Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ko arsenal alikuwa na back up ya pesa...huwa unafatilia kwa ukaribu madirisha ya usajili kuona jinsi mashabiki wa Arsenal Dunia nzima walivyokuwa wanalalama namna klabu ilivyokuwa haitoi pesa kusajili kipindi kile...halafu unazungumzia Nketiah....mechi ngapi ametupa points 3 hyu dogo....unapozungumzia ukubwa wa mchezaji unazungumzia nafasi anazopewa kwny timu au aina ya timu anayochezea....umecheza mechi 3 mpk Sasa na una point 3 mkuu....nilikuambia ww bdo ni WA kawaida sana bwana mdgo na hiko kikundi chako cha mdundiko....utakuja kunielewa vzuri mpk tukifika January uone ulipo....hiyo nafasi mloshika mwaka jana ndo mwanzo na mwsho...utawapisha kina Liver...Chelkenge na Manyumbu...ww utarudi mtaa wa saba huko....maana ndo level zenu hzo...wafundishe mpira vzuri kina Gordon na Almiron ndo uje kubishana hmu ndani

Unaongea kama vile hapo top 4 umepazoea labda ngoja nikukumbushe tu kidogo 2016/2017 -5 , 2017/2018 - 6 , 2018/2019 - 5, 2019/2020 -8 , 2020/2021 -8 , 2021/2022-5 .

Kuna mwaka ulikua unapishana point 2 na Sheffield united ukaachwa na wolves point yaani kubahatisha this season unataka kuwakata wenzako yaani una miaka 2 mfululizo unashika nafasi ya 8 leo sehemu yako pendwa unaikata na washikaji zako kina wolves unawakana .

Usijifiche kwenyewe suala la kutotoa hela hilo si kweli kabisa kina auba, mustafi , sanchez, ozil ,xhaka na pepe wote hawa mmetoboka pesa ndefu .

Newcastle imefungwa na man city na liverpool timu ambazo hutakaa upate matokeo yoyote this season , atleast hata Newcastle tukikutana na city tunaonyesha uhai sasa wewe emirates umekula 3 ukaenda etihad ukala chuma 4 na hapo ulikua umejipachika jina la title contender hata draw tu kwa city ulishindwa kupata.
Hizo points3 ziliwafikisha wapi?

Emery mlimbania hela akajikaza kawafikisha europa fainali na pesa kiduchu . Huyu teta wenu hela nyingi lakini hakuna cha maana mlichofanya zaidi ya matumaini bandia anayowapa kila siku.
 
Unaongea kama vile hapo top 4 umepazoea labda ngoja nikukumbushe tu kidogo 2016/2017 -5 , 2017/2018 - 6 , 2018/2019 - 5, 2019/2020 -8 , 2020/2021 -8 , 2021/2022-5 .

Kuna mwaka ulikua unapishana point 2 na Sheffield united ukaachwa na wolves point yaani kubahatisha this season unataka kuwakata wenzako yaani una miaka 2 mfululizo unashika nafasi ya 8 leo sehemu yako pendwa unaikata na washikaji zako kina wolves unawakana .

Usijifiche kwenyewe suala la kutotoa hela hilo si kweli kabisa kina auba, mustafi , sanchez, ozil ,xhaka na pepe wote hawa mmetoboka pesa ndefu .

Newcastle imefungwa na man city na liverpool timu ambazo hutakaa upate matokeo yoyote this season , atleast hata Newcastle tukikutana na city tunaonyesha uhai sasa wewe emirates umekula 3 ukaenda etihad ukala chuma 4 na hapo ulikua umejipachika jina la title contender hata draw tu kwa city ulishindwa kupata.
Hizo points3 ziliwafikisha wapi?

Emery mlimbania hela akajikaza kawafikisha europa fainali na pesa kiduchu . Huyu teta wenu hela nyingi lakini hakuna cha maana mlichofanya zaidi ya matumaini bandia anayowapa kila siku.
Umesema mwenyewe Emery kabaniwa kupewa pesa 🤠 🤠....Pepe alimleta nani🤠🤠🤠...halafu kipindi sisi tunashika hzo nafasi za sita nyny mlikuwa mnashika ya ngapi mkuu🤠🤠🤠....unaweza ku compete na beki ya kina Mustafi....mbona unaongea kama ulikuwa sio mwenzetu kipindi kile tukiteseka wte....Aubaumeyang...kina Ozil...sijui Xhaka...unawaxgezesha ndani una Maitland Niles na Mertesacker unategemea uchukue ubingwa🤠🤠🤠....inaonekana kumbe nabishana na mtu ambaye hajui lolote kuhusu mpira....Man City amenifunga mwaka jana ni kwli kabisa....kwni mwaka huu ufunguzi wa ligi matokeo yamekuwaje mkuu🤠🤠🤠....na nyny mlocheza nao watu mmepumzika wiki nzima...wenzenu wamepumzika siku moja na bdo mkalambwa...nani ni kilaza hapo🤠🤠🤠....halafu hao Livakuku wanapewa red card kipindi cha kwanza na tyri unaongoza halafu mpira unaisha ukiwa umebiduliwa tyri...na ww unajiita competitor🤠🤠🤠....narudia tena ukimaliza top 4 mwaka huu katambike...na UEFA ukivuka hatua ya makundi tutaweka kwny ajabu la nane la Dunia....nyny bdo watoto wadogo sana🤠🤠🤠
 
Kuna namna arsenal inabidi wajifunze namna ya kuuza wachezaji.

Rob holding kwa £4 hii hapana.

Palmer ameuzwa kwa £ 40
Folarin euro 40

The negotiation team wajitazame.chelsea kauza magarasa yake kwa bei nzuri mno.
 
Kuna namna arsenal inabidi wajifunze namna ya kuuza wachezaji.

Rob holding kwa £4 hii hapana.

Palmer ameuzwa kwa £ 40
Folarin euro 40

The negotiation team wajitazame.chelsea kauza magarasa yake kwa bei nzuri mno.

Mchezaji kuuzwa kwenye deadline day suggests that buyers were not interested in him, basi ni bahati he has been sold. Without disrespecting him, he is not a kind of sought after defender.
 
Mikel anasema asingecheza back 4 wakati Zinny hayupo ,

Tactics zinaamua hivo


Niliyasema haya ,na Leo kayasema ,thus why Flano na Genge lake hawataki Mimi kuitwa mchambuz nguli
Mc Masingeli acha kujishtukia, hakuna yoyote anaepinga wewe kuitwa cha-Mbuzi.
 
Elephant in the room
20230901_234758.jpg
 
Niliwahi uliza humu wanao questions tactics za Mikel ,je mmewahi fundisha hata timu za kanisa au msikiti?
Kwahiyo Arteta kwenye press conference zake akisema " hamis77 nataka nikugonge" na wewe unakubali?

Kuna ushabiki wa mpira halafu kuna mipasho. Wa kiume hatakiwi kuwa na mipasho, hasa ukiwa mshabiki wa Arsenal.

Punguza mipasho mtoto wa kiume maana nikikuambia uache kwa haraka haraka kwa kuwa ni tabia yako hutoweza.
Unatupa sifa mbaya wana Gunners.
 
Kwahiyo Arteta kwenye press conference zake akisema " hamis77 nataka nikugonge" na wewe unakubali?

Kuna ushabiki wa mpira halafu kuna mipasho. Wa kiume hatakiwi kuwa na mipasho, hasa ukiwa mshabiki wa Arsenal.

Punguza mipasho mtoto wa kiume maana nikikuambia uache kwa haraka haraka kwa kuwa ni tabia yako hutoweza.
Unatupa sifa mbaya wana Gunners.
Mkuu umemchoka mwana Gunners mwenzio.

Jamaa ni kama nyumbu fulan ivi hana aibu msimu uliopita alikua anajitekenya na kucheka ivi ivi mwsho wa siku alikimbia kama kaona nn sijui akawaacha na wajinga wenzie baadhi hawajui kapotelea wapi.

Huyu ww ukiwa negative na Arteta bas ujue kbs umetafuta vita nae ya 3 ya dunia.
 
Mkuu umemchoka mwana Gunners mwenzio.

Jamaa ni kama nyumbu fulan ivi hana aibu msimu uliopita alikua anajitekenya na kucheka ivi ivi mwsho wa siku alikimbia kama kaona nn sijui akawaacha na wajinga wenzie baadhi hawajui kapotelea wapi.

Huyu ww ukiwa negative na Arteta bas ujue kbs umetafuta vita nae ya 3 ya dunia.
Huyu jamaa wa ajabu aliwatelekeza wenzake utafikiri Team imekuwa ya 16,kumbe usiongee ukamaliza anashindwa akili na chungu anaweka akiba ya chakula masika yote.
 
Kwahiyo Arteta kwenye press conference zake akisema " hamis77 nataka nikugonge" na wewe unakubali?

Kuna ushabiki wa mpira halafu kuna mipasho. Wa kiume hatakiwi kuwa na mipasho, hasa ukiwa mshabiki wa Arsenal.

Punguza mipasho mtoto wa kiume maana nikikuambia uache kwa haraka haraka kwa kuwa ni tabia yako hutoweza.
Unatupa sifa mbaya wana Gunners.
Kwa upeo finyu wa Masingeli Arteta ni Malaika, hakosei. Kila kitu kwake yeye ni sawa as long as ni Arteta kasema.

Huu ni ushabiki uliopitiliza. Anawaambia kondoo wake msiwe kama mashabik wa Man u au chelsea kuwakosoa makocha. kama kocha anazingua asikosolewe kisa hatujawahi kuwa hata kocha wa timu ya kanisa.
 
Kwahiyo Arteta kwenye press conference zake akisema " hamis77 nataka nikugonge" na wewe unakubali?

Kuna ushabiki wa mpira halafu kuna mipasho. Wa kiume hatakiwi kuwa na mipasho, hasa ukiwa mshabiki wa Arsenal.

Punguza mipasho mtoto wa kiume maana nikikuambia uache kwa haraka haraka kwa kuwa ni tabia yako hutoweza.
Unatupa sifa mbaya wana Gunners.
Naona unafika mbali kijana ,Wala sijakutaja

Ila kwakuwa unanifatilia endelea

Najua unachuki kubwa na Mimi ,

Hakuna nilipokutaja ,ila kwakuwa unawashwa umejishtukia , Kama unataka basha nipo nitakushughulikia ,
 
Kuna namna arsenal inabidi wajifunze namna ya kuuza wachezaji.

Rob holding kwa £4 hii hapana.

Palmer ameuzwa kwa £ 40
Folarin euro 40

The negotiation team wajitazame.chelsea kauza magarasa yake kwa bei nzuri mno.

Tofautisha kuuza mchezaji kwa big teams na mid teams

Rob Holding hakutakiwa Arsenal ,na ana miaka 27

Palmer Ni kinda bado,

Arsenal inawaondoa wachezaji isiowataka,

Huwez kuona kenge yeyote akiulizia mchezaji muhimu wa Arsenal

Wamekuja waarabu kwa Partey,Magalhaes hata Bei hawajatajiwa
 
Mkuu umemchoka mwana Gunners mwenzio.

Jamaa ni kama nyumbu fulan ivi hana aibu msimu uliopita alikua anajitekenya na kucheka ivi ivi mwsho wa siku alikimbia kama kaona nn sijui akawaacha na wajinga wenzie baadhi hawajui kapotelea wapi.

Huyu ww ukiwa negative na Arteta bas ujue kbs umetafuta vita nae ya 3 ya dunia.
Wewe hata kukujibu siwez maana Ni sawa na mwanangu wa darasa la 3
 
Tofautisha kuuza mchezaji kwa big teams na mid teams

Rob Holding hakutakiwa Arsenal ,na ana miaka 27

Palmer Ni kinda bado,

Arsenal inawaondoa wachezaji isiowataka,

Huwez kuona kenge yeyote akiulizia mchezaji muhimu wa Arsenal

Wamekuja waarabu kwa Partey,Magalhaes hata Bei hawajatajiwa
Vipi kuhusu balogun?
Yeye na Hojlund yupi ana takwimu bora?
Kubali tuu kwenye swala la negotiation Arsenal wanazingua.
 
Vipi kuhusu balogun?
Yeye na Hojlund yupi ana takwimu bora?
Kubali tuu kwenye swala la negotiation Arsenal wanazingua.
Balogun kauzwa wapi ?

Hao wanaonunua kwa Bei hizo Ni timu za EPL

Kaangalie wanaonunua kwa Bei za kumwaga Ni timu za EPL

Ndio Maana Smith Rowe alipotakiwa na Chelsea ,Arsenal ilisema labda €100m


Huwez kupata mteja kwa nje ya uingereza anunue kwa €80m ,Ni timu zinahesabika PSG, Madrid ,

Arsenal kamuuza balogun kwa €40m lakin ali demand 20% clause sale ,
 
Arsenal Champions League fixture dates:

Wed Sep 20 - Arsenal vs PSV
Tue Oct 3 - Lens vs Arsenal
Tue Oct 24 - Sevilla vs Arsenal
Wed Nov 8 Arsenal vs Sevilla
Wed Nov 29 Arsenal vs Lens
Tue Dec 12 PSV vs Arsenal
 
Vipi kuhusu balogun?
Yeye na Hojlund yupi ana takwimu bora?
Kubali tuu kwenye swala la negotiation Arsenal wanazingua.
Arsenal ilisema kwa timu za EPL kumtaka Balogun Ni £50m+ ndio maana Spurs na Chelsea wakarudi nyuma

Nje ya EPL kwa Balogun ile Bei ni nzuri Sana ukizingatia hajawahi kucheza hata mechi 5 za EPL, with 20% sale clause ,
 
Back
Top Bottom