhudi bila akili (kipaji) ni mateso kwa mwili.
Jesus anavuja jasho sana uwanjani lakini output ni zero.
Goli la jana lisifanye tusahau ubovu wake .
Mchezaji mzuri (akili) ata jinsi anavyo piga pasi utaona tu huyu ni classic player.
Angalia movements na accuracy za saka, odegard, martineli , patey na zincheko Halafu angalia kwa Jesus na havertz ni tofauti sana.
Naheshimu maoni yako mkuu ila kwangu naona hivi.
Talented kwa maana ipi.. timu ni muunganiko wa watu wengi, kipa, beki, viungo, washambuliaji.. kila mtu anakuwa talented kwa position yake.Arsenal kwa sasa hana mchezaji mzuri (talented) kumzidi ODEGARD.
Nimependa maoni yako mkuu,kongole kwako,Hakuna Cha kuongezeaNadhani goal la Jesus tunaliona tamu zaidi kwa kuwa ni vitu tumemiss kuviona kwny team yetu tangu aondoke Alexis Sanchez, lakini pia goal la Oodegard imekuwa kama ‘tumelizoea’.
Ameifanya kuwa ‘trade mark’ yake, alipoturn nikainuka kushangilia kabla hajashoot, why? Simply sababu najua nini anafanya next.
With Ode we have class but with Jesus we have maturity, good combination of characters in the field.
Kai sijawahi mjadili humu ila niseme kidogo juu yake, Kai anahitaji kujengwa baadhi ya vitu na ninashawishika atajengeka chini ya Arteta.
Binafsi naona kama Arteta ndio anampa pressure zaidi kutaka kumjenga wakati team inatafuta matokeo, kwa sheria ya sasa ya muda wa nyongeza bado anaweza ingia dk za 70+ na akacheza 30+ huku tukiwa na matokeo na pressure ikawa ndogo kwake kuimplement kile anatakiwa kufanya.
Ni ngumu kiasi kwa mchezaji ambaye amepoteza form yake, character na confidence kwa 3 consecutive seasons huku akicheza chini ya makocha tofauti wenye mifumo tofauti na km mjuavyo Chelsea kila uchao inabadili kocha na players wapya.
Wengi wameomba humu apewe muda, hata me ningeomba hivo hivo. Labda kama kocha angetusikia asimuanzishe mechi ili ampe muda wa kusoma game from the bench kwa wale wanaoicheza vema role yake na kumuondolea unnecessary pressure but he is a good talent ataclick naamini.
Akaangalie alivyoingia alicheza Right wing na ku rotate CF, akaangalie alivyokuwa anawanyanyasa kule right wingNami nitaheshimu ya
Nami nitaheshimu maoni yako,
Ubovu wa jesus ni upi? Ni dhambi kubwa kumuweka jesus kwenye kapu moja na kai,
Kingine jesus ni bonge moja la striker mzee, nakubali sio finisher mzuri, when it comes kuhusu boli mguuni, kuleta balaa ndani ya box, kuwafanya mabeki wa timu pinzani wasivute pumzi kwa amani basi jesus hana mpinzani..
Wachezaji wengi hata Arsenal wanakiri hakuna mchezaji Talented Kama zinnyT
Talented kwa maana ipi.. timu ni muunganiko wa watu wengi, kipa, beki, viungo, washambuliaji.. kila mtu anakuwa talented kwa position yake.
Saliba kwenye suala la kukaba ni very talented, vipi zinchenko sio talented kwa anachofanya, vipi partey sio talented?
Anachofanya saliba, odergad hawezi kufanya walau robo yake, na kwa wengine ni hivyo hivyo, hata anachokifanya yeye kwa position yake wengine si rahisi kufanya
Jesus ni mtu na nusu.Akaangalie alivyoingia alicheza Right wing na ku rotate CF, akaangalie alivyokuwa anawanyanyasa kule right wing
Jesus ana vitu adimu Sana,
Ana udhaifu mmoja tu Hana ball striking nzuri, angeipata hiyo angekuwa level za Delima
Na amekuwa akifananishwa vitu vingi na Delima
Jesus anacheza LW,RW na false 9 kwa ufasaha kabisa hizo position
Mkuu Mimi kwa upande wangu wachezaji wa arsenal ukiniambia nichague mmoja basi nampa Captain Odegard.Wachezaji wengi hata Arsenal wanakiri hakuna mchezaji Talented Kama zinny
Jesus anajitahidi ila finishing yake mbovu. Inabidi afanye improvements sana .Nami nitaheshimu ya
Nami nitaheshimu maoni yako,
Ubovu wa jesus ni upi? Ni dhambi kubwa kumuweka jesus kwenye kapu moja na kai,
Kingine jesus ni bonge moja la striker mzee, nakubali sio finisher mzuri, when it comes kuhusu boli mguuni, kuleta balaa ndani ya box, kuwafanya mabeki wa timu pinzani wasivute pumzi kwa amani basi jesus hana mpinzani..
Ødegaard Ni talent halafu anauelewa mkubwa Sana tofaut na umri wakeMkuu Mimi kwa upande wangu wachezaji wa arsenal ukiniambia nichague mmoja basi nampa Captain Odegard.
Jamaa ni very talented hachoki anajituma yani ni complete set.
Anavyote viwili (talent + hardwork)
Wachezaji wengi hata Arsenal wanakiri hakuna mchezaji Talented Kama zinny
️ Jesus hajafikia peak yake bado, ila ana improvement kila siku, sio kwamba ana finishing mbovu kiasi hichoJesus anajitahidi ila finishing yake mbovu. Inabidi afanye improvements sana .
Kwa uchezaji huu sio tu hatopata kiatu bali hatoingia hata top 5 scorers ktk ligi.
Kucheza mechi bila goli kwake imekua kawaida sana.
Kuna mdau hapo juu Ameongelea pia kuhusu yellow card zinavyomuandama .
Yule jamaa akiwepo tu najua siku hiyo tutamiliki Sana mpiraZinny yuko vizuri sana .
Huwa naumia sana arteta akimtoa zinny au odegard dah!!
Yaani movements zao , maamuzi yao wakiwa na mpira Unaona kabisaa hawa ni baller️
Mwakani anaweza akaingia hapa kwenye team of the year
View attachment 2739611
Ødegaard Ni talent halafu anauelewa mkubwa Sana tofaut na umri wake
Arteta alisema alimpa ukaptain sababu ukimpa maelekezo anayatekeleza kwa usahihi lakini ana uwezo pia wakuyafikisha kwa wengine
Ndio mchezaji ambaye anakuwa karibu Sana na kocha mazoezini kuliko wengine ,
Lakin kwa Zinchenko yule talent ya kuzaliwa ,ipo tu ,huwa sichoki kumuangalia ,atapiga pass kwenye mazingira yoyote Yale ,ana invert holding, winger , attacking midfielder ,
Mwisho binafsi Zinny anabaki most talented player kwenye timu ya Arsenal , wapo wengi Kama Fabio Vieira, Øde, Smith Rowe ,but Zinny hata mazoezini mpira huwa unamtii





Yule jamaa akiwepo tu najua siku hiyo tutamiliki Sana mpira
Juz Martinelli kawaka Sana , kamfanya bisaka asababishe karibu Kona 8, maana kila muda Martinelli analetewa mpira
Arteta alimtoa kumlinda ,kwa 4-3-3 tunamuhitaji Sana ,
Nataka kuona ule upande
Zinny Vieira Martinelli
Ukiwa LCM na LW mtapewa mipira kila mara na Zinny , tungekuwa wafanisi wa kutumia Kona tungeshinda nyingi
Upande wa Martinelli ulitengeneza Kona zinaweza kuwa 5+ ,jumla tulipata Kona 12
Ni kweli jesus finishing yake si nzuri sana, ila si mbovu kama tunavyoaminishanaJesus anajitahidi ila finishing yake mbovu. Inabidi afanye improvements sana .
Kwa uchezaji huu sio tu hatopata kiatu bali hatoingia hata top 5 scorers ktk ligi.
Kucheza mechi bila goli kwake imekua kawaida sana.
Kuna mdau hapo juu Ameongelea pia kuhusu yellow card zinavyomuandama .
Ni kweli jesus finishing yake si nzuri sana, ila si mbovu kama tunavyoaminishana
Hivi msimu uliopita aliumia akiwa kaishafunga goli ngapi? Katika game ngapi, akiwa katika position gani?
Je mtu wa 5 msimu uliopita alikuwa na goli ngapi?
Kama arteta atampa nafasi, game zilizobaki asiumie, nakuhakikishia atafunga zaidi ya goli 15.