Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kutokana na teknolojia kukua.. shabiki wa sasa anajua vitu vingi kuhusu football hususani vya kwenye uwanja kwa hiyo kuhoji sio swala geni tena.

kama timu/mchezaji hachezi vizuri ama anacheza vizuri.. vyote vinaonkana na vipo wazi kwa kila mtu.
 
Naona mmeamua kuanza kututukana sasa sisi mashabiki wa Arsenal wa JF
Ww ni nyumbu usijifananishe na sisi...Baki hukohuko...kesho ni sisi dhidi ya nyny...mambo ya kujifanya unaungana na wapingaji hmu tuone unarekebisha mwenendo wa klabu hatutaki....Kila mtu abaki na matatizo yake...nyny mna ya kwenu na sisi tuna ya kwetu🤠🤠🤠....Hamis77 ni mchambuzi nguli kiukweli kabisa🤠🤠
 
Naangalia mechi ya bundasliga kati FC MAINZ na FRANKFURT (marudio)
Itoshe kusema tujitahidi kuangalia na ligi zingine.kuna wachezaji wanapigania jezi ya timu yao mpaka unainjoi.
 
Ww ni nyumbu usijifananishe na sisi...Baki hukohuko...kesho ni sisi dhidi ya nyny...mambo ya kujifanya unaungana na wapingaji hmu tuone unarekebisha mwenendo wa klabu hatutaki....Kila mtu abaki na matatizo yake...nyny mna ya kwenu na sisi tuna ya kwetu🤠🤠🤠....Hamis77 ni mchambuzi nguli kiukweli kabisa🤠🤠
Mbona post imejaa uoga hii nyie subirini kesho sawa iwaingie. Usiku wa deni haukawii 😂
 
Ww ni nyumbu usijifananishe na sisi...Baki hukohuko...kesho ni sisi dhidi ya nyny...mambo ya kujifanya unaungana na wapingaji hmu tuone unarekebisha mwenendo wa klabu hatutaki....Kila mtu abaki na matatizo yake...nyny mna ya kwenu na sisi tuna ya kwetu🤠🤠🤠....Hamis77 ni mchambuzi nguli kiukweli kabisa🤠🤠
Wewe chawa wa Masingeli dawa yako ipo jikoni soon wewe na Masingeli mtalikimbia jukwaa😂
 
Niwapongeze sana wale shabik wa Gunners mlio na mtazamo tofaut na Dikteta huyu ambaye anatak kuongoza jukwaa hili kimabavu.

Kiukwl mna moyo mgumu sana kuonesha jinsi gn hampendezwi na baadhi ya mambo.

Huyu jamaa anakikundi chake kakiunda ni kdg lkn wanamlinda kweli kweli na hoja za uchwara.

Tembeeni na hashtag hii kupinga udikteta huu uchwara humu

#ArsenalFansHaveRightsToExpressTheirOpinions.
#ArsenalForAll
#CoYG
 
pls Bei ya Huyu Doku wa man city ninaemuona hapa Sasa hivi
 
Sasa wewe unavyosema Erik hafai umewahi kufundisha timu gani mzee?

Mbona unaanza kuleta hoja za kinyumbu?

Binadamu tumejaaliwa akili, hizo ndiyo tunatumia kufananisha na kuchanganua. Akili zako zinakuaminisha Kai ni mchezaji mzuri kwa mwingine haipo hivyo.

Mimi hua nasema Pochettino mbovu wewe unasema ni mzuri na kila.mtu anatoka hoja zake. Kwanini kwa Arteta hutoi hoja unakimbilia hoja anazotakiwa kuleta nyumbu?
Kuna sehemu niliwahi kulazimisha hoja zangu, why mnaumia kuhusu Kai ,na Mara nyingi naweka hoja ambazo kuzi defend mnashindwa mnaishia kubwabwaja


Hili jukwaa la Arsenal kusema 7hag hafai kwan 7hag anafundisha Arsenal

Achen chuki ,Kama huwez kutetea hoja zako usinichukie Mimi
 
Ili wazee humu ndani mmezidi aisee haswa nyie fans wenzangu wa arsenal...mm sioni kosa la hamis77 yan hadi nyie mnafata mkumbo wa timu pinzan mnamsema..kwan kuna kosa mtu kutetea timu yake?? Hiv mnajua maana ya ushabiki nyie hata kama anaongea kwa mahaba sabb ni shabiki na hilo namsapoti badala nyie muwe na ushabiki basi kutwa mnamsema.

Kuna haja gani ya kuwa na jukwaa la.arsenal sasa ikiwa mashabiki wanamzodoa mwenzao?..haiingii akilini kuna shabiki wa timu nyingne anakuja kuprovoke hapa kisa kai na arteta then wote na nyie mnawaunga mkono.

Haya tuseme sawa kai hajui, arteta hajui sasa wewe kama fan wa arsenal impact yako nn zaidi ya kuzidi kuonyesha umoja sabb tayr ni timu yetu na ndo wa kwetu.

Acheni unafki bwana inaonekana humu watu wengi mna unafki sana yan sjui kwann hammkubali huyu jamaa wakati mm namterm as shabiki wa kweli hana hisia mbili mbili.

Acheni mambo ya kiswahili nyie fans wenzangu wa arsenal tuwe kitu kimoja msiwape wapinzan picha kwamba sisi wenyewe hatupendani, huo ni uswahili na unafki yan mtu anjiita kabsa shabiki wa arsenal halaf anamsema mwenzie maneno kibao kisa tu ana mdefend kai na arteta acheni mambo ya kiseng*.
Walipandikizwa chuki kuhusu Kai havertz Sasa wanaunga tela

Wanataka wote humu tumchukuie Kai havertz ,

Ukiweka hoja wanaleta matusi
 
Kuna sehemu niliwahi kulazimisha hoja zangu, why mnaumia kuhusu Kai ,na Mara nyingi naweka hoja ambazo kuzi defend mnashindwa mnaishia kubwabwaja


Hili jukwaa la Arsenal kusema 7hag hafai kwan 7hag anafundisha Arsenal

Achen chuki ,Kama huwez kutetea hoja zako usinichukie Mimi
Duh tayari tena namchukia Kai na ninakuchukia wewe?

This is too low.
 
Tuliza Makalio huna cha kumpangia mtu cha kuongea wote ni Arsenal fans humu hatuwezi kufanana ideas so tulia
Acha kutukana watu , na Kama Hatuwez kufanana mawazo, why mnataka wote humu tukubali Kai mbovu


Mbona tunaomkubali Kai hatuzidi watatu


Why mnaumia Sana

Je hamna hoja?
 
Unakurupuka tu kijinga jinga tunaongelea mfumo humu wa sasa jinsi unavyopwaya so kama Hamisi anaukubali wengine wasiusemee ili?grow up young boy myself siwezi kuargue na anybody ambaye atakuwa kinyume na mwenzake sometimes hata bosi wetu hehehehe Hamisi nakubaliana sometimes sikubaliani nae licha wote ni Arsenal fans
Umemsikiliza Mikel akiongelea kuhusu mfumo huu kwann tunaucheza ?

Ukimsikiliza utagundua a lots of fans hawajui chochote
 
Masingeli umekuja na ID nyingine kuomba support kwa wale wanaopinga porojo zako?
Yaani Masingeli unataka humu watu wote wanaojiita ni mashabiki wa Arsenal basi lazima wakubali kua misukule?
Yaani humu hata mtu akipinga kitu kwa hoja bado anatasingiziwa kua ana chuki binafsi na Masingeli au yeye ni Mamluki.
Mbona kwenye majukwaa mengine ya Chelsea, Liverpool, Manchester watu wanapingana kwenye hoja na kuwakosoa wachezaji mpaka kocha lakini huoni wakibughudhiwa, wakibezwa, wakikejeliwa au kutukanwa na kuitwa mamluki, ila humu ukimpinga Masingeli tu moja kwa moja unaonekana wewe ni mhaini!!!!!!!
Usinipakazie aisee


Mimi najiweza ,maana wengi humu Jf Wana uwezo mdogo na nilishawa prove mara kibao


So kwakuwazid hoja ndio maana unaona wanajawa chuki
 
Eti haujawai kuwa kocha ata timu ya kanisa
Humu wengi uwezo mdogo wa kufikiri

Na mara kibao nimekuwa na wa prove wrong

Kuanzia anakuja Øde,Rams

Kuna mtu humu alikuwa anakazana hataki Mikel acheze 4-3-3 anataka 4-2-3-1

Leo nae anapiga kelele Arteta acheze 4-3-3




Sasa watu Kama Hawa ni bendera fata upepo , hawana msimamo
 
Hii hapa ni kwa yeyote aliye humu ndani kwenye hili jukwaa.

Kikosi hua kinatangazwa saa moja kabla ya game.

Kocha akimpanga Kai namba yoyote iwe mid au ST wote tuje hapa tuseme kutokana na alichofanya nini pros and cons kisha mechi ianze tuangalie nani alikua sahihi.

Hii ni kwa yeyote.
 
Kesho akiwekwa Kai ushindi utakuja ila utachelewa.

Asipowekwa ni ushindi kwa uhakika zaidi
Tuache upigaji ramli

Kikos kitakachoanza kesho Ni kutokana na wachezaji mazoezini kupambania namba

Tupunguze chuki dhidi ya kai, hata Kama mchezaji humpend Basi tusifikie kupiga ramli akianza tutakawia kushinda ,

Wangapi humu mlikuwa hamtaki hata Jesus asajiliwe

Nketiah auzwe ,n.k


Leo wapo wapi
 
Hii hapa ni kwa yeyote aliye humu ndani kwenye hili jukwaa.

Kikosi hua kinatangazwa saa moja kabla ya game.

Kocha akimpanga Kai namba yoyote iwe mid au ST wote tuje hapa tuseme kutokana na alichofanya nini pros and cons kisha mechi ianze tuangalie nani alikua sahihi.

Hii ni kwa yeyote.
Gud challenge
 
Hahaha dah

Duh na matusi mmeanza.

Mpira siyo uchawi kwamba unafanyika sirini, upo wazi kila mtu anaona.

Nakupa mfano:

Aaron Ramsey alikua shit, na fans tukakubaliana na Wenger akakubali matokeo akaanza kumpa dakika kidogo kidogo. Baadaye akawa lit na fans wote tukakubali kwamba kweli Ramsey kaiva.

Shida inakuja hapa. Muda ambao Wenger ilibidi asubiri kujiaminisha kwamba huyu mtu anahitaji dk kidogo kidogo kuna games tulisuluhu zingine tulifungwa.

So kwa Kai Arteta anaamini kuna spark jamaa anaikosa na ataipata akimpa dk zaidi. Shida ni kwamba kutokana na hilo inabidi Gabriel akae benchi, Partey awe RB na upande wa Kai tangu aanze umekua ndiyo upande ambao hauzalishi mashambulizi.

Kwahiyo usidhani watu tukiandika ni kwa vile hatuangalii mechi na hatujui timu yetu imetokea wapi.
Why tunapenda kuongea ushabiki ,

Partey amecheza RB kabla hata Kai hajaja Arsenal ,hii hoja yenu inaonesha mlivyo na Chuki ,Partey amekuwa Bora kwa kuoikwa Lakini Partey alipokuwa ATM alikuwa anacheza Sana Defensive Game


Ushahidi huu hapa Mikel kasema


Mikel Arteta:

"I really like like Thomas, and yes at the end it's not my invention, Thomas Partey as a right back

Many seasons ago with Atletico Madrid with one of best defensive coaches in the world, he played as a fullback."[Hayters tv]


Kwanini Unatumia chuki kwa Kai havertz kusema anampanga Partey fullback wakati amecheza kabla ya Kai hapo Arsenal ,amecheza CB na RB kwa Simeone


Hoja Kama hizi zinawafanya mnajaza chuki


Ndio Maana nasema humu uelewa wa mpira ni mdogo Sana
 
Tuache upigaji ramli

Kikos kitakachoanza kesho Ni kutokana na wachezaji mazoezini kupambania namba

Tupunguze chuki dhidi ya kai, hata Kama mchezaji humpend Basi tusifikie kupiga ramli akianza tutakawia kushinda ,

Wangapi humu mlikuwa hamtaki hata Jesus asajiliwe

Nketiah auzwe ,n.k


Leo wapo wapi
Wewe tafuta sehemu niliyowahi sema Jesus asisajiliwe.

Nketiah mara nyingi hua nasema ana finishing kuzidi Jesus, ila link up play hamfikii hata Balogun.

Kuna game tulicheza wengi humu tukasema Nketiah kabadilika uchezaji, yaani alikua involved kuliko kawaida yake na tukasema kafanya poa.

Mimi ninachokwambia ndiyo ukweli wenyewe, Kai akianza tutachelewa. Kama unaona naongopa ngoja mechi ianze kesho
 
Back
Top Bottom