Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Caicedo chose Chelsea over arsenal and Liverpool.
Mkuu, sisi the gunners last time tumepiga hood kwa Caicedo, nadhani unakumbuka ilikuwaje. Aliandika mpaka kuhusu wadogo zake 11, shangazi zake 22, mama sake wadogo, binamu, n.k. Ila Brighton tuuu, walikaza kumuuza.

So hilo la kusema katukataa litoe kabisa, ni Arsenal tuu iliamua iachane naye, iende kwa target nyingine.
 
Kbisa....jamaa alikuwa ana mapenzi ya dhati na Liverpool...akawaomba wamboreshee mkataba kwa kumuongezea mshahara na haikuwa hela nyingi sana kama alokuwa analipwa Bayern Munchen lakini wapi wakaona hafai Bora waachane naye....Sasa ile inaweza kutumika kama reference kwa vilabu vingine vitakavyokuwa vinagombea mchezaji na jamaa....wakiambiwa pale Anfield kuna ubaguzi ni rahisi sana kwa mchezaji kushawishika na ndo haya yanayotokea

View: https://youtube.com/shorts/M_QP5-p_6l4?feature=share
 
Kbisa....jamaa alikuwa ana mapenzi ya dhati na Liverpool...akawaomba wamboreshee mkataba kwa kumuongezea mshahara na haikuwa hela nyingi sana kama alokuwa analipwa Bayern Munchen lakini wapi wakaona hafai Bora waachane naye....Sasa ile inaweza kutumika kama reference kwa vilabu vingine vitakavyokuwa vinagombea mchezaji na jamaa....wakiambiwa pale Anfield kuna ubaguzi ni rahisi sana kwa mchezaji kushawishika na ndo haya yanayotokea

View: https://youtube.com/shorts/M_QP5-p_6l4?feature=share
 
Kbisa....jamaa alikuwa ana mapenzi ya dhati na Liverpool...akawaomba wamboreshee mkataba kwa kumuongezea mshahara na haikuwa hela nyingi sana kama alokuwa analipwa Bayern Munchen lakini wapi wakaona hafai Bora waachane naye....Sasa ile inaweza kutumika kama reference kwa vilabu vingine vitakavyokuwa vinagombea mchezaji na jamaa....wakiambiwa pale Anfield kuna ubaguzi ni rahisi sana kwa mchezaji kushawishika na ndo haya yanayotokea

View: https://youtu.be/lfA1PfhsOt0
 
Kbisa....jamaa alikuwa ana mapenzi ya dhati na Liverpool...akawaomba wamboreshee mkataba kwa kumuongezea mshahara na haikuwa hela nyingi sana kama alokuwa analipwa Bayern Munchen lakini wapi wakaona hafai Bora waachane naye....Sasa ile inaweza kutumika kama reference kwa vilabu vingine vitakavyokuwa vinagombea mchezaji na jamaa....wakiambiwa pale Anfield kuna ubaguzi ni rahisi sana kwa mchezaji kushawishika na ndo haya yanayotokea
Huyo hapo msikilize


View: https://youtu.be/lfA1PfhsOt0
 
Hizi habari mnapataga wapi watu wa arsenal???


Mane aliombwa abaki kwa mdomo wake akasema anataka akatafute challenge nyingine
Hamkumpa kibunda anachotaka mkuu...ize tu...kwa heshima ya klabu na mashabiki inabidi awe cool baada ya huduma ya mda mrefu....Bayern walimpa mara tatu ya mlichokuwa mnampa nyny na kwa umri wake kwann asiende kuchukua hela za kumalizia mpira.... Liverpool ni timu kubwa sana mkuu...rekebisheni mishahara...zama zimebadilika
 
Tatizo hamnisikilizagi

Nilisema narudia Tena mwaka huu sajilini vizuri mbio za ubingwa zipo open

Mancity anaondokewa na Gundo, Mahrez, Bernado na Kuna tatizo la fitness ya KDB

Gundo KASEPA

Mahrez KASEPA

KDB fitness ndio hiyo mwakan anaenda Saudia

Karata ya mwisho ya Pep ni Bernado anampigia magoti asain mkataba mpya

So kind manjesta endeleeni kuokoteza sajili za mchongo ,Arsenal akikaa pale juu muanze kutuombea maombi mabaya
90% ya kikosi Cha city kimetumika non stop
Hapo Kuna fatigue au huge injuries kabisa

Driving force ya city ilikua inaanzia kwa bernado na gundogan.
Hao wapuuzi muda wowote wanapindua matokeo, ule msimu game za mwisho za ligi Aston Villa ameshamkalisha city,watu tukajua Liverpool ni champion
Kuanzia dakika ya 75 bernadal na gundo wwlichekecha, Villa mwenyewe akatanua mapaja. City akachukua kombe

Gundogan kashasepa
Akiondoka na bernado city watakua weupe Sana

I feel sorry kwa KDB, lakin nguvu ya city ni hao watu wawili

Haaland alienda unyumbuni na weghost angekuja city, ungegundua hawana tofauti kubwa
 
Mshukuru mlibebwa Jana

Tunaposema kina sisi kuwa 7hag Hana Talent ID, mnatuita masingeli ,labda wakongwe wenu mtawaamini

Wakongwe wa manjesta waonya Sajili za kitapeli za kitapeli za 7+3hag

"It’s like Fellaini, it’s like buying Fellaini again..." 🫣

Rio Ferdinand has warned Erik ten Hag against signing Man Utd target Amadou Onana

mirror.co.uk/sport/football…
Mimi sishukuru kwa kubebwa bali nashukuru kwa ile mechi kupangiwa kucheza na Wolves, hebu vuta picha ile mechi ndio tungekua tunacheza na Newcastle hii ya kina Sandro Tonali hali ingekuaje?
 
Tatizo hamnisikilizagi

Nilisema narudia Tena mwaka huu sajilini vizuri mbio za ubingwa zipo open

Mancity anaondokewa na Gundo, Mahrez, Bernado na Kuna tatizo la fitness ya KDB

Gundo KASEPA

Mahrez KASEPA

KDB fitness ndio hiyo mwakan anaenda Saudia

Karata ya mwisho ya Pep ni Bernado anampigia magoti asain mkataba mpya

So kind manjesta endeleeni kuokoteza sajili za mchongo ,Arsenal akikaa pale juu muanze kutuombea maombi mabaya
Lucas Paqueta yuko njiani kutua Etihad, Huyu Pep kuendelea kuwepo kwenye Epl basi shida itabaki palepale tu, wala hata tusijifariji kuumia kwa KDB na kuondoka kwa Mahrez na Gundo.
Pep ndio mwenye sifa stahili ya kuitwa The tactician & Masterclass sio huyo Michelle LaVaughn Robinson Arteta.
 
Nawashangaa mashabiki wa Arsenal. Mechi dhidi ya Nottingham mmeshinda 2-1 na key players wawili wameshaumia wakati ndo kwanza mechi moka. Msinene mkamala mambo.mabaya yanakuja
Ulitaka tushinde ngapi mkuu..hao key players ni kina nani waloumia...Timber amecheza mechi ngapi msimu huu wa ligi mpk aitwe key player....Jesus mwaka jana hakuumia kwni...baada ya kuumia timu iliendeleaje kwni...yyte anayekuja tutacheza naye kwa namna inavyotakiwa kucheza naye....tuna watu wa kutosha
 
Ulitaka tushinde ngapi mkuu..hao key players ni kina nani waloumia...Timber amecheza mechi ngapi msimu huu wa ligi mpk aitwe key player....Jesus mwaka jana hakuumia kwni...baada ya kuumia timu iliendeleaje kwni...yyte anayekuja tutacheza naye kwa namna inavyotakiwa kucheza naye....tuna watu wa kutosha
Mashabiki wa manjesta bhana akili zao
 
It is understood Timber is now expected to undergo surgery to repair the injury and is likely to miss a minimum six months of the season, although Arsenal are reluctant to put a specific timescale on his recovery.

(@SamiMokbel81_DM )
Kama wazungu wanapiga ndumba, Basi KT kuna jambo kafanya asee. Get well soon Jembe Letu, come back stronger 💪
 
Back
Top Bottom