Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Newcastle leo mmepiga mpira mwingi sana aiseeee, sijategemea Aston Villa wangepigwa goli nyingi kiasi hiki tena hapo kuna nafasi kama 3 za wazi mmepoteza.hongera kwa ushindi mkuu japo last 10 minutes ulikua unashika mbupu tu , bahati awonyi alianzia benchi.
Game saa 1 :30 angalia uone match ya kibabe sana , uzuriii game zetu 5 tunakutana na miamba haswa tumalizane nao mapema, nyie forest tu ila mnapiga kelele mpira umalizike![]()
Kwa mi counter attack mliyoipiga leo mngekua mnacheza na timu mbovu kama Arsenyau mngewagonga zaidi ya goli 8.

