Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunaisubiri hyo dawa mkuu...naomba hyo mechi msiwe na injury yyte na sisi tuwe kamili....halafu tuone Mudryk anavyotupelekesha....Chelkenge nyny bdo Sanaa....kesho mna msala na wahuni wenzenu mnaopokonyana mchezaji nao siku ya tatu leo....tutaona mtakavyojimwaga uwanjani ndugu zetušŸ˜…šŸ˜…
Mudryk ndio silaha yenu nyie kondoo. Atawapga mpk mchakae
 
Hata kuwin 1 -0 sio tatizo unajua wewe unakuwa kama kipofu fulani hivi Arsenal ya leo kwa total football ļø bado unawekwa pressure na Nottingham Forest dk za mwisho?hili tatizo halijaondoka bado la kuhandle pressure kashinda Yes 3 points ni muhimu but aache utani kama wa leo hii ni premier league
Pressure gani hiyo wamefanya hao jamaa asee ,ukiacha hiyo kaunta Tena msifie Elanga alikimbia Sana kamzidi saka na white

Hakuna kingine hao jamaa wamefanya

Arsenal ikishinda lawama ikifungwa lawama

Yaan mnataka wacheze perfect hata mpinzani asisogee langoni kwetu , hiyo timu labda ishuke kutoka mbinguni

Timu yoyote ikifungwa huwa inajilipua ,bado Arsenal wali handle mchezo had dk ya mwisho


Mbona mancity vs Arsenal,walipotufunga tuliwapelekea Moto had wakaachia ,nao mbona hawalalamiki
 
Nilichojifunza hmu ndani watu huwa Hawafanyi analysis ya mechi kabisa....yaani wao ni ushinde tu tena usishambuliwe kabisa....EPL timu ndogo huwa ni zinazopanda daraja tu vngnevyo wte wengine ni wakubwa na Wana uzoefu wa ligi
Pressure gani hiyo wamefanya hao jamaa asee ,ukiacha hiyo kaunta Tena msifie Elanga alikimbia Sana kamzidi saka na white

Hakuna kingine hao jamaa wamefanya

Arsenal ikishinda lawama ikifungwa lawama

Yaan mnataka wacheze perfect hata mpinzani asisogee langoni kwetu , hiyo timu labda ishuke kutoka mbinguni

Timu yoyote ikifungwa huwa inajilipua ,bado Arsenal wali handle mchezo had dk ya mwisho


Mbona mancity vs Arsenal,walipotufunga tuliwapelekea Moto had wakaachia ,nao mbona hawalalayaani
 
Nilichojifunza hmu ndani watu huwa Hawafanyi analysis ya mechi kabisa....yaani wao ni ushinde tu tena usishambuliwe kabisa....EPL timu ndogo huwa ni zinazopanda daraja tu vngnevyo wte wengine ni wakubwa na Wana uzoefu wa ligi
Tena mfumo wa leo nimeupenda ni mfumo wa zaman Sana wa Johan cryuff

Ndio mfumo unaozaa Tik Tak

Ingia Google andika 3 Diamond 3 Johan Cryuff

Johan Cruyff explains what his 3-4-3 diamond looked like. Important to note that the wide center-backs are used like wingers in this system. It’s similar to how Pep Guardiola uses the LCB and RCB at Man City.
20230812_204427.jpg
 
,Arsenal wali build up by 3-2-2-3 back 3 and Nottingham walizua ktk shape ya 5-2-3 "Aina yule fullback wao wa kushoto was just


Partey was everywhere in the field sometime ali drop in backline for build up, sometime in mid vs Rice,

sometime in a RB he was just superb

But also it can shift from into 3-2-5 or 3-2-2-3 with highline defense style

20230812_205351.jpg
20230812_205121.jpg
 
Na hapo ni game na forest vipi game za miamba isiyocheka kabisa kina Newcastle, man utd, man city, aston villa, Liverpool na brighton si ndo mtarudiii hapa kumtukana arteta humu kala 10%. Tulieni mambo ndo kwanza yameanza tutaongea lugha moja tu, tulishasema kai mmepigwa mara 2 zile 65 na kwenye mshahara.
Yaani hapa badoooo na mtasema
Tuliwaambia humu kuhusu Biashara ya KAI jamaa wao yule oya oya akaja na stats na facts uchwara kumtetea.

KAI hata ukichukua Mama Ntilie ambae hajawah kuangalia mpr akamuona kwa mara ya kwnz uwanjan anajua kbs hapa hakuna mchezaj.

Huyu kijana anatembelea lile Goal alilotupiga UCL final lkn tofaut na hapo ni total rubbish mvivu na mzito sana.
 
Tuliwaambia humu kuhusu Biashara ya KAI jamaa wao yule oya oya akaja na stats na facts uchwara kumtetea.

KAI hata ukichukua Mama Ntilie ambae hajawah kuangalia mpr akamuona kwa mara ya kwnz uwanjan anajua kbs hapa hakuna mchezaj.

Huyu kijana anatembelea lile Goal alilotupiga UCL final lkn tofaut na hapo ni total rubbish mvivu na mzito sana.
Mashabiki wa chelkenge lini mlikuwa na akili , yaan mnapambana kila mechi kuangalia wapi anakosea mje humu kusema tumepigwa

Ifike muda mkubali sio mchezaji wenu,
 
#Arsenal boss Mikel Arteta on Eddie Nketiah after the win over Forest today:



"Eddie Nketiah was really disappointed that I did not pick him for the Community Shield, but he trained like a beast this week. He made it impossible for me not to choose him this week. He is a great example."
 
Mashabiki wa chelkenge lini mlikuwa na akili , yaan mnapambana kila mechi kuangalia wapi anakosea mje humu kusema tumepigwa

Ifike muda mkubali sio mchezaji wenu,
Kwhy ulivo hauna akil umeona me mshabik wa Chelsea sio.

Naona umekurupuka tu ulikua unakunywa mnanasi bas umekuja kujibu tu ovyo ovyo.

Unajua ww sometimes ndo maana watu wanakuona hamnazo.. Ivi unaweza vipi kumwekea Dhamana Kai hata kama wewe ni mwehu?.

Yan wenzako hapa wanaona Kai mzigo ww umekaza Fuvu bado, Usiwe mshabik oya oya ambaye hutak kubal facts za wazi unatak kuonekana maoni yako uwa yako sahihi.. Kubali kua Chelsea wamewatapeli Big time.. Tena kama mna akil wapeleken mahakamani kesi ya Ulaghai walau mnaweza pewa hata hela yenu nusu.
 
Mkuu Hamis 77 nakuheshimu sana ila kwa kai mh muda mwl mzuri ila jua nakueshimu sana
Mpaka Sasa Kai hajafanya vzr Wala vibaya ,

Kinachotokea Kai hata usajili haujakamilika tayari haters mlishaanza kumuandama

So kila mechi toka pre season watu wanaangalia wapi anakosea ,

Mbaya Zaid baadhi mashabiki wa Arsenal wanafata mkumbo ,walianza kwa Rice ,now wanahamia kwa Kai

Kai udhaifu wake ni ball striking tu ,

Kwasasa sijaona wachezaji wanaojua kupress Kama Kai, Jesus ,Mane ,Muller
 
Newcastle wanawaza Goal tu kila muda
5.

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Watuwana wa underestimate ila hao jamaa hao ni hatari na hapo FFP inawabana walitaka wamchukue yule winga wa napoli kvaratskhelia na yule kiungo wa inter milan barella

Nasubir nione wakicheza na city ndo niseme wako top 3
 
Mpaka Sasa Kai hajafanya vzr Wala vibaya ,

Kinachotokea Kai hata usajili haujakamilika tayari haters mlishaanza kumuandama

So kila mechi toka pre season watu wanaangalia wapi anakosea ,

Mbaya Zaid baadhi mashabiki wa Arsenal wanafata mkumbo ,walianza kwa Rice ,now wanahamia kwa Kai

Kai udhaifu wake ni ball striking tu ,

Kwasasa sijaona wachezaji wanaojua kupress Kama Kai, Jesus ,Mane ,Muller
Mkuu huwa nasoma kila utakachoandika kuhus mpira na nina kufatilia sana kwa karibu msana
 
Kwhy ulivo hauna akil umeona me mshabik wa Chelsea sio.

Naona umekurupuka tu ulikua unakunywa mnanasi bas umekuja kujibu tu ovyo ovyo.

Unajua ww sometimes ndo maana watu wanakuona hamnazo.. Ivi unaweza vipi kumwekea Dhamana Kai hata kama wewe ni mwehu?.

Yan wenzako hapa wanaona Kai mzigo ww umekaza Fuvu bado, Usiwe mshabik oya oya ambaye hutak kubal facts za wazi unatak kuonekana maoni yako uwa yako sahihi.. Kubali kua Chelsea wamewatapeli Big time.. Tena kama mna akil wapeleken mahakamani kesi ya Ulaghai walau mnaweza pewa hata hela yenu nusu.
Wewe akili huna Nani aliyekwambia mm nashikiwa akili ,yaani mwalimu anamuanzisha dk 90 mechi muhimu wewe uliyepo huku manzese unasema ni mzigo
 
Wewe akili huna Nani aliyekwambia mm nashikiwa akili ,yaani mwalimu anamuanzisha dk 90 mechi muhimu wewe uliyepo huku manzese unasema ni mzigo
Ndo maana nakwambia ww hata kama ni mwehu hauwez kumwekea dhamana Kai.

Pa1 najua ww ni mwehu lkn sawa.

Uzur watu humu wanakujua jinsi gani ww ni tapeli na mlaghai unakua unawajaza wapumbav wenzio kama ww ujinga mwsh wa siku mambo yakiharibika unakimbia humu mbio nyng hauonekani.. Unabak kushinda kwny majukwaa ya vipodozi tu huko.

Wenzako wana Gunners wenye akil timamu wanajua kbs Kai ni mtu kwny game 30 anaweza cheza game 2 tu vzr zngne zote mkabak mnamtukana.
 
Mkuu huwa nasoma kila utakachoandika kuhus mpira na nina kufatilia sana kwa karibu msana
Mechi vs mancity ,Kama kawaida lawama malalamiko yalielekezwa kwa Kai ,

Mimi nilisema hapa ukitoa ball striking ,alifanya kila kitu kwa usahihi in term of pressing ,hold up ,na timing ya kupress

Ndicho kwenye interview Arteta akasema vile vile ,

Leo kacheza Kiungo ila kwenye mfumo tofauti ,majukumu tofauti ,Hilo eneo Kuna mechi atacheza vzr Kuna mech atazidiwa ,but Sion akiwekwa benchi kwa majukumu anayofanya
 
Back
Top Bottom