hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,254
- 26,641
Anatambulishwa leoWakuu, huyu David Raya mbono simuoni kwetu? Dili limekufa au?
Anatambulishwa leoWakuu, huyu David Raya mbono simuoni kwetu? Dili limekufa au?
Kuna tatizo mahaliNimeona haifunguki kwenye app toka asubuhi
Hapo safiAnatambulishwa leo
Toka jana usikuNimeona haifunguki kwenye app toka asubuhi
Mods wamesikia maoni ya wanasoka hizo threads ziende zinapohusika.Hata ya Chelsea haifunguki
Magalasa ni version ya kiswahili ya Le captain Magwaya, chukueni pesa haraka sana tena wala msijiulize mara mbili mbili, huyo Magalasa msimu huu ana dalili zote za kufanya aliyoyafanya VVD msimu ulioisha pale Liverpuuuuh.Wasaudia wanataka waweke pesa ndefu kwa Gabriel Magalhaes
Arsenal defender Gabriel is the latest big-name star to be targeted for a big-money move to Saudi Arabia.
[@johncrossmirror]
Kufuatia jeraha la Timber, Arsenal itarudi sokoni.
Mwanzoni mwa dirisha, walijaribu kuleta beki mmoja wa kati .
Ayermic Laporte ni mchezaji ambaye Arsenal wanamuhitaji sana, lakini City wanasita kumuuza kwa Arsenal.
Arsenal wanaweza kurejea kwa Laporte au kutafuta beki wa pembeni kuchukua nafasi ya Timber.
Mazungumzo yatafanyika ndani na Arteta ili kuamua juu ya hatua zinazofuata.
[@FabrizioRomano]



mlitucheka sana kwenye usajili wa Højlund baada ya MRI kuonesha ana stress response hotspot na kutakiwa kukaa nje kwa wiki sita. Yeah but hard to digestHizi habari nilizozisikia kwamba Timber anaweza akawa nje miezi 9 ni za kweli?
Mie nikajua wanenipiga ban page yangu ya Chelsea ilikuwa haifunhuki kabisaKuna tatizo mahali
Yule alifeli vipimo ,7hag alificha tumlitucheka sana kwenye usajili wa Højlund baada ya MRI kuonesha ana stress response hotspot na kutakiwa kukaa nje kwa wiki sita.
Sajili za majeruhi ya kitapeli alianza Nkunku miezi 6, amekuja Timber miezi 9 wakati Straicker la magoli Rasmus Winther Højlund tulishaambiwa kabisa na Atalanta kabla ya usajili kua atahitaji miezi miwili ya mapumziko kutokana na jeraha lake.
Kuna tatizo, mm nikahisi mmoja wa moderator atakuwa shabiki wa Liverpool ,kaona awapige ban ya mudaMie nikajua wanenipiga ban page yangu ya Chelsea ilikuwa haifunhuki kabisa
Ha ha maana Liverpool wanamkosi msimu huuu wachezaji kuwakataaaa wazi wazi hatar hyoKuna tatizo, mm nikahisi mmoja wa moderator atakuwa shabiki wa Liverpool ,kaona awapige ban ya muda
Tatzo hii timu jamn hauvutii kbsa imekaa kizaman zaman sjui ikoje aiseeHa ha maana Liverpool wanamkosi msimu huuu wachezaji kuwakataaaa wazi wazi hatar hyo
Ugonjwa wa wiki 6 tu za mapumziko unapona utasemaje ameficha vipimo?Yule alifeli vipimo ,7hag alificha tu
c mlijiona wajanja kwenda kumnunua Halland wa mtumbaUgonjwa wa wiki 6 tu za mapumziko unapona kwenye mpira utasemaje ameficha vipimo?
Kuna wachezaji wanasajiliwa na baada tu ya usajili anatakiwa akafanyiwe operation itayomuweka nje zaidi ya miezi 3, sembuse huyo ambae hajitaji operation wala matibabu yoyote zaidi tu ya muda wa kupumzika.
Haya hiyo mbao yenu ambayo hamjaficha vipimo ila imecheza mechi moja tu ya ligi na kutakiwa kukaa nje msimu mzima ipi afadhali hapo?













Thread ya Man United haifunguki na kwako au ni kwangu tu ?