Eqlypz
Labda huwezi kuelewa kwa nini siwezi kupata hiyo pressure unayoisema. EPL 38 matches tumecheza mechi mbili mnaweweseka namna hii. Yaani kama ungefahamu Arsenal wapo katika hali gani usingekuwa hata unaongea ngonjera ambazo hazina kichwa wala miguu. Enjoy the game, dhuluma siku zote hailipi malipo hapa hapa duniani. Magoli ya Loserfools ni ya kuotea ndio sababu tunahitaji Technology inshallah next sesson wataweka.
Ninachoona hapa ni wanoko wa Manure na Chelsick kuishambulia Arsenal Why? Kwa sababu ndio wababe wenu last games zote tumewafunga na hamna raha kila kukicha mnaiandama Arsenal lakini ukweli utaonekana tu wala usiwe na shaka msimu bado. Our next priority ni mid week then tutakuja kwenu ... ..... ...... .... be happy while it lasts.
BTW leo tulikuwa na wachezaji nane ambao sio regular uwanjani na umeona mziki ulivyoluwa T5 kama kawaida yake.
On your dreams boy.