Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Trossard.katika mchezo wa karata huwa kuna karata ya kumaliza mchezo.wengine huita wildcard.
Kwa arsenal hii ni wazi kwa pale mbele trossard ni bora kuliko wachezaji wetu wengi.anapace,anadrible,anashoot with both legs,ana jicho la mpira,ana workrate kubwa,ana senior mentality na ana utulivu mkubwa.
Arteta anamuacha nje kama kura yake ya turufu yaani game changer.pale tempo ya mpira inaposhuka yeye anakuja kama nguvu mpya.
Kuna wakati mahrez alikuwa anaanzia nje mech kubwa,kdb huwa anaachwa nje kama plan b ya mech.
Mnaona tunamhitaji kudus ushajiuliza wanini wakati una saka na nelson?
Epl inahitaji plan A,plan B na plan C sometimes kwenye game moja.

Ila naungana na wengi humu hasa @Castr.we need a striker hasa for some games.
Arteta anatakiwa aache ufala kabisa last season alitucost kwa mambo kama haya na pia ashukuru Mungu yupo Arsenal angekuwa zile team za wasiovumilia season hii ingekuwa ndio mbivu na mbichi
 
Arteta tangu Pre season kasema hataki kutabirika...Kila mechi tunaweza kucheza mfumo tofauti tofauti kutokana na aina ya mechi....Sasa Hawa ndugu zetu wamevamia jukwaa na shombo nyiiiiingi as if tumefungwa....hii sumu mbaya
Hapana kwa leo kaharibu na asirudie tena hii formation itamcost hao ni Nottingham Forest may be aliona ni sahihi ila kwa formation hii vs Rashford Salah watatuua dk za mwanzo leo ameharibu hata page zote za Arsenal leo fans wameshinda but wanakosoa kwa kasi
 
Hii game wanangu nott'forest walikuwa wanamaliza mapema ..sema tu waliruhusu magoli kizembe..kwa huu mwendo arse8 muanze kutafuta pa kutokea maana mutapigiwa boli kokoto na Kai ndio yuko mbele kosa kosa 20 goli moja 😂😂😂😂🙏
Cheltako hivi unapata wapi ujasili wa kuongea mbele ya wanaume
 
Hapana kwa leo kaharibu na asirudie tena hii formation itamcost hao ni Nottingham Forest may be aliona ni sahihi ila kwa formation hii vs Rashford Salah watatuua dk za mwanzo leo ameharibu hata page zote za Arsenal leo fans wameshinda but wanakosoa kwa kasi
Watu wnajaribu kumtetea lakin hiki alichokifanya ndo alichokifanya mechi iliyopita na nottforest tukapoteza ubingwa... hii formation aitumie pale tu tunapokuwa na uhaba wa wachezaj either majeruh au vip... ila hiv hiv tia full mkoko... angetia tu nyuma wanne kule mbele angempumzisha mmoja wapo kati ya kai au nketia
 
Kitu alichokuwa anakifanya yule striker no. 9 wa Nottingham ndicho aseno tuliitaji ana hold Mpila vizur Mpaka sapoti inapofika si haba nadhani ni Castr kama nitakuwa sijakosea alisema Lukaku angefaa ila tukachukulia utani
 
Watu wnajaribu kumtetea lakin hiki alichokifanya ndo alichokifanya mechi iliyopita na nottforest tukapoteza ubingwa... hii formation aitumie pale tu tunapokuwa na uhaba wa wachezaj either majeruh au vip... ila hiv hiv tia full mkoko... angetia tu nyuma wanne kule mbele angempumzisha mmoja wapo kati ya kai au nketia
Upo home una ball possession 85 kwa 15 on targets za kutosha then Nottingham Forest anaonekana kama alikuwa ndio anataka 3 points leo ameharibu football ️ haijaribiwi kwenye premier league kulikuwa na friendly games za kutosha huko angejaribu hizo formation
 
Kitu alichokuwa anakifanya yule striker no. 9 wa Nottingham ndicho aseno tuliitaji ana hold Mpila vizur Mpaka sapoti inapofika si haba nadhani ni Castr kama nitakuwa sijakosea alisema Lukaku angefaa ila tukachukulia utani
Arsenal inahitaji MSHAMBULIAJI ASAP kwa chance created zetu zile tulistahili 5 goals kabisa Nketiah ni mbahatishaji na Arteta kampenda haya
 
Arteta anatakiwa aache ufala kabisa last season alitucost kwa mambo kama haya na pia ashukuru Mungu yupo Arsenal angekuwa zile team za wasiovumilia season hii ingekuwa ndio mbivu na mbichi
Kipindi Chelsea yupo na Antonio Conte msimu WA kwanza alikuwa anatumia 3-4-3....alisumbua sana Ligi hdi akabeba kombe....msimu WA pili watu wakamjulia na huo mfumo wake wakawa wanabutuliwa...sisi last season tumecheza majority ya matches zetu 4-3-3...kuna kipindi watu wakatuzoea kabisa....Sasa Mimi anachokifanya namuunga mkono kabisa....be unpredictable...halafu mnalalama kwni hao Nottingham wamepata chances ngapi mechi nzima....mnakuwa wepesi sana kulaumu....Arteta atumie mifumo tofauti kutokana na aina ya mechi....with Jesus coming back tutakuwa comfortable zaidi kwenda mbele....hvyo sioni shida
 
Hapa ilibidi aanze na kikosi kile kile cha kwanza tu.... Zinny hayupo weka timber ... xhaka hayupo Weka Rice .. Jesus hayupo weka kai au trossard au nketia umemaliza.... yye mambo meeeeeeeeengiiiiiii partey bek 2 ety anaoverload.... kaziiiinguiuuuua sana
 
The England international scored a wonderful goal from distance as the Gunners kicked off their title bid with three precious points
Arsenal kicked off their 2023-24 Premier League campaign with a 2-1 victory over Nottingham Forest at the Emirates on Saturday afternoon - but the Gunners were left hanging on at the end of a game they had dominated for more than 80 minutes.

It was the visitors who had the best chance of the opening quarter, but Brennan Johnson didn't even hit the target after finding himself clean through on goal.

Arsenal took the lead soon after, with Eddie Nketiah firing home after a sensational piece of skill on the left wing from Gabriel Martinelli, and doubled their advantage courtesy of a stunning strike from distance from Bukayo Saka.

At that point, a rout appeared inevitable but Taiwo Awoniyi set up a grandstand finish when he turned in a cut-back from Anthony Elanga, who had led a blistering break from inside his own half.

Despite a few more nervy moments, though, Arsenal held on to kick off their title bid with three precious points. Below, GOAL rates the performance of Mikel Arteta's players...

Getty
GOALKEEPER & DEFENCE
Aaron Ramsdale (5/10):

A man in the spotlight because of the imminent arrival of David Raya and he just doesn't inspire confidence. Had very little to do in the first half and even when his backline was breached, Johnson blazed the ball over the bar. After the break, though, he looked shaky at set-pieces, while he was nearly caught on the ball at one point. Still, there was nothing he could have done about the late goal Arsenal conceded.

Thomas Partey (5/10):

Surprisingly selected at right-back because of White's move into the centre and had no issues for 80 minutes, primarily because Arsenal dominated possession to such an extent that he was effectively able to play in his usual position in front of the defence. But he was nowhere to be seen when Elanga broke clear down the left flank to tee up Awoniyi to score.

Ben White (6/10):

Got a rare chance to play at centre-back because Gabriel was on the bench and while he was unsurprisingly impressive in possession, he was completely caught out by Awoniyi's movement on the Forest goal.

William Saliba (6/10):

Back in the team after missing the final few months of last season through injury and looked a little rusty, particularly when Johnson burst through on goal early on. Saliba, though, did pick up an assist for his pass to Saka.

Jurrien Timber (6/10):

Injured himself while fouling Johnson just before the end of the first half and although he re-emerged after the break, he lasted just four more minutes before being replaced by Takehiro Tomiyasu. A real shame for the Dutchman, who was performing just as impressively as he had in the Community Shield.

Getty
MIDFIELD
Martin Odegaard (5/10):

Nowhere near his influential best. His passing wasn't near his usual standard - and yet he still picked out team-mates in dangerous positions in the box on several occasions.

Declan Rice (6/10):

By no means an outstanding performance from Arsenal's much-heralded summer signing, who lost the ball more than he would have liked. But he won plenty of tackles and was also unlucky not to score at least once, with one fine effort being pushed onto the post by Turner.

Kai Havertz (5/10):

Can't fault his endeavour - or his willingness to get on the ball. He also held it up well after being put up front in the closing stages. But, as is so often the case with the former Chelsea man, there was just no end product.

Getty
ATTACK
Bukayo Saka (8/10):

A constant threat down the right flank and doubled Arsenal's lead with a fantastic strike, with Saka stepping inside before bending the ball beautifully into the top corner of the Forest net.

Eddie Nketiah (7/10):

Got the nod up front because of the unavailability of Gabriel Jesus and took his chance to impress, opening the scoring midway through the first half. He was aided by a little deflection off Joe Worrall but deserved his good fortune for the way in which he had created some space for himself to shoot.

Gabriel Martinelli (8/10):

Just like Saka, has picked up where he left off last season. Indeed, you felt the Brazilian was going to make something happen every time he got the ball and his backheel assist for Nketiah as part of a sumptuous pirouette which took him past two defenders was just incredible.

Getty
SUBS & MANAGER
Takehiro Tomiyasu (6/10):

Came on in the 50th minute for the injured Timber and did well, even forcing Turner into a save with a low strike from distance.

Leandro Trossard (5/10):

Replaced Nketiah with just under 20 minutes of normal time to go and made little impression.

Gabriel (N/A):

Only introduced for the final five minutes as Arsenal looked to shut up shop.

Mikel Arteta (7/10):

The Spaniard's decision to pick Nketiah to lead the line was fully vindicated but while Arsenal dominated for 80 minutes, Arteta will have been seriously concerned by just how nervy his players became in the closing stages. Plenty for the manager to ponder, given his defence looks just as vulnerable as last season...
 
Huyu Martinelli ndio mlikuwa mnamfananisha na Anthony masebene, mudrky

Mkohoti na Genge lako
Martinel ni mchezaji wa kawaida,umena kafanya nini? au ni ile chenga aliyokuwa anajaribu kuifanya mpira ukamkimbia ukaenda kwa mfungaji goli?!!
Kwa arsenal hii siku mnacheza na timu winga zenye pace mnakula nyingi, huyo huyo mudryk naona akiwapga si chini ya goli mbili, na mtazid kumchukia. Tupo hapa.
 
Kipindi Chelsea yupo na Antonio Conte msimu WA kwanza alikuwa anatumia 3-4-3....alisumbua sana Ligi hdi akabeba kombe....msimu WA pili watu wakamjulia na huo mfumo wake wakawa wanabutuliwa...sisi last season tumecheza majority ya matches zetu 4-3-3...kuna kipindi watu wakatuzoea kabisa....Sasa Mimi anachokifanya namuunga mkono kabisa....be unpredictable...halafu mnalalama kwni hao Nottingham wamepata chances ngapi mechi nzima....mnakuwa wepesi sana kulaumu....Arteta atumie mifumo tofauti kutokana na aina ya mechi....with Jesus coming back tutakuwa comfortable zaidi kwenda mbele....hvyo sioni shida
Leo Arsenal ball possession 82 kwa 18 Shorts za kutosha but rudisha akili yako kwa jicho la 3 matokeo ya leo umeyaonaje?and also Arsenal huwa tuna katabia cha kuruhusu sana rivals kuja kwetu golini(naona kama hili zoezi la kuhandle pressure kama limefeli)imagine kwa mpira wa leo Arsenal fans dk za mwisho ilikuwa mtihani na pia visit page za Arsenal leo kisha kaangalie comments Arteta aache mambo ya kujaribu ni nonsense ukifanya hivi tena premier league ambayo kila mechi ni ushindi si alienda USA?why hakujaribu hizo formation?muda si alikuwa nao?
 
Kipindi Chelsea yupo na Antonio Conte msimu WA kwanza alikuwa anatumia 3-4-3....alisumbua sana Ligi hdi akabeba kombe....msimu WA pili watu wakamjulia na huo mfumo wake wakawa wanabutuliwa...sisi last season tumecheza majority ya matches zetu 4-3-3...kuna kipindi watu wakatuzoea kabisa....Sasa Mimi anachokifanya namuunga mkono kabisa....be unpredictable...halafu mnalalama kwni hao Nottingham wamepata chances ngapi mechi nzima....mnakuwa wepesi sana kulaumu....Arteta atumie mifumo tofauti kutokana na aina ya mechi....with Jesus coming back tutakuwa comfortable zaidi kwenda mbele....hvyo sioni shida
Toka pre season alisema atakuwa unpredictable

Leo kacheza 3 diamond 3

Muulize anayelalamika huo mfumo anaufahamu vipi
 
Toka pre season alisema atakuwa unpredictable

Leo kacheza 3 diamond 3

Muulize anayelalamika huo mfumo anaufahamu vipi
Watu wanaongea kimhemuko tu...mi nimeangalia mpira dk zte 90....watu wanasema tumeshambuliwa sijui mara nn....mwingine anasema tulikuwa tunaomba mechi iishe....Sasa Kila nikiangalia sioni wapi hasa tuliomba mechi iishe....be unpredictable...hii ndo slogan ya msimu huu....kuna siku tutaanza bila golikipa golini na mabeki hakuna...ni viungo tu na washambuliaji dk zte 90 mpk mpira unaisha🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom