999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 874
- 1,627
Kafanyaje?KItu ghani pia kimetokea kwa mudryk wa chelsea,mbona kama anguko kubwa sana ?
Kafanyaje?KItu ghani pia kimetokea kwa mudryk wa chelsea,mbona kama anguko kubwa sana ?
Mbona unafunguaKwan uzi wa Chelsea unashida gan
Uzi wa Chelsea umeunganishwa na thread ya picha za warembo wakali.Kwan uzi wa Chelsea unashida gan
Flano embu kuwa serious kdgo bana acha utani basiUzi wa Chelsea umeunganishwa na thread ya picha za warembo wakali.
Of course. Hata asingesema ilionekana wazi. Hapa si unajua tunaweka ushabiki mbele 😆😆Martinelli pia kasema hakua anatoa pasi
Uzi wa Chelsea umeunganishwa na thread ya picha za warembo wakali.

Jamaa wamewapiga Liverpool na kitu kizito Hadi Uzi wao umefungwaKuna Moderator tokea jana alikua anazungumzia kua anataka aliunganishe jukwaa la Cheusii kwenye ile thread ya picha za warembo wakali, nafikiri atakua ashafanya yake tayari.
Sasa hivi ukitaka kukutana na kina Mkohoti OllaChuga Oc lembu na watoto wengine wa tajiri miluzi nenda tu kwenye thread ya picha za warembo wakali utawakutia kule wanajadiliana kuhusu Kukulela.






Mshukuru mlibebwa JanaManchester yenyewe haswa utaiona 3october pale kwenye ukumbi wa UWT(Emirates stadium)
Hio ulioina jana sio Manchester bali ni kikundi tu cha wacheza dhumna.

Kiuhalisia mpaka Sasa 7 hag katumia kusajili mchezaji mmoja tu , onanaManchester yenyewe haswa utaiona 3october pale kwenye ukumbi wa UWT(Emirates stadium)
Hio ulioina jana sio Manchester bali ni kikundi tu cha wacheza dhumna.
Kuna muda nilifungua but naw hakunaMbona unafungua
kawa mchezaji wa kawaida sanaKafanyaje?
Laana ya arsenal inamtafuna, si unajua mashabiki wa arsenal watu wa Mungukawa mchezaji wa kawaida sana
Kufanya usajili mkubwa kama wa chelsea bado hakutaifanya iwe hatar itategemea na chemistry ya wachezaji itakua je ikikaa vzur watakuwa hatar maana kama msimu uliopita walikua na timu nzur ila lakn no chemistry ndo maana ukaona hali yao ilikua dhaifuAisee ila tuache utani sajili za hii week za Chelsea kama ziki click, watakuwa na team nzuri sana
Kiuongo Enzo,Caicedo,Lavia na winger ya Olise na ukichanganya ndo Kwanza bado ni Serengeti boys mwendo kama wote
Acha tuone tu kama wachezaji watafikia potential za vipaji vyao
So sad Kwa timber. Ndiyo maisha. Tuzidi kumuombea apone mapema na vizuri. Tusiwasahau kina Nkunku na wengineo.

Mkuu zingatia sentence niliyosema "kama sajili walizofanya week hii Zita click" kila mmoja wetu anajua ubora wa Enzo, kwahiyo kama bado Caicedo tuKufanya usajili mkubwa kama wa chelsea bado hakutaifanya iwe hatar itategemea na chemistry ya wachezaji itakua je ikikaa vzur watakuwa hatar maana kama msimu uliopita walikua na timu nzur ila lakn no chemistry ndo maana ukaona hali yao ilikua dhaifu
Mimi sijawahi kufurahia mchezaji akiumia hata awe wa timu pinzani. Zaidi Nitataka acheze chini ya kiwango akikutana na sisi tu ila ni huzuni kwangu mchezaji akiumia. Ukiachana na huzuni wanayopata wachezaji kwa kutokufanya kazi waliyoajiriwa kuifanya, pamoja na kuwa mikataba inawalinda hivyo maisha yao bado yanakua poa, ila mashabiki wa mpira wanakosa burudani ya wachezaji wazuriMlitucheka sana kwa Nkunku sasa naona na ninyi mambo yamewageukia.
Sisi tuna fofana, Nkunku na wengine
Ninyi mna timber na Jesus. Tuwaombee wapone haraka sana ili tuweze kuwaenjoy.
Mpira ni Burudani![]()
Mimi sijawahi kufurahia mchezaji akiumia hata awe wa timu pinzani. Zaidi Nitataka acheze chini ya kiwango akikutana na sisi tu ila ni huzuni kwangu mchezaji akiumia. Ukiachana na huzuni wanayopata wachezaji kwa kutokufanya kazi waliyoajiriwa kuifanya, pamoja na kuwa mikataba inawalinda hivyo maisha yao bado yanakua poa, ila mashabiki wa mpira wanakosa burudani ya wachezaji wazuri