Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger orphans wameshinda Ila hawana furaha

Msipo nunua striker ya kueleweka mtaishia kugombea big 4 Kiufupi nyie ni wakawaida sana tu.

Subirini next month tuje kuwafunza ball hapo penu.
Nyie mmenunua striker yupi mzuri kuliko wa Arsenal?
 
Kitu kingine, ujifunze kuheshimu mawazo ambayo yanatofautiana na upeo wako wa kuona na kufikiri
Naheshimu mkuu, lakini tunalalamika mno. Hii ni mechi ya kwanza ya msimu, sisi ndo wakumjengea mchezaji confidence.

Tunakua kama mashabiki maandazi wa Man U na Totenham asee.

Mimi bado naamini Arteta anajua kuliko mashabiki wengi wa Arsenal humu ndani.

Hizi mechi lazima akae chini areview, angalie makosa ni nini, ndo na yeye anavyojifunza. Tumpe support kocha wetu. Tumebahatika sana kumpata huyu mwamba na atafanya makubwa kwenye hii team asee.
 
Its his first match of the season bro, unajua ili mchezaji aweze kuflourish lazima atengeneze harmony na wachezaji wengine, ata Odegard wakati yuko Onloan kwetu he struggled his first few games.

Ila Arteta pia anakosea kumuanzisha Kai wakati Trossard yuko nje, mchezaji ambae ameshaprove kua effective na style yetu of play. Kai angekua anakuja sub taratibu mpaka azoee.

Kingine tu ni kwamba tunahitaji a natural goal scorer type za kina Toney kumreplace majeruhi Jesus.
Kilio chetu ni Vanpersie, Henry, Ian wright. Mtu mwenye njaa
Kai ni wakawaida na namba anayomzoesha kumchezesha ndio anampoteza kabisa bora kule kule mbele tu
 
Chakuombea kwenye hii Arsenal timu ni wasiwe na majeruhi tu
Hii kitu itawa cost maana huko mbele michuano ni mingi plus kwenye ligi hutakiwi ku drop point easily

So far saka aache kiwadharirisha 1v1 watu wata mvunja na wala hawajali huyu kijana yupo on cautious level ya majeruhi

Arsenal watafute striker Pale kwa kai hamna kitu
Tossard ni bora zaidi ya kai ....
Also timber yupo on the same caliber ya zincheko huyu ni mtu kweli ila nae pancha muda wotote anacheza kwa nguvu sana
 
Kuna vitu ni vya hovyo. Ni kivipi Trossard awekwe bench?

Mentality ya kuridhika na magoli haijatutoka
Kosa kubwa sana nilihisi msimu huu tutakua tumebadilika kuhusu kuridhika na kagoli kamoja,viwili na vitatu kumbe bado akili iyo ipo vichwani mwa wachezaji wetu

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
 
Its his first match of the season bro, unajua ili mchezaji aweze kuflourish lazima atengeneze harmony na wachezaji wengine, ata Odegard wakati yuko Onloan kwetu he struggled his first few games.

Ila Arteta pia anakosea kumuanzisha Kai wakati Trossard yuko nje, mchezaji ambae ameshaprove kua effective na style yetu of play. Kai angekua anakuja sub taratibu mpaka azoee.

Kingine tu ni kwamba tunahitaji a natural goal scorer type za kina Toney kumreplace majeruhi Jesus.
Kilio chetu ni Vanpersie, Henry, Ian wright. Mtu mwenye njaa
Natural full/center backs wako bench kocha anahangaika na mfumo mpya....
 
arteta leo amenisikitisha sanaaa

Mosi amerudia same mistake ya kushindwa kumaliza game when he had the chance

Kai anavyochezeshwa no tofautitofauti at that age 24 ndo anapoteana kabisa
Asiharakishe kumfit Kai kwenye system hii itatukosti sana
Kai need to be aggressive akiwa na mpira aongeze u sharp na running

All in all Arteta amejitengenezea bomu mwenyewe, as for me Kai need a lot to improve.
 
kwenye pre season tulikua tunadanganywa sana juu ya takwimu za huyu mtu utafikiri sisi tulikua hatumuoni alivyokua anacheza misimu iliyopita.

kuna watu humu wana vipaji vya kudanganya asee mpaka unajiuliza labda wewe unamuangalia kai wa mars huko kwa kina elon musk
Nina week kama 3 nakutana na washikaji kila wakiwa wanamuongelea kai kila moja anakiri kuwa wamepigwa sio kwa hela ile embu fikiri hata chelsea tu walikua hawamtaki abaki mchezaji hajawahi kufika goal 10 tu toka atue chelsea then unakuja kuuziwa 65.

Sio mbaya wanetu gunners ( bottlers) tunakubaliana na nyinyi kai tumpe muda na nyie mchezesheni natural position yake ili maneno yasiwepo tena maana mnasema chelsea alikua anachezeshwa nafasi si yake.
 
kuna watu humu wana vipaji vya kudanganya asee mpaka unajiuliza labda wewe unamuangalia kai wa mars huko kwa kina elon musk
Nina week kama 3 nakutana na washikaji kila wakiwa wanamuongelea kai kila moja anakiri kuwa wamepigwa sio kwa hela ile embu fikiri hata chelsea tu walikua hawamtaki abaki mchezaji hajawahi kufika goal 10 tu toka atue chelsea then unakuja kuuziwa 65.

Sio mbaya wanetu gunners ( bottlers) tunakubaliana na nyinyi kai tumpe muda na nyie mchezesheni natural position yake ili maneno yasiwepo tena maana mnasema chelsea alikua anachezeshwa nafasi si yake.
Mnacheza na Aston villa kesho saa ngapi😅😅😅...naona maneno mengi sana
 
Jamani ligi inavyoendelea naomba matusi kwa Kai yawe mafupi mafupi.
Huyo bwana mdogo kama ana kizizi, anachezaga utumbo lakini utashangaa kila dk.90 yupo na haumiagi wanaumia wengine wenye uwezo wao.
The special one Kai Harvez kipindi cha usajili tulidanganywa humu kua ni straicker la boli ila Chelsea hawajui kumtumia, baada ya kufunga magoli mawili pre season tukadanganywa kua msimu huu anaenda kuchuana na Haaland kuchukua kiatu, nashangaa mechi ya kwanza tu watu washabadili gia angani na kuanza kumtukana Le King Kai.
 
Mnacheza na Aston villa kesho saa ngapi...naona maneno mengi sana

hongera kwa ushindi mkuu japo last 10 minutes ulikua unashika mbupu tu , bahati awonyi alianzia benchi.
Game saa 1 :30 angalia uone match ya kibabe sana , uzuriii game zetu 5 tunakutana na miamba haswa tumalizane nao mapema, nyie forest tu ila mnapiga kelele mpira umalizike
 
kuna watu humu wana vipaji vya kudanganya asee mpaka unajiuliza labda wewe unamuangalia kai wa mars huko kwa kina elon musk
Nina week kama 3 nakutana na washikaji kila wakiwa wanamuongelea kai kila moja anakiri kuwa wamepigwa sio kwa hela ile embu fikiri hata chelsea tu walikua hawamtaki abaki mchezaji hajawahi kufika goal 10 tu toka atue chelsea then unakuja kuuziwa 65.

Sio mbaya wanetu gunners ( bottlers) tunakubaliana na nyinyi kai tumpe muda na nyie mchezesheni natural position yake ili maneno yasiwepo tena maana mnasema chelsea alikua anachezeshwa nafasi si yake.
Kuna watu kudanganya ni kipaji, Mtu mpira tunangalia wote lakini akija jamii forums anakwambia Kai kacheza vizuri. Mc masingeli kw kipaji chake akigombea ubunge %101 anapata jimbo.
 
hongera kwa ushindi mkuu japo last 10 minutes ulikua unashika mbupu tu , bahati awonyi alianzia benchi.
Game saa 1 :30 angalia uone match ya kibabe sana , uzuriii game zetu 5 tunakutana na miamba haswa tumalizane nao mapema, nyie forest tu ila mnapiga kelele mpira umalizike
Wachambuzi wa hmu ni WA ajabu sana....leta stats za mechi hapa tuone ni nani alikuwa anaombea mechi iishe😅😅😅....kwhyo Elanga na Awoniyi wangeanza tungefungwa au siyo😅😅😅....Sasa kwnn kocha wao hakuwaanzisha watufunge
 
Amecheza vbaya kwani mkuu maana tumecheki mpira wte hmu ndani....au mm nimeona mechi nyngine kabisa🤣🤣🤣
Kuna watu kudanganya ni kipaji, Mtu mpira tunangalia wote lakini akija jamii forums anakwambia Kai kacheza vizuri. Mc masingeli kw kupaji chake akigombea ubunge %101 anapata jimbo.
Za
 
Back
Top Bottom