Franklin1902
JF-Expert Member
- Aug 1, 2018
- 2,241
- 4,876
Uzur mm najua ww unajua ukwl mm na ww ni mbingu na ardhiTupo mkuu...ligi imeanza tuone kandanda safi...kwhyo Kovacic hamjapigwa ...yle ball carrier mzuri sana....mkipata na Paqueta mtakuwa hatari sana![]()
.. Ni bas tu kwa sbb ya ushabik mna dhan lbd msimu huu ilo litabadilika.Kabla ya msimu kuanza nilisema ivi kama kuna shabik wa Arsenal anahis msimu huu team yake itabadilka na kua serious na makombe ya maana bas shabik huyo anahitaj maombi kwa mwamposa hrk sana.

) kua mlitutoa nishai baada ya mda mrefu sana kua wateja wetu wa kudumu.
hata mpinzani asisogee langoni kwetu , hiyo timu labda ishuke kutoka mbinguni 