


kuna watu humu wana vipaji vya kudanganya asee mpaka unajiuliza labda wewe unamuangalia kai wa mars huko kwa kina elon musk

Nina week kama 3 nakutana na washikaji kila wakiwa wanamuongelea kai kila moja anakiri kuwa wamepigwa sio kwa hela ile embu fikiri hata chelsea tu walikua hawamtaki abaki mchezaji hajawahi kufika goal 10 tu toka atue chelsea then unakuja kuuziwa 65.
Sio mbaya wanetu gunners ( bottlers) tunakubaliana na nyinyi kai tumpe muda na nyie mchezesheni natural position yake ili maneno yasiwepo tena maana mnasema chelsea alikua anachezeshwa nafasi si yake.