Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ugonjwa wa wiki 6 tu za mapumziko unapona utasemaje ameficha vipimo?
Kuna wachezaji wanasajiliwa na baada tu ya usajili anatakiwa akafanyiwe operation itayomuweka nje zaidi ya miezi 3, sembuse huyo ambae haitaji operation wala matibabu yoyote zaidi tu ya muda wa kupumzika.
Haya hiyo mbao yenu ambayo hamjaficha vipimo ila imecheza mechi moja tu ya ligi na kutakiwa kukaa nje msimu mzima ipi afadhali hapo?
Kuna report ya madaktari inasema hatakiwi kucheza mechi 2 kwa wiki ,siunajua huwa Kuna EPL, FA,UCL ,na CARABAO

Kiuhalisia alitakiwa aachwe mrudishiwe hela ,7hag akasema vibali na Ada za uhamisho zimeshaingia kwa Atalanta ,

Wachunguz wa mambo wanasema kwakuwa wakala wa Hojlund ndio huyo huyo wa 7hag, Basi bila Shaka 7hag ana 10%yake

Kwa timu zinazojielewa Hojlund alitakiwa arudishwe Atalanta na hela mrudishiwe
 
Hamna timu hapa mkuu, hiki ni kikundi tu cha waimba kwaya, ndio maana humu kumejaa nyimbo za kusifu na kuabudu.
Arsenal tungekuwa tunacheza Kama nyie ,pira makande ,humu kusingekalika

Arsenal ni mwiko mpinzani kutawala mchezo, hata shoga yenu mancity juzi Kati ilibidi apaki Basi

Sasa nyie kweli Jana mnalalamika ,Mimi naomba niwaulize ,ni kweli mlienda vibanda umiza mkitegemea Pira biliani?

Nyie ni wageni na manjesta ya 7hag?


Unajua kwanini namuita a Super Dutch David Moyes?

Ni mdachi pekee anayecheza pira makande
 
Anthony masebene hawezi kutoa assist ya hivi

Burudani Kama hizi unazipata Emirates

Thus why kiingilio Cha pale ni kikubwa Sana

Huwezi kulipa kiingilio kikubwa ukashuhudie pira makande Kama la manjesta
20230815_145653.jpg
 
Kuna report ya madaktari inasema hatakiwi kucheza mechi 2 kwa wiki ,siunajua huwa Kuna EPL, FA,UCL ,na CARABAO

Kiuhalisia alitakiwa aachwe mrudishiwe hela ,7hag akasema vibali na Ada za uhamisho zimeshaingia kwa Atalanta ,

Wachunguz wa mambo wanasema kwakuwa wakala wa Hojlund ndio huyo huyo wa 7hag, Basi bila Shaka 7hag ana 10%yake

Kwa timu zinazojielewa Hojlund alitakiwa arudishwe Atalanta na hela mrudishiwe
Hatakiwi kucheza mechi 2 kwa wiki kwa kipindi hiki cha wiki 6 alizoshauriwa na madaktari, baada ya hizo wiki 6 anaruhusiwa kucheza hata mara 3 kwa wiki.
Man Utd kwa kuthamini afya za wachezaji wao katika hizo wiki 6 alizoshauriwa kucheza mara moja kwa wiki hatachezeshwa hata hio mara moja ili apone vizuri.
Punguza gubu Mc Masingeli.
 
Anthony masebene hawezi kutoa assist ya hivi

Burudani Kama hizi unazipata Emirates

Thus why kiingilio Cha pale ni kikubwa Sana

Huwezi kulipa kiingilio kikubwa ukashuhudie pira makande Kama la manjestaView attachment 2718102

😆😆 Manyumbu wanasema eti Gabi hapo alikuwa anajipigia tu roulette Ili awatoke mabeki na alikuwa Hana Nia ya kutoa pasi 😁😁
 
Hatakiwi kucheza mechi 2 kwa wiki kwa kipindi hiki cha wiki 6 alizoshauriwa na madaktari, baada ya hizo wiki 6 anaruhusiwa kucheza hata mara 3 kwa wiki.
Man Utd kwa kuthamini afya za wachezaji wao katika hizo wiki 6 alizoshauriwa kucheza mara moja kwa wiki hatachezeshwa hata hio mara moja ili apone vizuri.
Punguza gubu Mc Masingeli.
Unapotosha anachezaje wodini, report inasema Kuna uwezekano akapata jeraha kubwa mbeleni ,hivo hatakiwa kucheza bampa to bampa

CF goals 9 mech 32

Ada ya uhamisho €85m

Wakala €15m

7hag €10m
 
Hatakiwi kucheza mechi 2 kwa wiki kwa kipindi hiki cha wiki 6 alizoshauriwa na madaktari, baada ya hizo wiki 6 anaruhusiwa kucheza hata mara 3 kwa wiki.
Man Utd kwa kuthamini afya za wachezaji wao katika hizo wiki 6 alizoshauriwa kucheza mara moja kwa wiki hatachezeshwa hata hio mara moja ili apone vizuri.
Punguza gubu Mc Masingeli.
Hivi hili jina MC masingeli umelitoa wapi

Na kwann unaniita hivo , huwa nacheka sana
 
Hatakiwi kucheza mechi 2 kwa wiki kwa kipindi hiki cha wiki 6 alizoshauriwa na madaktari, baada ya hizo wiki 6 anaruhusiwa kucheza hata mara 3 kwa wiki.
Man Utd kwa kuthamini afya za wachezaji wao katika hizo wiki 6 alizoshauriwa kucheza mara moja kwa wiki hatachezeshwa hata hio mara moja ili apone vizuri.
Punguza gubu Mc Masingeli.
mmenunua yai likiguswa2 linapasuka mmeshindwa kwenda kwa victor osimhen mkaona mje kuturingishia Halland wa mtumba ndo madhara yake ayoila 7hag sajili zake ni za ovyo2 kama mpira wake wa janjajanja
 
Hivi hili jina MC masingeli umelitoa wapi

Na kwann unaniita hivo , huwa nacheka sana
hilo jina tulikupea baana ya wewe mwenyewe kumpachika jina Rw bora kabisa dunia kwa sasa Antony Matheus dos Santos na kumuita Masebene.
 
Uzi wa Chelsea mpaka Sasa wameufunga

Kuna moderator lazima mshabiki wa Liverpool
Kuna Moderator tokea jana alikua anazungumzia kua anataka aliunganishe jukwaa la Cheusii kwenye ile thread ya picha za warembo wakali, nafikiri atakua ashafanya yake tayari.
Sasa hivi ukitaka kukutana na kina Mkohoti OllaChuga Oc lembu na watoto wengine wa tajiri miluzi nenda tu kwenye thread ya picha za warembo wakali utawakutia kule wanajadiliana kuhusu Kukulela.
 
KItu ghani pia kimetokea kwa mudryk wa chelsea,mbona kama anguko kubwa sana ?
 
Back
Top Bottom