Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Leo Arsenal ball possession 82 kwa 18 Shorts za kutosha but rudisha akili yako kwa jicho la 3 matokeo ya leo umeyaonaje?and also Arsenal huwa tuna katabia cha kuruhusu sana rivals kuja kwetu golini(naona kama hili zoezi la kuhandle pressure kama limefeli)imagine kwa mpira wa leo Arsenal fans dk za mwisho ilikuwa mtihani na pia visit page za Arsenal leo kisha kaangalie comments Arteta aache mambo ya kujaribu ni nonsense ukifanya hivi tena premier league ambayo kila mechi ni ushindi si alienda USA?why hakujaribu hizo formation?muda si alikuwa nao?
Ulitaka tushinde ngapi mkuu🤣🤣🤣....halafu punguza jazba....leo kuanza na Partey kama beki 2 it was clever....yaani binafsi sina ninachowadai....tungekuwa tumeshambuliwa kama ile mechi ya Leeds tyloshindaga goli 1 kwao hapo ningekuwa na concern lakini hvi....I'm comfortable...mleteni mwingine tucheze naye😅😅😅
 
Kubalini tu mmepgwa, mbona sisi tumekubali kwa Nkunku tumepgwa.
Unakubali vp kwmba unepigwa....kwmba wachezaji huwa hawaumii au 🤣🤣🤣....mbona mnakuwa na hoja za ajabu ajabu ndugu zetu....sisi na nyny ni lini kwani tuone Mudryk atakavyotupeleka mkuu
 
Ulitaka tushinde ngapi mkuu....halafu punguza jazba....leo kuanza na Partey kama beki 2 it was clever....yaani binafsi sina ninachowadai....tungekuwa tumeshambuliwa kama ile mechi ya Leeds tyloshindaga goli 1 kwao hapo ningekuwa na concern lakini hvi....I'm comfortable...mleteni mwingine tucheze naye
Ngoja hamis77 alete uchambuzi wa watu wa mpira George ambangile,utamuelewa kwanini Mikel arteta kazichanga karata zake vile leo.

Binafsi sikuelewa kikosi kilivyotoka ila baada ya mechi na uchambuzi ndio nimeelewa.

Point kubwa sana niliyojifunza, msimu uliopita tulikua tunakosa kufanya options za mifumo tofauti kulingana na mechi kwasababu ya small depth tuliyokuwa nayo ila kwa sasa tunayo depth kubwa na fursa ya kupanga kikosi kwa upana sana kama wote wakiwa fit.
 
Ukisoma uchambuzi wa George ambangile instagram utaelewa leo Mikel kafanya nini ambacho hatukufanya last game ikatucost.

Nimeshindwa tu kuucopy uchambuzi wake.
Huu hapa mkuu watu hawajui mpira hawajui kwanini tumecheza na 3diamond3

Wanaropoka tu

.

Hii ligi ukitwaa unakuwa bingwa haswa maana unapitia mechi ngumu nyingi sana , hizi alama 3 za leo za Arsenal zimechimbwa haswa

Mikel Arteta alijua kabisa kwamba Steve Cooper atatumia mfumo wake ule ule wa msimu uliopita wa mabeki watatu nyuma , wingbacks ( 3-4-2-1 ) na ndio maana leo Arteta aliamua kuja na mfumo tofauti kama ule ambao Man City walitumia dhidi ya Inter Milan fainali UCL

Tunaita 3-diamond-3 maana yake nyuma mabeki watatu ( White Saliba Timber ) mbele yao namba 6 Partey juu yake namba 8 wawili kulia na kushoto Rice na Odegaard nyuma ya Nketiah kuna Havertz ( wingers Martinelli na Saka ) kwanini huu muundo ?

1: Ili kutengeneza idadi kubwa ya wachezaji katika phase zote tatu ( ulinzi kiungo na ushambuliaji ) hasa wakiwa na mpira , bila mpira ni 4-4-2 haina shida

2: Forest bila mpira walikuwa 5-2-2-1 , shida ilikuwa kwa Gibbs White na Danilo ambao walikuwa nyuma ya Johnson kwamba wafanye nini bila mpira ? Waende kuwapress mabeki wa nje wawili kati ya watatu wa Arsenal ( outside CBs ) White na Timber ?

3: Wakifanya hivyo maana yake viungo wao wawili wa kati ( Yates na Mangala ) wanazidiwa namba inakuwa 3 Vs 2 ( Ode Kai na Rice Vs Mangala na Yates ) lakini wakisema warudi nyuma ( Gibbs White na Danilo ) maana yake White na Timber wanakuwa huru wakiwa na mali

4: Arsenal kwenye phase ya tatu walikuwa wanashambulia na wachezaji 5 mpaka 6 ( Martinelli Nketiah Saka Odegaard Kai na mara kadhaa anaongezeka Rice dhidi ya BACK 5 ya Forest )

Walichofanikiwa Forest hasa kipindi cha pili ni uwepo wa Awoniyi na Elanga , kasi na nguvu maana yake ilikuwa rahisi Forest kufika mbele bila kutumia pasi nyingi bali ni mipira mirefu ns kuokota second balls nyingi . Kuwa jasiri .!

NOTE

1: Johnson atakuwa anawaza alikosaje 1 Vs 1 na Ramsdale ?

2: Saka na Martinelli wanaweza kukutoa damu wale vijana

3: Rice akiwa ana sprint kwenda kuzuia

4: Forest wanahitaji ubora zaidi wa wingbacks kwa mfumo ule

5: Ile assist ya Martinelli

6: MUHIMU ALAMA 3 kwenye mechi ya kwanza

FT: Arsenal 2-1 Notts Forest
 
Ngoja hamis77 alete uchambuzi wa watu wa mpira George ambangile,utamuelewa kwanini Mikel arteta kazichanga karata zake vile leo.

Binafsi sikuelewa kikosi kilivyotoka ila baada ya mechi na uchambuzi ndio nimeelewa.

Point kubwa sana niliyojifunza, msimu uliopita tulikua tunakosa kufanya options za mifumo tofauti kulingana na mechi kwasababu ya small depth tuliyokuwa nayo ila kwa sasa tunayo depth kubwa na fursa ya kupanga kikosi kwa upana sana kama wote wakiwa fit.
Mechi na city tulienda na mfumo mwingine kabisa

City akapoteana hata shut kwa dk 65+ hakupata

Hawa wapiga kelele humu,hawafatilii mifumo kwanini tunaenda nao na kwanini
 
Ulitaka tushinde ngapi mkuu....halafu punguza jazba....leo kuanza na Partey kama beki 2 it was clever....yaani binafsi sina ninachowadai....tungekuwa tumeshambuliwa kama ile mechi ya Leeds tyloshindaga goli 1 kwao hapo ningekuwa na concern lakini hvi....I'm comfortable...mleteni mwingine tucheze naye
Hata kuwin 1 -0 sio tatizo unajua wewe unakuwa kama kipofu fulani hivi Arsenal ya leo kwa total football ️ bado unawekwa pressure na Nottingham Forest dk za mwisho?hili tatizo halijaondoka bado la kuhandle pressure kashinda Yes 3 points ni muhimu but aache utani kama wa leo hii ni premier league
 
Huu hapa mkuu watu hawajui mpira hawajui kwanini tumecheza na 3diamond3

Wanaropoka tu

.

Hii ligi ukitwaa unakuwa bingwa haswa maana unapitia mechi ngumu nyingi sana , hizi alama 3 za leo za Arsenal zimechimbwa haswa

Mikel Arteta alijua kabisa kwamba Steve Cooper atatumia mfumo wake ule ule wa msimu uliopita wa mabeki watatu nyuma , wingbacks ( 3-4-2-1 ) na ndio maana leo Arteta aliamua kuja na mfumo tofauti kama ule ambao Man City walitumia dhidi ya Inter Milan fainali UCL

Tunaita 3-diamond-3 maana yake nyuma mabeki watatu ( White Saliba Timber ) mbele yao namba 6 Partey juu yake namba 8 wawili kulia na kushoto Rice na Odegaard nyuma ya Nketiah kuna Havertz ( wingers Martinelli na Saka ) kwanini huu muundo ?

1: Ili kutengeneza idadi kubwa ya wachezaji katika phase zote tatu ( ulinzi kiungo na ushambuliaji ) hasa wakiwa na mpira , bila mpira ni 4-4-2 haina shida

2: Forest bila mpira walikuwa 5-2-2-1 , shida ilikuwa kwa Gibbs White na Danilo ambao walikuwa nyuma ya Johnson kwamba wafanye nini bila mpira ? Waende kuwapress mabeki wa nje wawili kati ya watatu wa Arsenal ( outside CBs ) White na Timber ?

3: Wakifanya hivyo maana yake viungo wao wawili wa kati ( Yates na Mangala ) wanazidiwa namba inakuwa 3 Vs 2 ( Ode Kai na Rice Vs Mangala na Yates ) lakini wakisema warudi nyuma ( Gibbs White na Danilo ) maana yake White na Timber wanakuwa huru wakiwa na mali

4: Arsenal kwenye phase ya tatu walikuwa wanashambulia na wachezaji 5 mpaka 6 ( Martinelli Nketiah Saka Odegaard Kai na mara kadhaa anaongezeka Rice dhidi ya BACK 5 ya Forest )

Walichofanikiwa Forest hasa kipindi cha pili ni uwepo wa Awoniyi na Elanga , kasi na nguvu maana yake ilikuwa rahisi Forest kufika mbele bila kutumia pasi nyingi bali ni mipira mirefu ns kuokota second balls nyingi . Kuwa jasiri .!

NOTE

1: Johnson atakuwa anawaza alikosaje 1 Vs 1 na Ramsdale ?

2: Saka na Martinelli wanaweza kukutoa damu wale vijana

3: Rice akiwa ana sprint kwenda kuzuia

4: Forest wanahitaji ubora zaidi wa wingbacks kwa mfumo ule

5: Ile assist ya Martinelli

6: MUHIMU ALAMA 3 kwenye mechi ya kwanza

FT: Arsenal 2-1 Notts Forest
Safi sana
 
Huu hapa mkuu watu hawajui mpira hawajui kwanini tumecheza na 3diamond3

Wanaropoka tu

.

Hii ligi ukitwaa unakuwa bingwa haswa maana unapitia mechi ngumu nyingi sana , hizi alama 3 za leo za Arsenal zimechimbwa haswa

Mikel Arteta alijua kabisa kwamba Steve Cooper atatumia mfumo wake ule ule wa msimu uliopita wa mabeki watatu nyuma , wingbacks ( 3-4-2-1 ) na ndio maana leo Arteta aliamua kuja na mfumo tofauti kama ule ambao Man City walitumia dhidi ya Inter Milan fainali UCL

Tunaita 3-diamond-3 maana yake nyuma mabeki watatu ( White Saliba Timber ) mbele yao namba 6 Partey juu yake namba 8 wawili kulia na kushoto Rice na Odegaard nyuma ya Nketiah kuna Havertz ( wingers Martinelli na Saka ) kwanini huu muundo ?

1: Ili kutengeneza idadi kubwa ya wachezaji katika phase zote tatu ( ulinzi kiungo na ushambuliaji ) hasa wakiwa na mpira , bila mpira ni 4-4-2 haina shida

2: Forest bila mpira walikuwa 5-2-2-1 , shida ilikuwa kwa Gibbs White na Danilo ambao walikuwa nyuma ya Johnson kwamba wafanye nini bila mpira ? Waende kuwapress mabeki wa nje wawili kati ya watatu wa Arsenal ( outside CBs ) White na Timber ?

3: Wakifanya hivyo maana yake viungo wao wawili wa kati ( Yates na Mangala ) wanazidiwa namba inakuwa 3 Vs 2 ( Ode Kai na Rice Vs Mangala na Yates ) lakini wakisema warudi nyuma ( Gibbs White na Danilo ) maana yake White na Timber wanakuwa huru wakiwa na mali

4: Arsenal kwenye phase ya tatu walikuwa wanashambulia na wachezaji 5 mpaka 6 ( Martinelli Nketiah Saka Odegaard Kai na mara kadhaa anaongezeka Rice dhidi ya BACK 5 ya Forest )

Walichofanikiwa Forest hasa kipindi cha pili ni uwepo wa Awoniyi na Elanga , kasi na nguvu maana yake ilikuwa rahisi Forest kufika mbele bila kutumia pasi nyingi bali ni mipira mirefu ns kuokota second balls nyingi . Kuwa jasiri .!

NOTE

1: Johnson atakuwa anawaza alikosaje 1 Vs 1 na Ramsdale ?

2: Saka na Martinelli wanaweza kukutoa damu wale vijana

3: Rice akiwa ana sprint kwenda kuzuia

4: Forest wanahitaji ubora zaidi wa wingbacks kwa mfumo ule

5: Ile assist ya Martinelli

6: MUHIMU ALAMA 3 kwenye mechi ya kwanza

FT: Arsenal 2-1 Notts Forest
@arsenal2004 walete hao watu wabishe akili kubwa ya arteta ilivyolipa leo.
 
Huu hapa mkuu watu hawajui mpira hawajui kwanini tumecheza na 3diamond3

Wanaropoka tu

.

Hii ligi ukitwaa unakuwa bingwa haswa maana unapitia mechi ngumu nyingi sana , hizi alama 3 za leo za Arsenal zimechimbwa haswa

Mikel Arteta alijua kabisa kwamba Steve Cooper atatumia mfumo wake ule ule wa msimu uliopita wa mabeki watatu nyuma , wingbacks ( 3-4-2-1 ) na ndio maana leo Arteta aliamua kuja na mfumo tofauti kama ule ambao Man City walitumia dhidi ya Inter Milan fainali UCL

Tunaita 3-diamond-3 maana yake nyuma mabeki watatu ( White Saliba Timber ) mbele yao namba 6 Partey juu yake namba 8 wawili kulia na kushoto Rice na Odegaard nyuma ya Nketiah kuna Havertz ( wingers Martinelli na Saka ) kwanini huu muundo ?

1: Ili kutengeneza idadi kubwa ya wachezaji katika phase zote tatu ( ulinzi kiungo na ushambuliaji ) hasa wakiwa na mpira , bila mpira ni 4-4-2 haina shida

2: Forest bila mpira walikuwa 5-2-2-1 , shida ilikuwa kwa Gibbs White na Danilo ambao walikuwa nyuma ya Johnson kwamba wafanye nini bila mpira ? Waende kuwapress mabeki wa nje wawili kati ya watatu wa Arsenal ( outside CBs ) White na Timber ?

3: Wakifanya hivyo maana yake viungo wao wawili wa kati ( Yates na Mangala ) wanazidiwa namba inakuwa 3 Vs 2 ( Ode Kai na Rice Vs Mangala na Yates ) lakini wakisema warudi nyuma ( Gibbs White na Danilo ) maana yake White na Timber wanakuwa huru wakiwa na mali

4: Arsenal kwenye phase ya tatu walikuwa wanashambulia na wachezaji 5 mpaka 6 ( Martinelli Nketiah Saka Odegaard Kai na mara kadhaa anaongezeka Rice dhidi ya BACK 5 ya Forest )

Walichofanikiwa Forest hasa kipindi cha pili ni uwepo wa Awoniyi na Elanga , kasi na nguvu maana yake ilikuwa rahisi Forest kufika mbele bila kutumia pasi nyingi bali ni mipira mirefu ns kuokota second balls nyingi . Kuwa jasiri .!

NOTE

1: Johnson atakuwa anawaza alikosaje 1 Vs 1 na Ramsdale ?

2: Saka na Martinelli wanaweza kukutoa damu wale vijana

3: Rice akiwa ana sprint kwenda kuzuia

4: Forest wanahitaji ubora zaidi wa wingbacks kwa mfumo ule

5: Ile assist ya Martinelli

6: MUHIMU ALAMA 3 kwenye mechi ya kwanza

FT: Arsenal 2-1 Notts Forest
Thank you George Ambangile. Kama kuna mtu hajaelewa huu uchambuzi hapa basi hajui chochote kuhusu transition ya Arsenal kutoka misimu iliyopita na huu wa sasa.
 
😂😂😂
 

Attachments

  • FB_IMG_1691857800360.jpg
    FB_IMG_1691857800360.jpg
    30 KB · Views: 3
Ukisoma uchambuzi wa George ambangile instagram utaelewa leo Mikel kafanya nini ambacho hatukufanya last game ikatucost.

Nimeshindwa tu kuucopy uchambuzi wake.
.

✍🏻Hii ligi ukitwaa unakuwa bingwa haswa maana unapitia mechi ngumu nyingi sana , hizi alama 3 za leo za Arsenal zimechimbwa haswa

✍🏻Mikel Arteta alijua kabisa kwamba Steve Cooper atatumia mfumo wake ule ule wa msimu uliopita wa mabeki watatu nyuma , wingbacks ( 3-4-2-1 ) na ndio maana leo Arteta aliamua kuja na mfumo tofauti kama ule ambao Man City walitumia dhidi ya Inter Milan fainali UCL

✍🏻Tunaita 3-diamond-3 maana yake nyuma mabeki watatu ( White Saliba Timber ) mbele yao namba 6 Partey juu yake namba 8 wawili kulia na kushoto Rice na Odegaard nyuma ya Nketiah kuna Havertz ( wingers Martinelli na Saka ) kwanini huu muundo ?

1: Ili kutengeneza idadi kubwa ya wachezaji katika phase zote tatu ( ulinzi kiungo na ushambuliaji ) hasa wakiwa na mpira , bila mpira ni 4-4-2 haina shida

2: Forest bila mpira walikuwa 5-2-2-1 , shida ilikuwa kwa Gibbs White na Danilo ambao walikuwa nyuma ya Johnson kwamba wafanye nini bila mpira ? Waende kuwapress mabeki wa nje wawili kati ya watatu wa Arsenal ( outside CBs ) White na Timber ?

3: Wakifanya hivyo maana yake viungo wao wawili wa kati ( Yates na Mangala ) wanazidiwa namba inakuwa 3 Vs 2 ( Ode Kai na Rice Vs Mangala na Yates ) lakini wakisema warudi nyuma ( Gibbs White na Danilo ) maana yake White na Timber wanakuwa huru wakiwa na mali

4: Arsenal kwenye phase ya tatu walikuwa wanashambulia na wachezaji 5 mpaka 6 ( Martinelli Nketiah Saka Odegaard Kai na mara kadhaa anaongezeka Rice dhidi ya BACK 5 ya Forest )

✍🏻Walichofanikiwa Forest hasa kipindi cha pili ni uwepo wa Awoniyi na Elanga , kasi na nguvu maana yake ilikuwa rahisi Forest kufika mbele bila kutumia pasi nyingi bali ni mipira mirefu ns kuokota second balls nyingi . Kuwa jasiri .!

NOTE

1: Johnson atakuwa anawaza alikosaje 1 Vs 1 na Ramsdale ?

2: Saka na Martinelli wanaweza kukutoa damu wale vijana 🔥

3: Rice akiwa ana sprint kwenda kuzuia 🔥

4: Forest wanahitaji ubora zaidi wa wingbacks kwa mfumo ule

5: Ile assist ya Martinelli 🔥

6: MUHIMU ALAMA 3 kwenye mechi ya kwanza

FT: Arsenal 2-1 Notts Forest
 
Martinel ni mchezaji wa kawaida,umena kafanya nini? au ni ile chenga aliyokuwa anajaribu kuifanya mpira ukamkimbia ukaenda kwa mfungaji goli?!!
Kwa arsenal hii siku mnacheza na timu winga zenye pace mnakula nyingi, huyo huyo mudryk naona akiwapga si chini ya goli mbili, na mtazid kumchukia. Tupo hapa.
Njoeni na huyo mudy wenu halafu msubili kitakachowakuta
 
Unakubali vp kwmba unepigwa....kwmba wachezaji huwa hawaumii au 🤣🤣🤣....mbona mnakuwa na hoja za ajabu ajabu ndugu zetu....sisi na nyny ni lini kwani tuone Mudryk atakavyotupeleka mkuu
Mudryk ndio silaha yenu nyie kondoo. Atawapga mpk mchakae
 
Hata kuwin 1 -0 sio tatizo unajua wewe unakuwa kama kipofu fulani hivi Arsenal ya leo kwa total football ️ bado unawekwa pressure na Nottingham Forest dk za mwisho?hili tatizo halijaondoka bado la kuhandle pressure kashinda Yes 3 points ni muhimu but aache utani kama wa leo hii ni premier league
Huu ndio ukweli
tumecheza vizuri sana tulikuwa tunauwezo wa kumaliza game first half, game ingeisha 2 - 2 tulioangalia mpira tusingeshaa

hili ni tatizo letu la miaka mingi sana
 
Watu wanaongea kimhemuko tu...mi nimeangalia mpira dk zte 90....watu wanasema tumeshambuliwa sijui mara nn....mwingine anasema tulikuwa tunaomba mechi iishe....Sasa Kila nikiangalia sioni wapi hasa tuliomba mechi iishe....be unpredictable...hii ndo slogan ya msimu huu....kuna siku tutaanza bila golikipa golini na mabeki hakuna...ni viungo tu na washambuliaji dk zte 90 mpk mpira unaisha
Ndio watu hawaelewi
 
Hata kuwin 1 -0 sio tatizo unajua wewe unakuwa kama kipofu fulani hivi Arsenal ya leo kwa total football ️ bado unawekwa pressure na Nottingham Forest dk za mwisho?hili tatizo halijaondoka bado la kuhandle pressure kashinda Yes 3 points ni muhimu but aache utani kama wa leo hii ni premier league
Pressure hyo unayoizungumzia ni ipi mbona mm sijaiona zaidi ya lile goli la counter....zaidi baada ya wao kufunga lile goli wakawa wanatufata na sisi tukaanza mchakamchaka....au mliingia na matokeo mifukoni ndugu zetu....narudia tena....we have to unpredictable the whole season...ndo njia pekee ya kukaa pale juu....
 
Back
Top Bottom