Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Kwa bahati Sana 

kwa mwendo huu ,soon mtaanza kula chuma ,kama forest tu kawatoa jasho ....


kwa mwendo huu ,soon mtaanza kula chuma ,kama forest tu kawatoa jasho ....

kwa mwendo huu ,soon mtaanza kula chuma ,kama forest tu kawatoa jasho ....Sisi mashabiki wa Arsenal at times tunakua cry babies sana asee.
Timber anacheza out of position na anaupiga mwingi tu.
Hivi unamjua Mtu anaitwa Bernado Silva ?? Huyu mreno hatari sana, Timber kwenye first game tena out of position alimfanya mshkaji hakua effective kabisa.
Sielewi at times tunataka wachezaji wa aina gani?
Kai bado anaadapt na system ya arsenal ila nadhani kocha anapenda namna mshkaji anavyohold mpira na jinsi anavyocheza akiwa hana mpira, mshkaji ana akili sana changamoto yake ni mzito na mpira wa arsenal uko quick kidogo. Naomba apewe muda ajiprove its too early to judge him asee.
Inabidi dk 70 tuwe tunaongoza 5 maana kuanzia dk 70 to 75 pumz inakata kbsaMfumo wa arteta unakula nguvu sana
Trossard akiwa mbele yako hivi labda umkate.
Dah 🤔Sisi mashabiki wa Arsenal at times tunakua cry babies sana asee.
Timber anacheza out of position na anaupiga mwingi tu.
Hivi unamjua Mtu anaitwa Bernado Silva ?? Huyu mreno hatari sana, Timber kwenye first game tena out of position alimfanya mshkaji hakua effective kabisa.
Sielewi at times tunataka wachezaji wa aina gani?
Kai bado anaadapt na system ya arsenal ila nadhani kocha anapenda namna mshkaji anavyohold mpira na jinsi anavyocheza akiwa hana mpira, mshkaji ana akili sana changamoto yake ni mzito na mpira wa arsenal uko quick kidogo. Naomba apewe muda ajiprove its too early to judge him asee.
Against Liva au United magoli ya hivi unapigwa hata 6



bado hamjasema, na mtasema. Sisi mashabiki wa Arsenal at times tunakua cry babies sana asee.
Timber anacheza out of position na anaupiga mwingi tu.
Hivi unamjua Mtu anaitwa Bernado Silva ?? Huyu mreno hatari sana, Timber kwenye first game tena out of position alimfanya mshkaji hakua effective kabisa.
Sielewi at times tunataka wachezaji wa aina gani?
Kai bado anaadapt na system ya arsenal ila nadhani kocha anapenda namna mshkaji anavyohold mpira na jinsi anavyocheza akiwa hana mpira, mshkaji ana akili sana changamoto yake ni mzito na mpira wa arsenal uko quick kidogo. Naomba apewe muda ajiprove its too early to judge him asee.
Ila tuseme tu ukweli KAI tumepigwa



huyu ndo anapokea kitita kikubwa arsenal “ usiseme ivyoo bana”Ligi kwetu sisi ni kama foleni ya uji shule. Kila mtu atapata share yake. Ni dozi tu Kwa Kila mtu

One season wonder Pweti za City azitolee wapi?Kwa muonekano wa haraka Kama asenali atajitahidi sanaaaa kuna uwezekano akamaliza pwenti sawa na manisiti uchache wa magoli utamkosesha ubingwa hivyo itabidi labda asubirie fezi faivu kuwa bingwa.
Kwa ligi ilivyo kuwa na jitu kama halandiii anagusa mpira mara moja tu nyavuni pep aliona mbaaali...
Kwani tembo kashaanza kupanda mti huko au vp?
![]()
Ni mchezaji wa kawaida, ashukuru mungu ule mpira ulimfikia nketiha ila mpira ulishapotea ule, kondoo mtasema alidhamiria kutoa pasii, nyie akili zenu bhana.Kuna mtu alikuwa anaongea ujinga kuhusu Martinelli
Its his first match of the season bro, unajua ili mchezaji aweze kuflourish lazima atengeneze harmony na wachezaji wengine, ata Odegard wakati yuko Onloan kwetu he struggled his first few games.Bro, how long shall we wait to see his (Kai) impact?
huyu ndo anapokea kitita kikubwa arsenal “ usiseme ivyoo bana”



kwenye pre season tulikua tunadanganywa sana juu ya takwimu za huyu mtu utafikiri sisi tulikua hatumuoni alivyokua anacheza misimu iliyopita.Kai mtumishi hewa

vipi game za miamba isiyocheka kabisa kina Newcastle, man utd, man city, aston villa, Liverpool na brighton si ndo mtarudiii hapa kumtukana arteta humu kala 10%. Tulieni mambo ndo kwanza yameanza tutaongea lugha moja tu, tulishasema kai mmepigwa mara 2 zile 65 na kwenye mshahara.
